Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Yaani hawa viumbe hawapendani,wakiamua kugombana wanagombana hadi kero hata kwa kitu kidogo.Alafu wote ni ladies [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hawa viumbe hawapendani,wakiamua kugombana wanagombana hadi kero hata kwa kitu kidogo.Alafu wote ni ladies [emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee,naona mmeamua kutoleana uvivu.Mtu akiwa anakula unga...baadae akaacha...akaamua kuwa usia wengine wasile unga...haibadilishi Kwamba kashawai.kula unga...Lilo la muhimu nikwamba Kaachana nahiyo Tabia..
.ndo Maana nawewe nakusihi ACHANA na huu uchafu . .TANGU uanze kufanya umekusaidia Nini...zaidi ya kukuweka mbali na mUumba wako...
ZINAAA kwa mwanamke Ni mbaya sana..kuliko.hata mwanaume.
Inatufanya tuonekane vituko na Watu wasio na Maadili...
Ukiwa na sikio utasikia...Ila Kama unataka kupingana na ukweli.endelea.mama
Ungemfata Pm angekuona kuwa uko serious,angekukubalia.Kwa hiyo mnakuwa na usiku mrefu saana wa kupumzika, siyo?
Sasa hudhani baada ya saa 1 ndiyo muda mzuri wa wewe kukubali mtongozo wangu mkuu?
Nimerusha mawe kote kote mkuu.Ungemfata Pm angekuona kuwa uko serious,angekukubalia.
Hapo sawa.Nimerusha mawe kote kote mkuu.
Usiwe nashaka ndiyo najifunza kutongoza.
Hio ndo changamotoSiku hizi si wavulana wala wasichana kila mmoja anataka kujichagulia mwenyewe!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Heheiyaaa!!! This is jf bwanaSasa Wewe Tutty umefika.hatua...unachakatwa na wanaume alafu.unawakinai...yaaani UNATOMBWA asubuhi usiku umekinai..unataka mwingine...Sasa utatombwa na wangapi..na utapata Faida gani..
Ukiambiwa kuhusu kuachana na huo.uchafu na kutulizana na kufanya ibada..unakereka..nakutoa povu..Tena nlikfuta pm.kistaarabu.
Sasa basi ENDELEA KUTOMBWA HOVYO.... naona Hilo ndo linalokupa furaha.
Alafu wote ni ladies [emoji23][emoji23][emoji23]
Keyboard inadanganya ngoja umkute ana miguu kama chelewaKaribu pm tuyajenge
Mimi pia natafuta mwanaume jamani..Alie muisilamu na sio muisilamu jina..YAAANI HALI YA KUTAKA KUWA na mwenza..naitamani Sana kwani sitaki kuzini..na NAPATA Hali ya kutamani mwanaume Yaaani kudu..
Nateseka kwakweli.
Hili ndio tatizo kuu mkuuSiku hizi si wavulana wala wasichana kila mmoja anataka kujichagulia mwenyewe!
Njoo pmMimi pia natafuta mwanaume jamani..Alie muisilamu na sio muisilamu jina..YAAANI HALI YA KUTAKA KUWA na mwenza..naitamani Sana kwani sitaki kuzini..na NAPATA Hali ya kutamani mwanaume Yaaani kudu..
Nateseka kwakweli.
Naona...muda si mrefu ntafuta hii comment yangu.Njoo pm
Mkuu kunywa soda ntalipa,watu wanaongelea mabinti kama bidhaa sokoni,hivi ni mwanamke tu anataka ndoa.Duh! Hii Hali ya kuwaongelea kina Dada juu ya swala la Ndoa sijui kwann limeshika Kasi sana Ila mi nnavyoelewa isingekua social perspective kuchangia kwa kiasi kikubwa kumbana mwanamke na ndoa au watoto sidhani Kama wangekua wanahangaika hata na Sisi wanaume.. Wanaume baadhi tuache insecurities, hautaweza kupendwa na wadada wote.. sio kila utakae mtongoza Ni lazima akukubalie.. mnawaonea tu Mabinti zetu zaeni wa kwenu muone uchungu..
Ulimwengu mpya utaanza na mwanamke.. lakini zaidi unaanzishwa na Jinsi Mwanaume atakavyombadili Mwanamke.. Ni sawa na kusafisha dodoki ili likusafishe mwilini.. tukiwajenga vizuri na kuishi nao kwa upendo Hawa watu sio wabaya kiivyo..
Utapata tu Kama tabia yako, vaa yako ni nzuriMimi pia natafuta mwanaume jamani..Alie muisilamu na sio muisilamu jina..YAAANI HALI YA KUTAKA KUWA na mwenza..naitamani Sana kwani sitaki kuzini..na NAPATA Hali ya kutamani mwanaume Yaaani kudu..
Nateseka kwakweli.
Asante... Nimejuta kupost hiyo comment... LOOOHUtapata tu Kama tabia yako, vaa yako ni nzuri
Na unawaeshimu wakubwa kwa wadogo
Vipi lakini tena umejuta kwa nini au hutafuti tenaAsante... Nimejuta kupost hiyo comment... LOOOH
Ntaifuta.