Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahaa na kuna watu wanajipulizia perfume za laki kadhaa..!! Yaani ni kama anajipulizia infinix ya mtuInfinix ni ndugu wa damu wa tecno na huawei.
Utunzaji wa chaji ni function ya matumizi vile vle..!! We mtu kwa siku simu moja na sms 2, utalinganaje utunzaji wa chaji na mtu anayeongea kama customer care?Mkuu tangu asubuhi ngoma inasoma 70%
We pimbi kweli.Utunzaji wa chaji ni function ya matumizi vile vle..!! We mtu kwa siku simu moja na sms 2, utalinanaje utunzaji wa chaji na mtu anayeongea kama customer care?
Tunakunywa Hennesey ya laki nneAhahahahaa na kuna watu wanajipulizia perfume za laki kadhaa..!! Yaani ni kama anajipulizia infinix ya mtu
Yapi?Ila kiukweli infinix labda chaji tu fresh inatunza ila mengine hapana ni vululu vululu.
Kwa hiyo mnakunywa infinix mbili za watu wawiliTunakunywa Hennesey ya laki nne
[emoji23][emoji23] ebu tuacheKwa hiyo mnakunywa infinix mbili za watu wawili
Kuna ubaya?Kwa hiyo mnakunywa infinix mbili za watu wawili
Ngoja wenye infinix zao waje wakujibu..!!Kuna ubaya?
Mimi mwenyewe ninayo. NaikubaliNgoja wenye infinix zao waje wakujibu..!!
Zilivyo tu kiujumla sijui nazionaje, natumia moja hapa hadi najuta kwa nn nilinunua. Cha kwanza camera hazina picha nzuri.Yapi?
Rafiki wewe unatumia simu gani?Ngoja wenye infinix zao waje wakujibu..!!
Good questionRafiki wewe unatumia simu gani?
Samsung S22Rafiki wewe unatumia simu gani?
Bro, mbona kama umemaindi hiviii..!!!Good question
Haitunzi chajiSamsung S22
Unatuponda sana na infinix zetuBro, mbona kama umemaindi hiviii..!!!
Hapana banaaaUnatuponda sana na infinix zetu
Kwa smartphones samsung naipa namba 1. Em nitafute hela nibadilshe hii infinix yangu naona inaniletea mapicha picha.Samsung S22