Wazazi wengi huwakataza watoto wao wasioe Wanyakyusa, Wachaga na Wahaya. Nini Sababu?

Wazazi wengi huwakataza watoto wao wasioe Wanyakyusa, Wachaga na Wahaya. Nini Sababu?

Uko sahihi kabisa!

Just imagine unaoa kabila wanatoa maji, Licha ya maji wanagawa ovyo kama karanga, Shikilia hapohapo wengine wanapenda pesa kuliko mume

Kwanini wazazi wasikatae?

Enewei na mimi nimeoa mnyakyusa ni mtam kweli
 
Sababu walikuwa wanaamini Tabia ni kama ngozi ya mwili kuibadili ni kazi,hizo tabia zilithishwa wakati Jamii nyingi wanakaa pamoja hamna mwingiliano wa Watu ila kwa sasa imepungua kwa kiasi kudogo.
1.Wanawake wa kihaya wengi ni Malaya
2.Wanawake wa Kinyakusya wengi wabinafsi na hapa Mara mia uoe Mchawi.
3.Wanawake wa Kichaga hawana Utu achelewi kukuwekea simu ili tu Mali mlizochuma wote abaki nazo yeye.
 
Bora hata mchaga unaweza kaa naye ila mnyakyusa hasa wale wa kyela ndiyo balaa tupu ujiandae kuchapiwa, kupewa midawa na ukiishiwa hela anahamia kwa mwingine ,, Yani kwa ujumla ukitaka usipate stress za ndoa oa kabila lako ,, mda ukifika wa kuoa nenda kaoe kijijini kwenu hutojuta
Kwa Mnyakyusa, atakayekupinga jua ni mwanamke wa Kinyakyusa.
 
Umeongea ukweli mtupu kabisa , ukioa mchaga lazima ujishushe chini ndiyo ndoa inadumu ila hivi hivi lazima ife

Wanyakyusa hasa wale wa kyela ni Malaya number moja na anaolewa kwako kufata hela tuu hela zikiisha anakimbia na ndiyo maana mbeya wengi wanawake wameachana ba ndoa zao hawakaliki kwenye ndoa
Wanyakyusa wa Tukuyu, Ubabe. Ukimuoa labda ukubali kuwa chini yake.
 
Habari wadau.... Topic hapo juu inajieleza huwa najiuliza hili swali bila majibu..coz wazazi wengi huishia kusema tuu nimesema usioe mnyakyusa,mhaya au mchaga..bila kutoa ufafanuzi..kwanini..hebu tujadiliane..kama unafahamu chochote kuhusu makatazo Haya Funguka Hapa Tafadhal
Una maana gani unaposema wazazi wengi?
Swali hili linaonyesha ulivyo mbumbumbu kichwani.
 
Back
Top Bottom