Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mchambuzi wa habariTusubiri hiyo November,akisalimika kifungo inabidi amrudie Mungu wake kwa uhakika pasipo mzaha.Maana utakua muujiza kesi ya mauaji si kitu cha mchezo.
Kweli ila Mashahidi wengi walijikanganya kanganya tuBinafsi sikuona kama kuna ushaidi wa kutosha uliotolewa kuweza kumtia hatiani Elizabeth kwa kosa la mauwaji ya bila kukusudia. Bado naamini ataachwa huru tu.
Anayehukumu ni Jaji sio wazee wa barazaHapo ndio ameshatiwa hatiani na hao wazee
ha ha ha sikushindi wewe!mchambuzi wa habari
kama ngapiLazima apigwe mvua kadhaa maskini
Wewe umeshawahi kuona mtu aliyeua bila kukusudia anafungwa kifungo cha nje?ajiandae na rufaaPamoja na hayo yote lakini lazima tukubali kuna doa kubwa limeingia kwa mahakama na kwa mawakili wa serikali....ambalo hadi leo nashindwa kuelewa kama yule wakili wa serikali aliye kuwepo jana kama anazo akili timamu kweli au alilewa rushwa aliyopewa...
Kitendo cha kukubali ushahidi wa kijinga wa mke wa Dr Slaa kwakweli ni aibu kubwa kwa mahakama....
Kwakweli sidhani kama hukumu itaaminika kabisa...
Lulu atapewa kifungo cha nje hakuna jipya..............
Naelewa ila mawazo yao huwa yana uzito wake kama refa na vibendera usiwachukulie poaAnayehukumu ni Jaji sio wazee wa baraza
Tatizo wanasheria siyo wambea labda uwaite akina carbamazepine,Sakayo,geniveros na mbize waje kutuambia hukumu itakuwaje!![emoji53][emoji53][emoji53]Duh aiseee wanasheria mkuje mseme hukumu itakuwaje
Jaji Rumanyika ameshatoa hukumu? Naamini bado. Wazee wa baraza wanashauri tu (kwa jinsi ninavyojua). Nipo tayari kusahihishwa/kuelimishwa.Ataachiwa huru wakati aliua bila kukusudia au unaota?
Huyo sasa anaenda kuwa chakula cha nyampala
Kesi ya mauaji inakuaga na fine.Aisee..kifyngo kinamuhusu unless Abahatike kutozwa faini tu!! M'MUNGU AMFANYIE WEPESI!!
Pamoja na hayo yote lakini lazima tukubali kuna doa kubwa limeingia kwa mahakama na kwa mawakili wa serikali....ambalo hadi leo nashindwa kuelewa kama yule wakili wa serikali aliye kuwepo jana kama anazo akili timamu kweli au alilewa rushwa aliyopewa...
Kitendo cha kukubali ushahidi wa kijinga wa mke wa Dr Slaa kwakweli ni aibu kubwa kwa mahakama....
Kwakweli sidhani kama hukumu itaaminika kabisa...
Lulu atapewa kifungo cha nje hakuna jipya..............