Wazee tujuzane codes maana Kuna watu wanapiga sana simu

Mkuu,
Hiyo namba inakuwa ya kwako au ni ya yule usiyetaka akupate?
 
Nadhani hii inakataa kufanya kazi mkuu. Noishaijaribu hii njia.
 
Akuna kitu kama icho kama uamini nikupe namba yangu upige Alaf leta mrejesho simu aisemi iko bize inakata yenyewe bila kuongea chochot uwe nime block au nimezuia call zote au namba mpya narudia kama uamini nikupe namba yangu piga Lete mrejesho hapa.
Unajua watu wame Kalili mtu uki mblock basi utaambiwa simu bize ok ukiwa Una ongea na mtu pia kuna simu zina kwambia user busy apo je tusemej pia kuna simu zina kwambia ana ongea na mtu mwingine Kwa simu yangu Niki block ukpiga simu yako inakata yenyewe nikizuia call ivyo ivyo na nisipotaka Ku mblock nafuta jina naacha namba inakua namba ngeni nazuia namba ngeni lakin ikiingia namba ngeni simu pia ina onesha. Ila yeye ainipati
Labda kama simu zimetofautiana na wote nnao wafanyia ivyo wakin text wanasem sipatikan wengine mtandao akuna ata siku moja alisema umeni block kutokana na watu kujua Kwamba mtu aki kublock basi simu itasema bize saiz toafut Mambo yamechange sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…