Wazee tujuzane codes maana Kuna watu wanapiga sana simu

Wazee tujuzane codes maana Kuna watu wanapiga sana simu

Sasa hii feature ukiblock no kule anayekupigia ataambiwa uko busy kila mara atajua ushampiga tofali... Hizo codes unazozibeza ndiyo zinafanya kazi kila angle, mfano mimi sitaki mtu ajue nimemblock ila akini pigia simu aambiwe sipo hewani (ila ki uhalisia nakua nipo hewani ila sitaki usumbufu tu) huwa naweka code hizi 21*07541251252# ila meseji zinanifikia, so akiniuliza kwanini nakupigia naambiwa hupatikani ila meseji zinafika? Hili swali nafikiri unaweza kujibu kirahisi tu na mtu akaelewa ila ukweli unakua unaujua ww mwenyewe...

Kimbembe eti uwashe hii feature umblock mtu kila akipiga aambiwe uko busy aaah hapo lazima ajue tu hata mtoto wa darasa la 7 alieanza kumiliki simu juzi atajua umemblock!
Mkuu,
Hiyo namba inakuwa ya kwako au ni ya yule usiyetaka akupate?
 
Mkuu Saiz unaset simu yako Tu akuna tena shida ya *### sjui madudu gani Simu hiz za sasa Mambo bul bul we nenda SEHEMU ya call hapo ata uki mblock mtu unafunga na namba mpya akupati akitumia namba ngeni akupati
Pia Una hamua Nani akupate Kwa kuwaweka VIP contact

Lakini akikutafuta we utaona juu ya kioo uki scrl down utaona flani kakucheki au kuna namba mpya ime kucheki.
Labda kama simu yako isiwe na huu uwezo ila matoleo ya sasa mengi yapo ivyo.
View attachment 2962645
Nadhani hii inakataa kufanya kazi mkuu. Noishaijaribu hii njia.
 
Sasa hii feature ukiblock no kule anayekupigia ataambiwa uko busy kila mara atajua ushampiga tofali... Hizo codes unazozibeza ndiyo zinafanya kazi kila angle, mfano mimi sitaki mtu ajue nimemblock ila akini pigia simu aambiwe sipo hewani (ila ki uhalisia nakua nipo hewani ila sitaki usumbufu tu) huwa naweka code hizi 21*07541251252# ila meseji zinanifikia, so akiniuliza kwanini nakupigia naambiwa hupatikani ila meseji zinafika? Hili swali nafikiri unaweza kujibu kirahisi tu na mtu akaelewa ila ukweli unakua unaujua ww mwenyewe...

Kimbembe eti uwashe hii feature umblock mtu kila akipiga aambiwe uko busy aaah hapo lazima ajue tu hata mtoto wa darasa la 7 alieanza kumiliki simu juzi atajua umemblock!
Akuna kitu kama icho kama uamini nikupe namba yangu upige Alaf leta mrejesho simu aisemi iko bize inakata yenyewe bila kuongea chochot uwe nime block au nimezuia call zote au namba mpya narudia kama uamini nikupe namba yangu piga Lete mrejesho hapa.
Unajua watu wame Kalili mtu uki mblock basi utaambiwa simu bize ok ukiwa Una ongea na mtu pia kuna simu zina kwambia user busy apo je tusemej pia kuna simu zina kwambia ana ongea na mtu mwingine Kwa simu yangu Niki block ukpiga simu yako inakata yenyewe nikizuia call ivyo ivyo na nisipotaka Ku mblock nafuta jina naacha namba inakua namba ngeni nazuia namba ngeni lakin ikiingia namba ngeni simu pia ina onesha. Ila yeye ainipati
Labda kama simu zimetofautiana na wote nnao wafanyia ivyo wakin text wanasem sipatikan wengine mtandao akuna ata siku moja alisema umeni block kutokana na watu kujua Kwamba mtu aki kublock basi simu itasema bize saiz toafut Mambo yamechange sasa.
 
Back
Top Bottom