Wazazi wawasaidie watoto wao wa kike kupata wachumba (mume)

Wazazi wawasaidie watoto wao wa kike kupata wachumba (mume)

hahahah hii imenifanya ku realise hawa madem wanaojifanya bitter ni single wa kuzidi [emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana wana hasira za hovyo. Nyege mbaya sana bro
Wakina cariha hao ,mda wote anapanic ...n mavyege yanamsumbua afu hana wa kumkuna ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi pia natafuta mwanaume jamani..Alie muisilamu na sio muisilamu jina..YAAANI HALI YA KUTAKA KUWA na mwenza..naitamani Sana kwani sitaki kuzini..na NAPATA Hali ya kutamani mwanaume Yaaani kudu..

Nateseka kwakweli.
Allah akupe hitaji la moyo wako
 
Endelea kuringa tuu bila kutumia akili uone balaa lake
Hivi nyie wanaume mnakwama wapi....Basi ringeni nyie Maana..hata mwanamke kuringa nako hamtaki...Acheni zenu

Kuringa Ni asili ya mwanamke...Hata hao wamiak 60 wanawaringia waume zao.Alaa
 
Basi unashauri nigawe papuchi TU hovyo...nisiringe napapuchi yangu ndo ntafikia lengo.

Kweli Wewe huna jema...zaidi unaniombea balaa.
Sasa papuchi umepewa ya nini? Lazma ukazwe ili mtu akifika bei akuchukue jumla..Sasa we uchumba utauendesha vipi bila kumbwato?

Hata ingekuwa mie tukiwa kwenye mahusiano lazma nikutie mikasi. Kama unahisi idea ya kuficha uchi ina work sikuhizi endelea kula ugali wa baba na mama apo.
 
Sasa papuchi umepewa ya nini? Lazma ukazwe ili mtu akifika bei akuchukue jumla..Sasa we uchumba utauendesha vipi bila kumbwato?

Hata ingekuwa mie tukiwa kwenye mahusiano lazma nikutie mikasi. Kama unahisi idea ya kuficha uchi ina work sikuhizi endelea kula ugali wa baba na mama apo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Haiwork kwako Mkuu..kwakua Ni wa Aina Fulani haimaanishi kuwa wote wapo hivyo..

Wewe nenda kanunue papuchi huko ndo ulikochagua...kwaiyo.kama Wewe umeamua kuwa mnunuzi wa papuchi...wengine tuna Uhuru wakubana papuchi zetu...WALA HATUPUNGUKIWI
 
Mimi pia natafuta mwanaume jamani..Alie muisilamu na sio muisilamu jina..YAAANI HALI YA KUTAKA KUWA na mwenza..naitamani Sana kwani sitaki kuzini..na NAPATA Hali ya kutamani mwanaume Yaaani kudu..

Nateseka kwakweli.
Pole sana.. kigezo cha dini kimeniondoa kwenye mchakato..
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Haiwork kwako Mkuu..kwakua Ni wa Aina Fulani haimaanishi kuwa wote wapo hivyo..

Wewe nenda kanunue papuchi huko ndo ulikochagua...kwaiyo.kama Wewe umeamua kuwa mnunuzi wa papuchi...wengine tuna Uhuru wakubana papuchi zetu...WALA HATUPUNGUKIWI
We kwa hii calibre yako nakuonea imani sana. Laiti ungejua tu! 😂😂😂
You really like fighting back than engaging!

Badilika binti...ohooo! Af nmeanza feel kwamba you must be Zoe!
 
We kwa hii calibre yako nakuonea imani sana. Laiti ungejua tu! [emoji23][emoji23][emoji23]
Na mimi.nakuhurumia Wewe kwa kuhalalisha maovu na ukayatetea kwa nguvu zako zote...

POLE SANA MKUU... Tubia madhambi yako..Mungu Ni msamehevu .
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Haiwork kwako Mkuu..kwakua Ni wa Aina Fulani haimaanishi kuwa wote wapo hivyo..

Wewe nenda kanunue papuchi huko ndo ulikochagua...kwaiyo.kama Wewe umeamua kuwa mnunuzi wa papuchi...wengine tuna Uhuru wakubana papuchi zetu...WALA HATUPUNGUKIWI
Una asili ya ubishi sana na striking back sijui ndio kujua sana...Kuna mtu alishabadilisha ID's zaidi ya 3 now ana mentality ya aina yako hio, nahisi umeswitch from Zoë
 
Back
Top Bottom