Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Ujasiri wa hali ya juu huu,inajulikana kabisa Sasa hivi mtu kua na mpenzi mmoja ni ngumu,unakulaje pekupeku?
Yaani ukipima ukakuta ni negative,umewakilisha wapenzi hata ishirini,vivyohivyo ukikuta ni positive,ujue ni chain kubwa sana.
 
Ndo maana mimi umalaya unanishinda..........kwanza kwenye ndoa nikipata tu yutiyai huwa natamani kummeza mama mtu..........chululu yangu haina makando kando inabomoa shimo moja tu
 
Unaijua Urethral Stricture wewe?? Yani ukiugua Gonorrhea baada ya 20yrs tutakuona kwenye kliniki za urology ukizibuliwa njia ya mkojo. Wengi hawajui permanent damage inayoletwa na Gono
Wengi naona wanachukulia poa,ghono likipona,linaacha makovu kwenye urethra,mwisho wa siku inasemekana kovu husika hutuna,hivyo kuziba njia ya mkojo,ndo ile unakuta mtu kalazwa urology na mpira wa mkojo.Tuwe makini aisee....!
 
Mimi kitu kitakachonifanya nitulie na mke wangu ni hizo sindano jamani. Naogopa sindano vibaya mnoo!! Yani sindano hata nikiiona kwenye picha nasisimka mwili mzima. 💉 Hivi hakuna dawa nyingine za hayo magonjwa zaidi ya masindano 🙄
Hata huyo mke aliyegongwa na mleta mada,ukute mumewe anasema hivyohivyo kua 'ndomaana nimeamua nitulie na mke wangu tu',kimbe hajui behind the scene mke anapigwa SWASH na BACK WASH,na ana gonorhea.Ndoa ni changamoto sana,mume anakua mwaminifu,mke anakua kicheche,mke anakua mwaminifu,mume anakua kicheche,yaani ni hatari kwelikweli.
 
Mwanamke mwenye ion yoyote ile kuna harufu ambayo si ya kawaida utaifeel..

Sie wengine kabla ya kutumbukiza hazina yetu huwa tunaingiza kidole na kukinusa kwa kuzuga.. tunapata approval ya kuingia au kutoingia.
HIV nayo inaharufu ? Unaipimaje ?
 
😁 tupo pamoja mkuu wazee wa kupima oil,mm nlishasema hii njia inafanya kazi ila Kuna wakulungwa walibisha
Mwanamke mwenye infection yoyote ile kuna harufu ambayo si ya kawaida utaifeel..

Sie wengine kabla ya kutumbukiza hazina yetu huwa tunaingiza kidole na kukinusa kwa kuzuga.. tunapata approval ya kuingia au kutoingia.
 
Gono inaonekana baada ya siku tatu, eti umepima una gono ila UKIMWI hauna! Hapo bado haujapima UKIMWI umeiifariji tu!

Nakuhakikishia, utakaporudi kupima UKIMWI baada ya wiki tatu, hautakiwa na amani wakati wa kusubiri majibu, na unaweza usiende kupima kwa hofu uliyonanyo!
Kasema alipaka vizuri mafuta kuondoa friction, uwezekano wa kuukwaa moto ni mdogo sana
 
Back
Top Bottom