Wazazi wanavyochangia umasikini

Wazazi wanavyochangia umasikini

Sisi wanadamu ni waajabu sana

Hapo Evelyn Salt unataka huyu bwana adanganye ili tu atoe maneno ya kinafiki

Huyu bwana katoa proper assessment ya baba yake kwa hali halisi aliyo experience yeye kwa huyu mtu na hawezi danganya

Wewe unataka kumjaza hofu adanganye ili kufurahisha jamii wakati ni uongo na unafiki

Tujifunze kuspeak our minds truthfully bila kudanganya na bila kujali wanaosikiliza watajisikiaje

Na wasikilizaji wajue wanasikiliza true assessment za muongeaji na kukimbilia waambiwe unafiki ili wajisikie vizuri

Muacheni aaongee ukweli bila aibu au kudanganya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]

Evelyn Salt
 
Mkuu

Wanadamu wote sio sawa

Baba wote sio wana akili kama unavyodhani

Infact wababa asilimia kubwa ni wapumbavu kama wapumbavu wengine duniani hapa

Huyu bwana katoa proper assessment aliyo experience na huyo baba yake

According to him,huyo baba didnt do a great job in raising them..na yeye katoa truth
Ha ha ha ha
 
Sasa unakuta dingi yeye ni ubabe tu kwa mtoto hakuna cha upendo wala amani mwishowe mtoto anakuwa kibaka au jambazi kabisa fuatilia familia za vibaka na wale wadada wanaojiuza utagundua shida kubwa sana kwenye malezi ambapo chanzo ni wazazi.
Hili ni kweli kabisa
 
Tujadili mada sio mtoa mada.
Kama mzazi ni jingajinga,lilevi,limalaya liitwe hivyohivvyo) maana ndio tabia yake aliyojichagulia.
Ukweli uzungumzwe sio kupambapamba watu hapa.
Si ndo hapo....mzazi asietimiza majukumu yake huyo sio mzazi
 
Ku

Kumbe unataka definitions ya kila neno analoongea mwanadamu wakati unasahau definitions do not matter,kinacho matter ni context
Definitions keep them in your own butt,hapa tunataka context
Hii ni dalili ya stress,kuropoka ropoka.
Na unaelewa exactly what my context is tatizo unafiki umekujaa na uongo,who care
Unsfiki upi??
Kuandika si kuongea?

Au umekariri only audible speaking umesahau kuna internal inaudible speaking?
Embu tumia kiswahili,acha ulimbukeni.
Nani kakudanganya chooni hua yanaenda mavi tu?
Wapo watu wa ajabu kama nyinyi mnapeleka mpaka akili huko.
Kuna mkojo,maji,makamasi,matapishi,shahawa za masterbators kama wewe,blood,etc

Mambo chungu nzima....

Broaden your thinking acha hizi short cuts za kipumbavu
Mpumbavu ni baba yako,ambaye pamoja na kumwona mjinga bado anajivunia wewe.
Ndio....una tatizo na hilo?

Kama una tatizo too bad for you

You are not qualified kua na tatizo nalo maana huwajui na wala hujawahi kaa under their administration when ukiwa mtoto....

On the other side,mimi nipo qualified kusema hayo maana Im exactly part of that for 18 years....I'm qualified to feel and talk the way I did about them

Mzazi asilaumiwe kwa sababu gani?

Kama alifanya matendo mabaya kwa victims asilaumiwe kivipi yaani?

Sijaona hoja yako kwanini mzazi asilaumiwe iwapo aliumiza watoto?Na mtoto ana haki ya kutoa assessment ya kweli kuhusu wazazi wake walichomfanyia alipokua mdogo,ukimnyamazisha still unaendeleza uonevu
Unaendeleza uovu upi wakati umeshakomaa na sasa unajitegemea!!!au una wadogo zako wa 12yrs nao umewaacha naye??
Nikiwa na 0-18 nilikua mali ya wazazi wangu....nao 18 and up ni mali yangu binafsi,sasa mzazi anahusika vipi na mimi kuanzia nilipokua 18 mpaka sasa?Hana uhusika wowote kisheria
Ni kisheria sio kijamii.
Mtoto chini ya miaka 18 kisheria hatakiwi ajitegemee....
Wala sikatai.
Kama wazazi mpo na mkalazimisha mtoto wa miaka 5 ajitegemee,wote mnashikwa na kufunguliwa mashitaka na kufungwa
Huyu anayemwita mzazi wake mjinga si ni kwa sababu hii!!!!
Haiwezekani mmezaa mtoto kwa ngono zenu binafsi halafu mtupe huyo mtoto

