Wazazi wengi huwakataza watoto wao wasioe Wanyakyusa, Wachaga na Wahaya. Nini Sababu?

Wazazi wengi huwakataza watoto wao wasioe Wanyakyusa, Wachaga na Wahaya. Nini Sababu?

yuda75

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2020
Posts
520
Reaction score
1,385
Habari wadau.

Topic hapo juu inajieleza huwa najiuliza hili swali bila majibu coz wazazi wengi huishia kusema tuu nimesema usioe Mnyakyusa, Mhaya au Mchaga bila kutoa ufafanuzi.

Kwanini? Hebu tujadiliane, kama unafahamu chochote kuhusu makatazo haya funguka hapa tafadhali
 
mkuu kwa Sisi WANYAKYUSA NI WACHAPA KAZI ......KILA KABILA LINATAMANI KUOA WANYAKYUSA
Ila kwa ndugu zangu wachaga .... Wanawake wao ni mabingwa wa kusaka pesa ...hawatak kumtegemea mume .....ila kuna wale wamachame wanauwa waume zao ........
Kwa wale ndugu zangu Wahaya wazee wa Maji mengi😃😃😃 WASOMI TZ nzima wakifuatia wachaga + wanyakyusa .....naskia hawajui.kunyima 🏃🏃🏃🏃
 
Kweli mkuuu...Sasa Wewe umeambiwa na Mama yako...unakuja kudhani wazazi wote wanawaza.kama.mama.yako...

Uwe unatumia Akili kidunchu tu..kabla hijadhirishisha

Kweli mkuuu...Sasa Wewe umeambiwa na Mama yako...unakuja kudhani wazazi wote wanawaza.kama.mama.yako...

Uwe unatumia Akili kidunchu tu..kabla hijadhirishisha ufinyu wa medula yako
najaribu kukujibu ila
 

Attachments

  • man u.mp4
    256 KB
Huo ni ukweli na wanaopinga humu wanatoka kwenye makabila hayo.

Wachaga wakiolewa wanataka wakuhamishie kwenye familia yao. Yani eti mimi nikuoe alaf December na mimi nifunge safari kwenda uchagani.... over my deadbody.

Achana na kunipeleka mimi. Hata wew kwenda uchagani sio lazima December nitakupeleka hata March ukawaone wazazi. Ukifuatilia vzr ndoa nyingi za kichaga mara nyingi mwanamke yuko juu ya mwanaume.

Mapovu ruksa
 
Huo ni ukweli na wanaopinga humu wanatoka kwenye makabila hayo.

Wachaga wakiolewa wanataka wakuhamiahie kwenye familia yao. Yani eti mimi nikuoe alaf December na mimi nifunge safari kwenda uchagani.... over my deadbody.

Achana na kunipeleka mimi. Hata wew kwenda uchagani sio lazima December nitakupeleka hata March ukawaone wazazi. Ukifuatilia vzr ndoa nyingi za kichaga mara nyingi mwanamke yuko juu ya mwanaume.

Mapovu ruksa
Enhe makabila mengine...hapo..kataka.makabila.matatu
 
najaribu kukujibu ila
Ilitakiwa unyamaze kabla hujaleta Bandiko lako..kutokana na mawazo ya FAMILIA YENU....
Ingekuwa unayoyasema ninkweli...haya makabilia yasinge OA makabila mengine.

Yaaani Sio Lila unaloaambiwa unabebana nalo
 
Back
Top Bottom