Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli watuache MakuhaniHahahaha achana nao nkamu, wakome kutusingiza
Hahaha afu hilo hawalioni. Watakuja watuchambe kuwa tunajifanya wacha Mungu kumbe wanga wakubwa
Toa hilo borokoa Tanzania hatuna corona.Labda wazazi wa Instagram.
Kwa Mnyakyusa, atakayekupinga jua ni mwanamke wa Kinyakyusa.Bora hata mchaga unaweza kaa naye ila mnyakyusa hasa wale wa kyela ndiyo balaa tupu ujiandae kuchapiwa, kupewa midawa na ukiishiwa hela anahamia kwa mwingine ,, Yani kwa ujumla ukitaka usipate stress za ndoa oa kabila lako ,, mda ukifika wa kuoa nenda kaoe kijijini kwenu hutojuta
Wanyakyusa wa Tukuyu, Ubabe. Ukimuoa labda ukubali kuwa chini yake.Umeongea ukweli mtupu kabisa , ukioa mchaga lazima ujishushe chini ndiyo ndoa inadumu ila hivi hivi lazima ife
Wanyakyusa hasa wale wa kyela ni Malaya number moja na anaolewa kwako kufata hela tuu hela zikiisha anakimbia na ndiyo maana mbeya wengi wanawake wameachana ba ndoa zao hawakaliki kwenye ndoa
Watuchambe mara ngapi my dearHahaha afu hilo hawalioni. Watakuja watuchambe kuwa tunajifanya wacha Mungu kumbe wanga wakubwa
Mdogo wangu mimi sibabaiki na maneno ya walimwengu kwani hayabebi hatma yangu.
........nyie watoto wa mjin ...mnapenda wanawake wafuga makucha plus wigiMimi sijawahi tamani
Una maana gani unaposema wazazi wengi?Habari wadau.... Topic hapo juu inajieleza huwa najiuliza hili swali bila majibu..coz wazazi wengi huishia kusema tuu nimesema usioe mnyakyusa,mhaya au mchaga..bila kutoa ufafanuzi..kwanini..hebu tujadiliane..kama unafahamu chochote kuhusu makatazo Haya Funguka Hapa Tafadhal
Wanyakyusa ni washamba tuu na wanajipaka mikorogo........nyie watoto wa mjin ...mnapenda wanawake wafuga makucha plus wigi
.......sawa Dar manWanyakyusa ni washamba tuu na wanajipaka mikorogo
Mwee ndagha fijo kalumbuMdogo wangu mimi sibabaiki na maneno ya walimwengu kwani hayabebi hatma yangu.
Lengo langu lipo pale pale
Lazima nilete ng'ombe nyumbani
Ndaga fijo