Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
HahaaUnatuponda sana na infinix zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaUnatuponda sana na infinix zetu
Kuna Huawei hapa inasoma 12%Mkuu tangu asubuhi ngoma inasoma 70%
Infinix ni nzito mno hata kubeba ,ule uzito wake wote ni betri,wanatudanganya zina mah elfu tano kumbe ni hamsini elfu[emoji849]Mkuu tangu asubuhi ngoma inasoma 70%
We mwehu?Infinix ni nzito mno hata kubeba ,ule uzito wake wote ni betri,wanatudanganya zina Amh elfu tano kumbe ni hamsini elfu[emoji849]
[emoji2][emoji2] jamaniInfinix ni nzito mno hata kubeba ,ule uzito wake wote ni betri,wanatudanganya zina mah elfu tano kumbe ni hamsini elfu[emoji849]
Bora lakini linatunza chajiInfinix ni nzito mno hata kubeba ,ule uzito wake wote ni betri,wanatudanganya zina mah elfu tano kumbe ni hamsini elfu[emoji849]
Mgao wa January je?Kwa smartphones samsung naipa namba 1. Em nitafute hela nibadilshe hii infinix yangu naona inaniletea mapicha picha.
Wa umeme au [emoji2] na hii nakua nayo, kwenye kukaa na chaji wapo vzuri.Mgao wa January je?
Mimi natumia samsung lakini usimlinganishe huawei na hizo uchafu tecno na infinixInfinix ni ndugu wa damu wa tecno na huawei.
Yeap hiko hivyoIla kiukweli infinix labda chaji tu fresh inatunza ila mengine hapana ni vululu vululu.
[emoji1787] nimecheka.Infinix sasa nayo cm? Tunatumia bas tyuuh ili nasi tuwe hewani.
Hakuna cm hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.[emoji1787] nimecheka.