Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Nimeuza Mechi Kwa Kulumbembe La Sinza Wiki 2 Zilizopita Tena Nilichakata Sana Zaidi Ya Lisaa Nilinyunyuzia Wese La Kutosha,nashukuru Mungu Kaniepusha Na Gono Kuhusu HIV Nilichukua PEP Kwa Tahadhari,The Problem Karbia Kila Cku Nachelewa Kunywa Hata Masaa 5 Ila Cjawah Pitisha Cku Bila Kunywa Hofu Inazid Kuwa Kubwa Jinsi Navochelewesha Kunywa.Vijana Tumrudie Muumba Tunafanya Madhambi Makubwa Pia Mtaani Watu Wameoza.Muuda Wa Kutubia Ndo Huu
 
Nimeuza Mechi Kwa Kulumbembe La Sinza Wiki 2 Zilizopita Tena Nilichakata Sana Zaidi Ya Lisaa Nilinyunyuzia Wese La Kutosha,nashukuru Mungu Kaniepusha Na Gono Kuhusu HIV Nilichukua PEP Kwa Tahadhari,The Problem Karbia Kila Cku Nachelewa Kunywa Hata Masaa 5 Ila Cjawah Pitisha Cku Bila Kunywa Hofu Inazid Kuwa Kubwa Jinsi Navochelewesha Kunywa.Vijana Tumrudie Muumba Tunafanya Madhambi Makubwa Pia Mtaani Watu Wameoza.Muuda Wa Kutubia Ndo Huu
Hivi hiyo PEP unakunywa baada ya muda gani
 
Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.

Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.

Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.

Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho chukua tahadhari.
Ni ngumu kutibu Gono kwa aina moja ya dawa
Nakushauri,ongeza dawa ya kidonge inayoitwa CEFIXIME 400mg Single dose(kunywa pamoja na azuma)
 
Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.

Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.

Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.

Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho chukua tahadhari.
Kifo hakikosi sababu na "mipango ya mungu" sio moja ya sababu.
Kula mbususu kija ukimwi unakubalika kuwa moja ya sababu ya kifo.
Usipo kufa na ngoma utakufa na kisukari presha accident etc
 
Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.

Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.

Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.

Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho chukua tahadhari.
Ukipona nitaj mkuu kuna shuga mumy anapiga miguu yote msafi tu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
images.jpeg
🤣🤣🤣🤣
 
Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.

Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.

Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.

Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho chukua tahadhari.
Dawa sahihi ya kutibu huu ugonjwa wa kujitakia ni kulala tena na huyu demu bila kinga. Una ushamba sana kama wa Haji Manara dogo!
 
Back
Top Bottom