MANDEVUMENGI
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 1,345
- 3,570
Note
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu nimejaribu hii lakini naona inazuia sms tu nikipigiwa napatikanaMleta mada unachotaka ni hiki: piga -nyota, thelathini na tano, nyota,-sifuriX4, nyota, kumi na moja reli. hapo ataambiwa namba haipo, au imezuiliwa muda.
Wewe utapata missed call hiyo
mmmh kweli?!mkuu nimejaribu hii lakini naona inazuia sms tu nikipigiwa napatikana
Hii ni simu ya aina gani ina hivi vitu nisaidie tafadhaliMkuu Saiz unaset simu yako Tu akuna tena shida ya *### sjui madudu gani Simu hiz za sasa Mambo bul bul we nenda SEHEMU ya call hapo ata uki mblock mtu unafunga na namba mpya akupati akitumia namba ngeni akupati
Pia Una hamua Nani akupate Kwa kuwaweka VIP contact
Lakini akikutafuta we utaona juu ya kioo uki scrl down utaona flani kakucheki au kuna namba mpya ime kucheki.
Labda kama simu yako isiwe na huu uwezo ila matoleo ya sasa mengi yapo ivyo.
View attachment 2962645
Lioa madeniWasalaaaaaam........
Wataalam Kuna zile code ambazo ukiweka kwenye laini mtu akikupigia hakupati hewani ila Kwa mesej mnachati vizuri tu na unapata taarifa muda huo huo kuwa flani alikutafuta hewani hajakupata Kwa hiyo ni uamuz wako umpigie au laa.
Ila wewe ukimpigia unampata hewani ila akikupigia tu yeye hakupati hewani.
Na Kuna namna ya kuzitoa hizo codes yaani unaamua saizi niweke alafu muda wowote ukiamua unazitoa.
Nimewahi sikai hii kitu ila sijawahi kuprove. Najua humu kuna wataalam wanawezaelewa hii ishu......
Mi natumia oppo na oppo karbu kila nnayo ona ina hiz feature ndani na pia kampun zingne pia baadhi zipoHii ni simu ya aina gani ina hivi vitu nisaidie tafadhali
Inaelekeza kuwa call ipo diverted to other number je hakuna Ile kuwa namba haipatikani hewani?*21*0754# hii inakupa namba unayopiga haipo ila sms zinafika na hakuna atakayekupata kuondoa ni #21#
Hii ndo best of all inajibu simu haipatikani kwishamkuu nimejaribu hii lakini naona inazuia sms tu nikipigiwa napatikana
jaribu ##21# au *#21#mkuu kuna namna nyngen yakuondo maana nmejaribu hyo imegoma
Kuhusu kudukua sms.Vp kuhusu kudukua sms au call za simu nyingine? Tupeane maujanja wakuu
Angalizo:mchezo huu ni hatari kwa afya ya mwili na akili hivyo usijaribu kuufanya kwa mtu wako wa karibu umpendaeKuhusu kudukua sms.
Ingia kwenye simu ya mtu husika unaetaka kumdukua then badili message system iwe ya google sms kupitia playstore
Baada ya kubadili...Kisha bonyeza alama iliyopo sehemu ya juu upande wa kulia sehemu ambayo utaona logo ya email
Baada ya kuingia kwenye hiyo logo ingia sehemu wameandika device pairing kisha itakuja sehemu ya kuscan
Hapo utakuwa umemaliza sehemu ya simu yake........
Nenda kwenye simu yako....ingia kwenye browser yoyote alafu search google message web itafunguka
Tumia ile simu ya kwanza kuscan code kutoka google message web...
Hapo utakuwa umemaliza na utaweza kusoma sms zake zote na vilevile unaweza kutuma na kupokea sms kwa mtu yeyote kupitia simu yake bila yy kujua
Angalizo:mchezo huu ni hatari kwa afya ya mwili na akili hivyo usijaribu kuufanya kwa mtu wako wa karibu umpendae.
Mkuu noma sana nita test kwa simu zangu kwanza zijisomeKuhusu kudukua sms.
Ingia kwenye simu ya mtu husika unaetaka kumdukua then badili message system iwe ya google sms kupitia playstore
Baada ya kubadili...Kisha bonyeza alama iliyopo sehemu ya juu upande wa kulia sehemu ambayo utaona logo ya email
Baada ya kuingia kwenye hiyo logo ingia sehemu wameandika device pairing kisha itakuja sehemu ya kuscan
Hapo utakuwa umemaliza sehemu ya simu yake........
Nenda kwenye simu yako....ingia kwenye browser yoyote alafu search google message web itafunguka
Tumia ile simu ya kwanza kuscan code kutoka google message web...
Hapo utakuwa umemaliza na utaweza kusoma sms zake zote na vilevile unaweza kutuma na kupokea sms kwa mtu yeyote kupitia simu yake bila yy kujua
Angalizo:mchezo huu ni hatari kwa afya ya mwili na akili hivyo usijaribu kuufanya kwa mtu wako wa karibu umpendae.