Hii thinking yako inaonesha kabisa wewe ni katili kwa watoto na one day you will do that
Ukatili wa watoto hauhusiani kabisa na kile mtu anaongea au kuandika.
Morally ubongo wako unaamini mtoto kuzaliwa na kuishi ni preveledge na sio haki yake,yaani ni msaada unampa huyo mtoto
Siamini hivi,kama ambavyo naamini wewe umekua ni haki yako na mzazi wako kuhudumiwa nawewe,au ni maamuzi???
Hii thinking ni ya kiuaji na wewe unaona ni sahihi

Yaani utombane huko,mumlete mtoto duniani halafu still uone mtoto huyo hana haki ya kutunzwa kama mwanadamu mpaka afikishe 18 years ajitegemee ni thinking next devilism
Nimekwambia huu ni mtizamo tu,hapa tz sababu ya shule watu wako chini ya wazazi mpaka wanafikisha miaka 27,kwanini wasiwaachie tu maana sheria haiwabani!!!!
mtoto wa miaka 0-18 anahitaji kuachiwa mtaji wa biashara tangu lini?
Tembea uone.umefungwa sana na mazoea.
Hivi wewe mzima kichwani kweli?

Mtoto 0-18 kisheria hana hata uwezi wa kuingia contractual obligation popote,umpatie mtaji aende nao wapi wewe maiti?
Sijui ni kweli uko marekani au huwa ni kick tu,but huko ndiko kuna binaadam ambao wanaanza maisha hata wakiwa 15.
Mtoto 0-18 anahitaji matunzo na upendo kama mwanadamu,baada ya hapo muache,haitaji chochote kutoka kwako na wala sio lazima umpatie chochote thereafter
.
Kuhusu mitaji and other blah blah inaelekea hujui lolote kama mwanadamu kwenye hii dunia

Still una matatizo
Wewe ni bingwa wa kuropoka ila point huwa ni za ku extract kwa formular maalumu.
Mtu anatoa assessment ya hao wazazi tangu alipokua 0-18 sio sasa hivi nipo above 18

Huoni difference ya hivi vipindi?

Watu wana hasira na wazazi wao walichowafanyia walipokua 0-18 sio leo wewe,use your brain
Hasira zinatoka wapi kama akili za utafutaji ziko sawa!!!kuna watu hustoria mbaya zimewafanya kuwa na nguvu ya kutafuta.
Sasa hivi everything is entirely on them kama adults na sio wazazi

Ni maajabu unapoleta hoja eti kwamba chochote wanachofanya hawa watu kwenye maisha yao ukubwani ni wazazi wamefanya ni partly false
 
Me wazazi wangu hawakusoma kwa hiyo tangu primary me ndo naongoza njia, huwa nawapa tu taarifa. Namshkuru Mungu nilichosomea nilikichagua mwenyewe na sijutii

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Ku

Kumbe unataka definitions ya kila neno analoongea mwanadamu wakati unasahau definitions do not matter,kinacho matter ni context

Definitions keep them in your own butt,hapa tunataka context

Na unaelewa exactly what my context is tatizo unafiki umekujaa na uongo,who cares

Kuandika si kuongea?

Au umekariri only audible speaking umesahau kuna internal inaudible speaking?

Nani kakudanganya chooni hua yanaenda mavi tu?

Kuna mkojo,maji,makamasi,matapishi,shahawa za masterbators kama wewe,blood,etc

Mambo chungu nzima....

Broaden your thinking acha hizi short cuts za kipumbavu

Ndio....una tatizo na hilo?

