Weee si wanaacha kile kidude cha kupitishia sindano au? Ukiona vipi,acha wachome matakoni. DaddekiSindano sio poa mzee siku tano unaenda kuchomwa na madaktari tofauti mpaka mishipa inakataa kuonekana zinauma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee si wanaacha kile kidude cha kupitishia sindano au? Ukiona vipi,acha wachome matakoni. DaddekiSindano sio poa mzee siku tano unaenda kuchomwa na madaktari tofauti mpaka mishipa inakataa kuonekana zinauma
Namtoa mada amekula mkee wa mtu.Kataa NDOA
Ndoa ni utapeli
NDOA inakuletea magonjwa
N A K A Z I AKataa NDOA
mwaminifu kwako ila anajiuza mtandaoni kimya kimya, yale yalena wapenzi
NAKAZIAKataa NDOA
Ndoa ni utapeli
NDOA inakuletea magonjwa
NAONGEZEA MSUMARI MMOJANAKAZIA
Tena kwa bei cheeee. Buku mbili tosha. Kikubwa iweze kulilia chipsi mayaimwaminifu kwako ila anajiuza mtandaoni kimya kimya, yale yale
KE wa miaka hii, hakuna asiyeuza
Nani kasema, wajuzi wa mambo wakiuza mechi usiku kesho mkojo wa kwanza tu asubuhi tunajua hapa salama au pa motoGono inaonekana baada ya siku tatu, eti umepima una gono ila UKIMWI hauna! Hapo bado haujapima UKIMWI umeiifariji tu!
Nakuhakikishia, utakaporudi kupima UKIMWI baada ya wiki tatu, hautakiwa na amani wakati wa kusubiri majibu, na unaweza usiende kupima kwa hofu uliyonanyo!
Ni aina ngapi za dawa na naomba uzitaje basiAzuma sio aina moja ya dawa
Tiba ya gono haipo hivyo kila siku wanaenda kuangalia mishipa inayoonekana wanakudunga sindano siku tanoWeee si wanaacha kile kidude cha kupitishia sindano au? Ukiona vipi,acha wachome matakoni. Daddeki
Laiti HIV ingekua inasambaa kama UTI na Gono wengi tungekua tunakunywa vidonge.Gono lipo linatembea kwa kasi kuliko HIV
Mimi hata nilewe vipi ndomu lazima nitumie yaani piga ua siwezi iacha ndomuNimeuza Mechi Kwa Kulumbembe La Sinza Wiki 2 Zilizopita Tena Nilichakata Sana Zaidi Ya Lisaa Nilinyunyuzia Wese La Kutosha,nashukuru Mungu Kaniepusha Na Gono Kuhusu HIV Nilichukua PEP Kwa Tahadhari,The Problem Karbia Kila Cku Nachelewa Kunywa Hata Masaa 5 Ila Cjawah Pitisha Cku Bila Kunywa Hofu Inazid Kuwa Kubwa Jinsi Navochelewesha Kunywa.Vijana Tumrudie Muumba Tunafanya Madhambi Makubwa Pia Mtaani Watu Wameoza.Muuda Wa Kutubia Ndo Huu
Ni aina ngap za dawa?Azuma sio aina moja ya dawa