Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

Hao ni Lay Assessors, hakuna uzito wowote wakiwa kwenye court of records ama RMC....nguvu yao IPO Makahama ya Mwanzo huku juu ni vibwengo kama vibwengo wengine
Kwa nini waliwekwa kama hawana influence?acha dharau
 
Waungwana
Mmesahau ya Mtemi Chenge
Aliua wanawake wawili kama sikosei kwa kuwagonga na gari

Alitiwa hatiani kuua bila kukusudia
Alipewa adhabu ya faini Laki 7

The rest is history

Leo anaendelea kuwa Mbunge na Mwenyekiti wa Bunge

Pia ndio Mwandishi wa Katiba Pendekezwa iliyopitishwa na Bunge la Katiba
 
Hao wazee wa mahakama wamesoma?wanachaguliwaje mwenye kuelewa anieleweshe
 
Kama wazee we baraza,wote walikuwa madume,hipo shida,mawakili was lulu ilibidi waweke wafanye mbinu kuhakikisha wazee wa baraza,ni watu wenye kuweza kuwa na huruma na lulu,
Mfano,wazee ambao,wanamabinti umri wa lulu,au ambao wameishawai kupoteza mabinti zao,ama kwa kifo,au sababu zingine,lakini kama wazee,wenyewe ni watu ambao,hawana watoto wa kike,wana madume matupu hapo IPO kazi
 
Mwenye ujuzi wa sheria kuua bila kukusudia hukum yake ni nini?
Wazembe wazembeee,hamsomi tuneshajibu hili swali mara kibao,penal code kifungu 198 inataja kifungo cha maisha lakini kuna mazingira hutumika kupunguza makari tunaita mitigation factors,ikitokea mtuhumiwa kajitetea ba mzingira yako wazi kama vile,umri,ugomvi,nani alichokoza mwenzake,tabia ya marehemu,mtuhumia ndo mara ya kwanza au hakimu akaona huruma,adhabu hupungua .Katika kesi ya Daud Sabaya,alihukumiwa mahakama kuu kwamba aliua kwa kukusudia wakampiga adhabu ya kifo,alipokata rufaa ikagundulika aliua bila kukusudia due to self defense,alipigwa miaka mitano tuu maana alikuwa amekaa ndani kama miaka mitatu hivi.
 
Nakumbuka kipindi kile Halima alijifanya kuibeba hii kesi, je aliendelea kutoa msaada au Kiki tu za kisiasa kipindi kile
 
Waungwana
Mmesahau ya Mtemi Chenge
Aliua wanawake wawili kama sikosei kwa kuwagonga na gari

Alitiwa hatiani kuua bila kukusudia
Alipewa adhabu ya faini Laki 7

The rest is history

Leo anaendelea kuwa Mbunge na Mwenyekiti wa Bunge

Pia ndio Mwandishi wa Katiba Pendekezwa iliyopitishwa na Bunge la Katiba
Hiyo ni traffic case inashughulikiwa na Primary court kwa hakimu.
 
Kwanini wasingetoa hukumu leo ,,wanachelewesha nini
Utaratibu hauko hivyo, ila kinachonishangaza ni kwa nini Lulu hajapelekwa jela ili hukumu isomwe akitokea jela? Unakumbuka kesi ya Dr Murray wa Michael Jackson alikuwa nje kwa dhamana ila siku mahakama ilipomtia hatiani alipigwa pingu na kupelekwa jela kusubili tarehe ya hukumu.
Kama Lulu ameachwa uraiani anao uhuru wa kuruka dhamana na kuikimbia hukumu. Kuna tatizo kwenye mfumo wetu wa mahakama.

Ila msimamo wangu tangu day one mpaka leo haujabadirika Kanumba alikuwa mbakaji tu.
Hao wazee wa mahakama wamesoma?wanachaguliwaje mwenye kuelewa anieleweshe
Kuna mzee wangu mmoja alikuwa mzee wa baraza kwenye kesi ya Zombe kwa sasa ni marehemu, ni magumashi matupu, hao wazee waliwadharau hawajanusisha pesa, ni kitu kisichowezekana wote wawe na msimamo mmoja, na hakuna mwanasheria katika hao.