Kama una tatizo too bad for you

You are not qualified kua na tatizo nalo maana huwajui na wala hujawahi kaa under their administration when ukiwa mtoto....

On the other side,mimi nipo qualified kusema hayo maana Im exactly part of that for 18 years....I'm qualified to feel and talk the way I did about them

Mzazi asilaumiwe kwa sababu gani?

Kama alifanya matendo mabaya kwa victims asilaumiwe kivipi yaani?

Sijaona hoja yako kwanini mzazi asilaumiwe iwapo aliumiza watoto?Na mtoto ana haki ya kutoa assessment ya kweli kuhusu wazazi wake walichomfanyia alipokua mdogo,ukimnyamazisha still unaendeleza uonevu

Nikiwa na 0-18 nilikua mali ya wazazi wangu....nao 18 and up ni mali yangu binafsi,sasa mzazi anahusika vipi na mimi kuanzia nilipokua 18 mpaka sasa?Hana uhusika wowote kisheria

Mtoto chini ya miaka 18 kisheria hatakiwi ajitegemee....

Kama wazazi mpo na mkalazimisha mtoto wa miaka 5 ajitegemee,wote mnashikwa na kufunguliwa mashitaka na kufungwa

Haiwezekani mmezaa mtoto kwa ngono zenu binafsi halafu mtupe huyo mtoto

Hii thinking yako inaonesha kabisa wewe ni katili kwa watoto na one day you will do that

Morally ubongo wako unaamini mtoto kuzaliwa na kuishi ni preveledge na sio haki yake,yaani ni msaada unampa huyo mtoto

Hii thinking ni ya kiuaji na wewe unaona ni sahihi

Yaani utombane huko,mumlete mtoto duniani halafu still uone mtoto huyo hana haki ya kutunzwa kama mwanadamu mpaka afikishe 18 years ajitegemee ni thinking next devilism

mtoto wa miaka 0-18 anahitaji kuachiwa mtaji wa biashara tangu lini?

Hivi wewe mzima kichwani kweli?

Mtoto 0-18 kisheria hana hata uwezi wa kuingia contractual obligation popote,umpatie mtaji aende nao wapi wewe maiti?

Mtoto 0-18 anahitaji matunzo na upendo kama mwanadamu,baada ya hapo muache,haitaji chochote kutoka kwako na wala sio lazima umpatie chochote thereafter

Kuhusu mitaji and other blah blah inaelekea hujui lolote kama mwanadamu kwenye hii dunia

Still una matatizo

Mtu anatoa assessment ya hao wazazi tangu alipokua 0-18 sio sasa hivi nipo above 18

Huoni difference ya hivi vipindi?

Watu wana hasira na wazazi wao walichowafanyia walipokua 0-18 sio leo wewe,use your brain

Sasa hivi everything is entirely on them kama adults na sio wazazi

Ni maajabu unapoleta hoja eti kwamba chochote wanachofanya hawa watu kwenye maisha yao ukubwani ni wazazi wamefanya ni partly false
Mkuu wewe upo very smart upstairs, huyo unayejibizana naye ningekuwa Mimi ningem ignore tuu, hawa ndo wale waswahili waliolishwa maneno kwamba mzazi hakosei, alafu wana msemo wao wa pili kwamba mzazi ni Mungu wa pili sasa hapo hawezi kukuelewa maana amekariri hivyo japokuwa umeeleza facts with vivid examples.
 
Si ndo hapo....mzazi asietimiza majukumu yake huyo sio mzazi
wengine wanoko wana kimbia na watoto hasa ukimjali sana mtoto.
Na kutaka asome anaona wivu!! Atakuvunja moyo kwa kula ada au kuomba hela zaidi ili ukate tamaa!!

Wivu wa kina mama kuona baba atapendwa zaidi
 
wengine wanoko wana kimbia na watoto hasa ukimjali sana mtoto.
Na kutaka asome anaona wivu!! Atakuvunja moyo kwa kula ada au kuomba hela zaidi ili ukate tamaa!!

