Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀
Wow. Huyo mzee wa 72 yrs anajitafutia kifo mwenyewe. Ndiyo akina Jocob Zuma, alimuoa Glolia Bongekile aliyekuwa ana miaka 24 yeye akiwa kwenye 70's. 2012Dem ako na 28 amezaliwa 1996
Hivi hawa mods huwa wanalipwa au wanajitolea bure? Maana naona thread ya hovyo inaendelea kuwepo hewani
ChaiWazee mm kuna demu namkula ila ni mke wa mtuu lakini mumewe ni mzee wa 72 years sasa huyuu mazi ameniganda sanaa nifanyajee wakuuu
Hamna ushauri, Acha ujingaWazee mm kuna demu namkula ila ni mke wa mtuu lakini mumewe ni mzee wa 72 years sasa huyuu mazi ameniganda sanaa nifanyajee wakuuu
oya mbona unatujumuisha wote, Dar ina watu wengi.Kama mume ana 72yrs, means huyo mamkubwa hawezi kosa 50s…. Na unamuita demu? Watu wa Dar mna shida gani?
Mnzzyuu! Shenzi toka hapa. Nenda Kawaulize vijana wenzio wakushauri halafu na tena ww usubiri uone matokeo ya ligi uloianzisha. Wenzio wanakaa mbali na mali za wazee wewe unajitia kuwa kidume?Wazee mm kuna demu namkula ila ni mke wa mtuu lakini mumewe ni mzee wa 72 years sasa huyuu mazi ameniganda sanaa nifanyajee wakuuu
You have a point. Inabidi ajitafakari kwa hayo anayofanya.Subiri laana ya mzee! Huoni aibu kushare na mzee wa miaka 72? Ndo maana mnakufa kipindi cha uteuzi kisa laana kama hizi.
Hii thread siyo ya hovyo. Mleta thread anaweza akawa ameibuni lakini inafaa kwa mafunzo katika uhalisia wa siku hizi kwani hayo mambo yapo na yanatokea mara kwa mara. Uzi huu utafaa sana kuwaonya esp. vijana wanaodhani wazee hawana cha kuwafanya hao vijana watukutu wanaoruka-ruka hovyo.Hivi hawa mods huwa wanalipwa au wanajitolea bure? Maana naona thread ya hovyo inaendelea kuwepo hewani
Achana na huyo dem la sivyo kaburi lako nalionaWazee mm kuna demu namkula ila ni mke wa mtuu lakini mumewe ni mzee wa 72 years sasa huyuu mazi ameniganda sanaa nifanyajee wakuuu
Una acha wa 18 unahangaika na 28! Zimo kweliYeye ako na 28
Acha ujinga yani unapiga mke halafu unakuja kutaka ushauri.Wazee mm kuna demu namkula ila ni mke wa mtuu lakini mumewe ni mzee wa 72 years sasa huyuu mazi ameniganda sanaa nifanyajee wakuuu
Acha ujinga yani unapiga mke wa mtu unakuja kutaka ushauri.Wazee mm kuna demu namkula ila ni mke wa mtuu lakini mumewe ni mzee wa 72 years sasa huyuu mazi ameniganda sanaa nifanyajee wakuuu
🙆Kula tu mwanangu.
Tena peleka moto haswaaaaa.