Wazee huyu ni nyoka aina gani?

Wazee huyu ni nyoka aina gani?

Sibishani na wewe . Amini unalo amini mkuu ila mimi nimetoa vigezo vyangu kwanini ni black mamba .hata wewe unaweza kuweka vigezo vilivyokufanya ukasema huyo sio black mamba.
Huyo jamaaa kwanza anabahati mnooo kumua huyo nyoka . Angeweza kusababisha maafa kwake na kwa watu waliomzunguka
Labda wewe ndo unabishana mi sibishani ila nakueleza ukweli huyo siyo black mamba
 
Kama ni sawa walivyosema waliotangulia "black mamba", Kiswahili anaitwa koboko kama sikosei.

Wanasema ni nyoka hatari zaidi duniani kwa sababu ana tabia za kushambulia pasi na kuchokozwa, ana sumu kali sana, haachi meno yake akigonga, kwa hiyo ana uwezo wa kugonga watu au wanyama hata 100 wakiwa karibu nae.

Pia ana mbio kuliko nyoka yoyote.

Tujikinge sana na nyoka hao na wengine.

Wa hatari zaidi kuliko huyo koboko ni binaadam mwenzetu.
Peleka ujinga huko, hakuna nyoka anamshambulia mtu bila sababu. Na hakuna nyoka anaemgonga mtu/kitu akaacha meno yake.

Na pia kusema anaweza kugonga watu/wanyama 100 kwa wakati mmoja sio kweli bali calculations hizo hufwanywa kwa volume ratio ya venom yake. Kwamba aki inject cc kadhaa zinaweza kuua kiumbe cha aina gani.

Sorry I am not sorry.

Meet me, I am Simon Keys.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu wa dar bhana hawajui hata nyoka!

Hivi huwa hamfuatilii hata kwenye tv kujua aina ya nyoka?

Eti ni black mamba,.

Huyo ni vile vijoka vinapenda kuishi kwenye majani madogo madogo vikila wadudu wadogo wadogo, hako sia ajabu ukaamka asubuhi ukakakuta kako kwenye maua na akipigwa na baridi kanakuwa kajinga jinga flani hivi.

Kiufupi hamna black mamba hapo.
Watu wengi hawawafahamu hawa viumbe. Ndio maana kuna soga za ajabu za kutungwa
 
Nyoka wote wangekuwa ni wa sumu ya kuua basi binadamu tungeisha isha...
10% - 15% ya nyoka wote duniani ndio wenye sumu, kwa maana hiyo 85% - 90% ya nyoka tunaowaona hawana sumu ya kuua mtu. Wanang'ata kujilinda tu na ukipata tiba maisha yanaendelea

Tulio wengi hatujui yupi mwenye sumu na yupi hana, kwa hiyo ukimwona nyoka we ua tu, usije kufa kizembe
Uue tu? Acha ujinga wewe. Shauri watu wajifunze kuhusu nyoka, wajue ni wapi hatari na jinsi ya kuwa handle ila sio kuua.
 
Mama yake na wadogo zake hawako mbali.Chukua tahadhari.
 
It’s a Black Mamba (Dendroaspis polylepis). Highly venomous elapid with a fast acting neurotoxic venom. General appearance and head shape indicates it.he has death smile and a length also. Not only that has got a shape of deroaspis polylepis. Mkibisha ni nyie mmeamua although huyu sio mkubwa to the maximum ni saizi ya kati ila simu ipo palepale .

Nb nimesomea nyoka nawajua. Ukigongwa na huyu nyoka mguuni na ukakosa matibabu kwa Lisa umeenda , ila ukigongwa kifuani ama kichwani dkk 15 haupo . Ila ukigongwa mguuni,Anti venom yake ya kukuponya ipo snake park meserani arusha tu .

Na unatakiwa kuchomwa chupa zisizopungua 15 ili kuokoa maisha yako . Kila chupa ina gharimu $200 kwahyo tujipange kwelikweli. Bahati nzuri snake park wanatoa hizo anti venom bure kama kurudisha mchango kwa jamiii. Ila bahati mbaya Hospitali zetu nyingi hazijui kutibu majeraha ya nyoka.
Huyu nyoka alitakiwa apotezwe tubaki tanamsoma kwenye history books.
Ni hatari sana
 
Ungenyamaza tu kaka...
Hujui nyoka mkuu!..

Njoo hapa chanika tu ntakuonesha kama hao wapo kibao tunaishi nao kwenye garden tu.

Black mamba hawezi kuishi kwenye mazingira ya kindezi namna hiyo.

Huyo hata meno ya kukung'ata hana achilia mbali sumu.
 
Zezeta la mwendakuzimu hilo, kichwani hamna kitu.
Tayari kinyeo kimekuwasha baada ya kuniona mimi mfuasi wa mbutuaji wako?


Alafu unaishi na kulelewa kwa shemeji alikooleea dadako utawajulia wapi nyoka wewe?
 
It’s a Black Mamba (Dendroaspis polylepis). Highly venomous elapid with a fast acting neurotoxic venom. General appearance and head shape indicates it.he has death smile and a length also. Not only that has got a shape of deroaspis polylepis. Mkibisha ni nyie mmeamua although huyu sio mkubwa to the maximum ni saizi ya kati ila simu ipo palepale .

Nb nimesomea nyoka nawajua. Ukigongwa na huyu nyoka mguuni na ukakosa matibabu kwa Lisa umeenda , ila ukigongwa kifuani ama kichwani dkk 15 haupo . Ila ukigongwa mguuni,Anti venom yake ya kukuponya ipo snake park meserani arusha tu .

Na unatakiwa kuchomwa chupa zisizopungua 15 ili kuokoa maisha yako . Kila chupa ina gharimu $200 kwahyo tujipange kwelikweli. Bahati nzuri snake park wanatoa hizo anti venom bure kama kurudisha mchango kwa jamiii. Ila bahati mbaya Hospitali zetu nyingi hazijui kutibu majeraha ya nyoka.
Koboko wako wengi chunya na songwe huku

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Kwa kutumia rangi tu unahitimisha ni black mamba? Au mnatumia kigezo gani? Urefu?

BM ana wastani wa 8ft huku akifikisha hadi 14ft.

Simjui jina ila huyo nyoka kwenye picha ni wengi mno kanda ya ziwa hasa Shinyanga na Tabora kipindi hiki mvua zikikatika.

Hawasimamishi vichwa wala siyo weusi mdomoni na wala hawarushi mate/sumu.
Kweli kabisa, wakati mwingine unaamka asubuhi unamkuta kajiviringisha tu mahala katulia .. kama Tabora wapo wengi sana hata mijini.. unaweza hisi koboko kumbe sio
 
Back
Top Bottom