Wivu wa kina mama kuona baba atapendwa zaidi
Mmmh hii kali
 
Mkuu wewe upo very smart upstairs, huyo unayejibizana naye ningekuwa Mimi ningem ignore tuu, hawa ndo wale waswahili waliolishwa maneno kwamba mzazi hakosei, alafu wana msemo wao wa pili kwamba mzazi ni Mungu wa pili sasa hapo hawezi kukuelewa maana amekariri hivyo japokuwa umeeleza facts with vivid examples.
Nawewe una baba mjinga mkuu??
 
Kitu umeishia kutokosa jawabu umeishia kutoa maoni na kubatiza eti ni kuropoka
Jawabu gani unataka??
Toa majawabu

Unafiki ni huu unaounesha hapa

Wewe kutokujua Kingereza ni tatizo lako binafsi

Usitulazimishe tufate Kiswahili ambapo infact bado hukijui sawasawa

Sasa kuona watu wanazungumza lugha unayotamani sana uijue zaidi yako unaishia kuita eti ni ulimbukeni inaeleza how miserable you are than us

Hujui Kingereza ni wewe,usiite wanaojua eti malimbukeni sababu tu wanakijua zaidi yako

Fix yourself
Ulimbukeni sio wwe kuzungumza kiingereza,bali kuchanganya kiingereza na kiswahili.embu chagua moja.
Mzazi anaemuacha mtoto wa miaka 5 ajitegemee sio mjinga tu ni "muuaji" hafai yeye kuishi,ni wa kuuawa

Ujinga ni understatement!

Mtoto aliefanyiwa ukatili amebeba trauma za tangu utotoni zinaathiri anavyoongea na kufikiri ukubwani
Kwahiyo tukubaliane baadhi yenu ni trauma inawafanya muandike haya,au kuita wazazi wenu wajinga.hapa nimekuelewa sawa sawa.
Wewe kusema hakuna mahusiano ya uonevu wa mtoto udogoni na ukubwani kwake unabishana na neuro scientists na psychologists,hatuwezi kukuamini wewe usiejua lolote tukawaacha hawa wataalamu
Wataalamu ndio wanakwambia uite baba yako mjinga!!!!
Ni haki ya mtoto kwa lazima mzazi amuhudumie kwa lazima na sio maamuzi binafsi ya mzazi
Nimekuuliza wewe baada ya kutimiza miaa 18,kumhudumia baba yako ni wajibu wako au mtizamo???kwa jibu lolote hapo eleza ni kwanini.
Ni lazima

Ungekua unajua huwezi hudumia mtoto usingetombana ukamleta duniani
Baba yako angekuwa hana uwezo wakukulea usingemwita mjinga,ni wazi alikuwa na uwezo wa aina yeyeote kukusaidia lakini alipuuza labda.
Kisheria ni miaka 18,kuendelea kumhudumia ni maamuzi binafsi ila legally sio binding.

Tembea uone kitu cha uongo?
Uongo upi??unajua umasaini mtu anahesabika timamu miaka mingapi??
Mtoto alie chini ya miaka 18 haruhusiwi kusaini popote,atawezaje kuingia mikataba ya biashara na kufungua account ya kampuni ya biashara wakati sio contractual acceptable legal aged?
Sio kigezo kwamba hayuko timamu kuendesha hayo,ni sheria ndio inasema.unajua kaka mvurana wa miaka 14 anaweza jaza mimba mwanamke??kwahiyo sheria inasimamia tu haitafsiri kila kitu.
Labda mtaji wa kuuza malimao au dagaa au genge lisilohitaji hata leseni

Anachoongea mtu halafu hukipendi unakiita kuropoka
Kuropoka ni kutoa neno lisilohusiana na eneo au mada husika.
Sorry sana,kila nachoongea hapa tofauti na mawazo yako definitely ni kuropoka,sasa kuna merit gani and who actually cares ukiita kuropoka maana ni maoni binafsi kama mimi navyoona unaropoka the same way!
Rejea tafsiri ya kuropoka hapo juu.
Trauma inaangalia una pesa kiasi gani au umefanikiwa kiasi gani?
Tafuta pesa mkuu,utajua kwanini nimeandika hayo.
Do you know maana ya childhood trauma?

