kataip
Senior Member
- Aug 21, 2013
- 145
- 80
Natumai kazi zinaendelea!
Niende kwenye mada moja kwa moja. Asilimia kubwa wakipata pesa uwekeza kwenye mapenzi na ndugu na marafiki
Visa ni vingi tunaishi navyo watoto watavipata kupitia kwa ndugu, jamaa, jirani, marafiki wa wazazi , wanaona,watalirelate lakini mwisho wa siku mzazi atamlaumu mama kama anashirikiana na mtoto La la la..
Wanaume wapendeni wake zenu watawaheshimu wajibu wako kupenda huduma hata kwao alipata zinazolingana na maisha yake, wajalini watoto wenu tokea mimba mnawaumiza sana mama zao na kufunja bond kwa kisingizio cha usiri kwa mambo ufanyao.
Wajibika kwa mkeo na wanao huku nje wengi wanafata mserereko akili kichwani jifaharishe upigwe huku nje watu hawana huruma.
Niende kwenye mada moja kwa moja. Asilimia kubwa wakipata pesa uwekeza kwenye mapenzi na ndugu na marafiki
Visa ni vingi tunaishi navyo watoto watavipata kupitia kwa ndugu, jamaa, jirani, marafiki wa wazazi , wanaona,watalirelate lakini mwisho wa siku mzazi atamlaumu mama kama anashirikiana na mtoto La la la..
Wanaume wapendeni wake zenu watawaheshimu wajibu wako kupenda huduma hata kwao alipata zinazolingana na maisha yake, wajalini watoto wenu tokea mimba mnawaumiza sana mama zao na kufunja bond kwa kisingizio cha usiri kwa mambo ufanyao.
Wajibika kwa mkeo na wanao huku nje wengi wanafata mserereko akili kichwani jifaharishe upigwe huku nje watu hawana huruma.