Nazishauri mamlaka husika ni wakati muhafaka sasa kwa kazi hii kupewa mahakimu wastaafu, majaji wastaafu, Madpp wastaafu, na wanasheria waliostaafu kupractice law.

Hawa wazee wengi wao wakati kesi inaendelea huwa wamelala kama Wasira bungeni.
 
Utaratibu hauko hivyo, ila kinachonishangaza ni kwa nini Lulu hajapelekwa jela ili hukumu isomwe akitokea jela? Unakumbuka kesi ya Dr Murray wa Michael Jackson alikuwa nje kwa dhamana ila siku mahakama ilipomtia hatiani alipigwa pingu na kupelekwa jela kusubili tarehe ya hukumu.
Kama Lulu ameachwa uraiani anao uhuru wa kuruka dhamana na kuikimbia hukumu. Kuna tatizo kwenye mfumo wetu wa mahakama.

Ila msimamo wangu tangu day one mpaka leo haujabadirika Kanumba alikuwa mbakaji tu.

Kuna mzee wangu mmoja alikuwa mzee wa baraza kwenye kesi ya Zombe kwa sasa ni marehemu, ni magumashi matupu, hao wazee waliwadharau hawajanusisha pesa, ni kitu kisichowezekana wote wawe na msimamo mmoja, na hakuna mwanasheria katika hao.

Nazishauri mamlaka husika ni wakati muhafaka sasa kwa kazi hii kupewa mahakimu wastaafu, majaji wastaafu, Madpp wastaafu, na wanasheria waliostaafu kupractice law.

Hawa wazee wengi wao wakati kesi inaendelea huwa wamelala kama Wasira bungeni.
Sawa nimekuelewa
 
Wazembe wazembeee,hamsomi tuneshajibu hili swali mara kibao,penal code kifungu 198 inataja kifungo cha maisha lakini kuna mazingira hutumika kupunguza makari tunaita mitigation factors,ikitokea mtuhumiwa kajitetea ba mzingira yako wazi kama vile,umri,ugomvi,nani alichokoza mwenzake,tabia ya marehemu,mtuhumia ndo mara ya kwanza au hakimu akaona huruma,adhabu hupungua .Katika kesi ya Daud Sabaya,alihukumiwa mahakama kuu kwamba aliua kwa kukusudia wakampiga adhabu ya kifo,alipokata rufaa ikagundulika aliua bila kukusudia due to self defense,alipigwa miaka mitano tuu maana alikuwa amekaa ndani kama miaka mitatu hivi.
Inaonekana una upeo mzuri wa kisheria, je unaweza kunisaidia ni kwa nini kesi ya Lulu haijaendeshwa kwenye Juvenile court hasa ukizingatia alikamatwa akiwa under 18 years old?
 
Utaratibu hauko hivyo, ila kinachonishangaza ni kwa nini Lulu hajapelekwa jela ili hukumu isomwe akitokea jela? Unakumbuka kesi ya Dr Murray wa Michael Jackson alikuwa nje kwa dhamana ila siku mahakama ilipomtia hatiani alipigwa pingu na kupelekwa jela kusubili tarehe ya hukumu.
Kama Lulu ameachwa uraiani anao uhuru wa kuruka dhamana na kuikimbia hukumu. Kuna tatizo kwenye mfumo wetu wa mahakama.

Ila msimamo wangu tangu day one mpaka leo haujabadirika Kanumba alikuwa mbakaji tu.

Kuna mzee wangu mmoja alikuwa mzee wa baraza kwenye kesi ya Zombe kwa sasa ni marehemu, ni magumashi matupu, hao wazee waliwadharau hawajanusisha pesa, ni kitu kisichowezekana wote wawe na msimamo mmoja, na hakuna mwanasheria katika hao.

Nazishauri mamlaka husika ni wakati muhafaka sasa kwa kazi hii kupewa mahakimu wastaafu, majaji wastaafu, Madpp wastaafu, na wanasheria waliostaafu kupractice law.

Hawa wazee wengi wao wakati kesi inaendelea huwa wamelala kama Wasira bungeni.
Sawa nimekuelewa
 
Back
Top Bottom