Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwenye hii thread, mugambo wataruka na kukanyagana.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiridhishe kama hamiliki mguu wa kuku.Tusijesikia ...yaalaa..!Sijajuia course mzee ameishi sana USA
Chunguza.Siyo Pdidy kweli huyo katorokea Bongoland?Kuwa makini mkuu.Sijajuaaa mzeee mwenyewe yuko mjanja mjanja
Unafikiri wzee hwazi kfraWazee mm kuna demu namkula ila ni mke wa mtuu lakini mumewe ni mzee wa 72 years sasa huyuu mazi ameniganda sanaa nifanyajee wakuuu
Utaona tu broKwann kaka
Subiria kulogwa na hicho kibabuWazee mm kuna demu namkula ila ni mke wa mtuu lakini mumewe ni mzee wa 72 years sasa huyuu mazi ameniganda sanaa nifanyajee wakuuu
Not necessarily mke awe kwenye late 40's or early 50's. Dame anaweza kuwa kwenye 30's. Ume sahau akina mzee Kauzeni na Said hapo Mwanalumango?Kama mume ana 72yrs, means huyo mamkubwa hawezi kosa 50s…. Na unamuita demu? Watu wa Dar mna shida gani?
Kama mume ana 72yrs, means huyo mamkubwa hawezi kosa 50s…. Na unamuita demu? Watu wa Dar mna shida gani?