Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Af majinga yanavopishana eti yanaenda kusali. Hivi kweli Mungu huyo angekuwepo angevumilia huu ujinga?

Kama kweli yupo ana ana malengo na watu(mnaowaita watu wake),afunguke atoe password wanaume waangalie kilichomo kwenye akili za wanawake. Vinginevyo, Big NO.
Usikie ohhh huyu mwanaume malaya kweli. Mi nimeona meseji zake kibao.
Af lenyewe ukute limemtumia picha ya uchi mwanaume. Ukilikamata,mara ohh mme wangu alichukua simu yangu,akanioiga picha nikiwa uchi akachat na mtu hata hatujuani,akamtumia. Yaani ana roho mbaya yule. Ila nimemsamehe Mungu atanilipia. Wapi hiyo,Mungu wa wapi huyo!!!
 
Nani kasema, wajuzi wa mambo wakiuza mechi usiku kesho mkojo wa kwanza tu asubuhi tunajua hapa salama au pa moto
 
Mimi hata nilewe vipi ndomu lazima nitumie yaani piga ua siwezi iacha ndomu

Imenisave sana.

Simwamini yeyote hadi tukapime.

Nishawahi pata bonge la UTI miaka 6 iliyopita ilinifunza kuwa na adabu na condom.

Acheni Ufala ngono no tamu ila ndomu muhimu sana sana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…