Wazee huyu ni nyoka aina gani?

Wazee huyu ni nyoka aina gani?

siyo black mamba hakuna black mamba hapo
Sibishani na wewe . Amini unalo amini mkuu ila mimi nimetoa vigezo vyangu kwanini ni black mamba .hata wewe unaweza kuweka vigezo vilivyokufanya ukasema huyo sio black mamba.
Huyo jamaaa kwanza anabahati mnooo kumua huyo nyoka . Angeweza kusababisha maafa kwake na kwa watu waliomzunguka
 
Kwa kutumia rangi tu unahitimisha ni black mamba? Au mnatumia kigezo gani? Urefu?

BM ana wastani wa 8ft huku akifikisha hadi 14ft.

Simjui jina ila huyo nyoka kwenye picha ni wengi mno kanda ya ziwa hasa Shinyanga na Tabora kipindi hiki mvua zikikatika.

Hawasimamishi vichwa wala siyo weusi mdomoni na wala hawarushi mate/sumu.
Kanda ya ziwa "hasa Tabora na Shinyanga"?Hiyo mikoa ni kanda ya ziwa?🙄
 
Siwezi kusema ni black mamba mpaka nione mdomo wake. Kwa urefu wake black mamba angekua mnene zaidi. Swila nae anaumbo hili hili. Black mamba kumuua shughuli ipo
 
Kama ni sawa walivyosema waliotangulia "black mamba", Kiswahili anaitwa koboko kama sikosei.

Wanasema ni nyoka hatari zaidi duniani kwa sababu ana tabia za kushambulia pasi na kuchokozwa, ana sumu kali sana, haachi meno yake akigonga, kwa hiyo ana uwezo wa kugonga watu au wanyama hata 100 wakiwa karibu nae.

Pia ana mbio kuliko nyoka yoyote.

Tujikinge sana na nyoka hao na wengine.

Wa hatari zaidi kuliko huyo koboko ni binaadam mwenzetu.
Nyoka mwingine hatari zaid ni Abdallah asiye na macho. Ana mdomo bila meno
 
Nyoka wote wangekuwa ni wa sumu ya kuua basi binadamu tungeisha isha...
10% - 15% ya nyoka wote duniani ndio wenye sumu, kwa maana hiyo 85% - 90% ya nyoka tunaowaona hawana sumu ya kuua mtu. Wanang'ata kujilinda tu na ukipata tiba maisha yanaendelea

Tulio wengi hatujui yupi mwenye sumu na yupi hana, kwa hiyo ukimwona nyoka we ua tu, usije kufa kizembe
Daah umeongea maneno aliwahi niambia Mzee wangu ila yeye alisema usiue Nyoka wala mijuzi tunaishi kwa kutegemeana labda huyo nyoka awe anaonesha kukudhuru nimekutana na nyoka wengi sana sana sijaua hata mmoja sema huku kwetu kitengo cha Maliasili ukiwapigia kuhusu nyoka hawaji kabisaa...
 
Watu wanasema ni black mamba ila mimi hadi ningeona akiwa kaachama mdomo wake ndiyo ningesema.

Au ungeniambia wakati amezingirwa alionyesha tabia gani ndiyo ningesema.

Kwa huo urefu na tabia za black mamba ilitakiwa awe kajeruhi mtu unless kulikua na pro.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu wa dar bhana hawajui hata nyoka!

Hivi huwa hamfuatilii hata kwenye tv kujua aina ya nyoka?

Eti ni black mamba,.

Huyo ni vile vijoka vinapenda kuishi kwenye majani madogo madogo vikila wadudu wadogo wadogo, hako sia ajabu ukaamka asubuhi ukakakuta kako kwenye maua na akipigwa na baridi kanakuwa kajinga jinga flani hivi.

Kiufupi hamna black mamba hapo.
 
kifupi hamna nyoka hapo alafu umekaua ka innocent kabisa aise! kamekukosea nini?
usirudie tena wanawake ndo wanaruhusiwa kuua nyoka wadogowadogo hivyo sababu wao ni waoga ila kwa sisi wanaume angalau unaweza kumuua nyoka mwenye urefu kwanzia mita 7 na unene wa mkono wa mtu mzima
hivi vinyoka vidogo kamata umrudishe porini akaishi maisha yake.
Usipomuua leo kuna mtu atadhurika kesho
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu wa dar bhana hawajui hata nyoka!

Hivi huwa hamfuatilii hata kwenye tv kujua aina ya nyoka?

Eti ni black mamba,.

Huyo ni vile vijoka vinapenda kuishi kwenye majani madogo madogo vikila wadudu wadogo wadogo, hako sia ajabu ukaamka asubuhi ukakakuta kako kwenye maua na akipigwa na baridi kanakuwa kajinga jinga flani hivi.

Kiufupi hamna black mamba hapo.
Ungenyamaza tu kaka...
 
Kama ni sawa walivyosema waliotangulia "black mamba", Kiswahili anaitwa koboko kama sikosei.

Wanasema ni nyoka hatari zaidi duniani kwa sababu ana tabia za kushambulia pasi na kuchokozwa, ana sumu kali sana, haachi meno yake akigonga, kwa hiyo ana uwezo wa kugonga watu au wanyama hata 100 wakiwa karibu nae.

Pia ana mbio kuliko nyoka yoyote.

Tujikinge sana na nyoka hao na wengine.

Wa hatari zaidi kuliko huyo koboko ni binaadam mwenzetu.
Kibibi Naona Leo umeongea pwenti

Hata wewe ni nyoka hatari sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu wa dar bhana hawajui hata nyoka!

Hivi huwa hamfuatilii hata kwenye tv kujua aina ya nyoka?

Eti ni black mamba,.

Huyo ni vile vijoka vinapenda kuishi kwenye majani madogo madogo vikila wadudu wadogo wadogo, hako sia ajabu ukaamka asubuhi ukakakuta kako kwenye maua na akipigwa na baridi kanakuwa kajinga jinga flani hivi.

Kiufupi hamna black mamba hapo.
Katakuwa ka-CCM hako.Uongo mkuu?
 
Back
Top Bottom