Hujui

You are just talking nonsense hapa!
Nonsense ni hizi kuita baba yako mjinga.
 
Wazazi ni watu muhimu sana kwani wao ndio chanzo cha watoto ambao ndo utajiri wa Mungu, lakini haimaanishi kwamba kila wasemacho, wafanyacho na waamuacho ni sawa kwa sababu hua wana tabia ya kuamulia vitu watoto hao ambapo ni jambo zuri ila endapo amuzi ni sahihi.

Malezi ya mtoto huonyesha picha ya maisha yake ya baadae hivyo namna ya makuzi ya wazazi walio wengi kwasasa inaonesha madhara yake ambapo vijana wanalalamika hakuna ajira, hili ni kosa kwani wazazi wanatukuza kwa mtiririko au series ya maisha ambayo ndo inapelekea hali hii.

Wazazi walio wengi huwaambia watoto wao wasome, wafaulu vizuri, watafute ajira kwa maana nyingine huwafundisha watoto cha kufikiria na sio namna ya kufikiria ambapo hili ndo jambo la msingi ambalo litsaidia kujikwamua kiuchumi.

Tukufundishwa namna ya kufikiria ndio itakua rahisi kuweza kaweka katika vitendo yanayofundishwa mashuleni kwa mfano wanafunzi wa masomo ya sayansi wanafundishwa kuhusu umeme lakini unakuta shule yao ina matatizo ya upungufu wa umeme Jambo ambalo ni la aibu kubwa.

Wazazi wakiweza kufundisha watoto wao namna ya kufikira, kusikiliza maoni yao na kuonesha kujali katika jambo lolote dogo analofanya mtoto hata kutengeneza gari la bokilsi na kutampa mtoto ari ya kufikiria kitu kingine na kutengeneza kitu kingine tena na hapo sasa maendeleo ya kiuchumi ma teknolojia yatakua nje nje.
Fact...waambie ukweli sasa uone vitisho vyao vya kukuachia radhi,wazazi wa kiswahili NI UZUNI [emoji17][emoji17][emoji17]
 
Wazazi ni watu muhimu sana kwani wao ndio chanzo cha watoto ambao ndo utajiri wa Mungu, lakini haimaanishi kwamba kila wasemacho, wafanyacho na waamuacho ni sawa kwa sababu hua wana tabia ya kuamulia vitu watoto hao ambapo ni jambo zuri ila endapo amuzi ni sahihi.

Malezi ya mtoto huonyesha picha ya maisha yake ya baadae hivyo namna ya makuzi ya wazazi walio wengi kwasasa inaonesha madhara yake ambapo vijana wanalalamika hakuna ajira, hili ni kosa kwani wazazi wanatukuza kwa mtiririko au series ya maisha ambayo ndo inapelekea hali hii.

Wazazi walio wengi huwaambia watoto wao wasome, wafaulu vizuri, watafute ajira kwa maana nyingine huwafundisha watoto cha kufikiria na sio namna ya kufikiria ambapo hili ndo jambo la msingi ambalo litsaidia kujikwamua kiuchumi.

Tukufundishwa namna ya kufikiria ndio itakua rahisi kuweza kaweka katika vitendo yanayofundishwa mashuleni kwa mfano wanafunzi wa masomo ya sayansi wanafundishwa kuhusu umeme lakini unakuta shule yao ina matatizo ya upungufu wa umeme Jambo ambalo ni la aibu kubwa.

Wazazi wakiweza kufundisha watoto wao namna ya kufikira, kusikiliza maoni yao na kuonesha kujali katika jambo lolote dogo analofanya mtoto hata kutengeneza gari la bokilsi na kutampa mtoto ari ya kufikiria kitu kingine na kutengeneza kitu kingine tena na hapo sasa maendeleo ya kiuchumi ma teknolojia yatakua nje nje.

Somo zuri ,inabidi wazazi tuwafundishe watoto wetu elimu ya biashara na extracurricular activities ambazo zinaweza kuja kuwatoa kimaisha ukiacha elimu ya darasani.
 
Back
Top Bottom