Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyakyusa mafiga matatuHabari wadau.... Topic hapo juu inajieleza huwa najiuliza hili swali bila majibu..coz wazazi wengi huishia kusema tuu nimesema usioe mnyakyusa,mhaya au mchaga..bila kutoa ufafanuzi..kwanini..hebu tujadiliane..kama unafahamu chochote kuhusu makatazo Haya Funguka Hapa Tafadhal
Kwa upande wa familia za kawaida kijana anajichagulia mwenza ila kwa familia tajiri au za kitawala suala la kijana kupata mwenza ni jukumu la familia.Hivi huwa ninaoa mke kwa ajili yangu au ya wazazi.....mimi mzazi akinipangia kabila la kuoa tunagombana mapema sana
Huyo malaya hawezi kutoka kwenye kabila lenuBora hata mchaga unaweza kaa naye ila mnyakyusa hasa wale wa kyela ndiyo balaa tupu ujiandae kuchapiwa, kupewa midawa na ukiishiwa hela anahamia kwa mwingine ,, Yani kwa ujumla ukitaka usipate stress za ndoa oa kabila lako ,, mda ukifika wa kuoa nenda kaoe kijijini kwenu hutojuta
Mkuu hii comment yako inafanya tuzidi kubaki single girls wa kinyakyusa 😒, naamini kabila hali determine tabia ya mtu bana, anaweza kuwa kabila lingine na akawa na tabia mbovu pia, afu wanyaki ni wastaarabu sana.Bora hata mchaga unaweza kaa naye ila mnyakyusa hasa wale wa kyela ndiyo balaa tupu ujiandae kuchapiwa, kupewa midawa na ukiishiwa hela anahamia kwa mwingine ,, Yani kwa ujumla ukitaka usipate stress za ndoa oa kabila lako ,, mda ukifika wa kuoa nenda kaoe kijijini kwenu hutojuta
Ila wameanza kudanga sikuhizi, hii sidhani kama ni ustaarabu 😂😂😂Mkuu hii comment yako inafanya tuzidi kubaki single girls wa kinyakyusa 😒, naamini kabila hali determine tabia ya mtu bana, anaweza kuwa kabila lingine na akawa na tabia mbovu pia, afu wanyaki ni wastaarabu sana.
Wanyakyusa wanadanga??? Siyo kweli wanaodanga ni mixer tuu siyo wanyaki peke yao! Utuache.😀Ila wameanza kudanga sikuhizi, hii sidhani kama ni ustaarabu 😂😂😂
We Ni mmalila au mnyamanyafu au mnyihaMimi ningekuwa na uwezo ningehama kabila niwe Mnyakyusa.
Yani tuwaache mdange tu au sioWanyakyusa wanadanga??? Siyo kweli wanaodanga ni mixer tuu siyo wanyaki peke yao! Utuache.😀
Hamna mnyaki anadanga wewe! Wanajitambua na majukumu yao halali ya kutafuta dough. Bora kuuza hata genge ila siyo mdango.😬Yani tuwaache mdange tu au sio
Mkuu unasema hao ndio cream of the nation alafu unazungumzia uchumi (wajasiriamali) na elimu tu (wasomi)......Kama uoi au kuolewa na makabila hayo,itabidi usubiri sana,hao ndio cleam of the nation,the most educated,entrepreneurial,the most elites,wamejaa kila sekta,afya,madini,fedha,security,
Nchi hii ina makabila zaidi ya 120,lakini uchumi unashikwa na makabila yasiofika 10!
Na the top most,ni hao,haya,chaga,nyakyusa,then wanafata,sukuma,wakinga,na wenyeji wa mara,
Hiyo zaman sababu zilikuwa zipi mkuuHio ilikua zamani
Siku hizi haya mambo yamepungua sana
Zamani nilikuwa Mndali, nikahama kabila nikahamia kwa Wakimbu, ila Sasa nimekuwa Mwanji
[emoji3516]Kama uoi au kuolewa na makabila hayo,itabidi usubiri sana,hao ndio cleam of the nation,the most educated,entrepreneurial,the most elites,wamejaa kila sekta,afya,madini,fedha,security,
Nchi hii ina makabila zaidi ya 120,lakini uchumi unashikwa na makabila yasiofika 10!
Na the top most,ni hao,haya,chaga,nyakyusa,then wanafata,sukuma,wakinga,na wenyeji wa mara,
Mimi ningekuwa na uwezo ningehama kabila niwe Mnyakyusa.
Labda wazazi wa Instagram.
[emoji3516]Hivi "makabila" ndo nini?