Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Wazee wamesema ni kweli hiki kitoto kiliua bila kukusudia, kwahiyo kitupwe lupangoKwani kashahukumiwa?ao wazee wametoa maamuzi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wamesema ni kweli hiki kitoto kiliua bila kukusudia, kwahiyo kitupwe lupangoKwani kashahukumiwa?ao wazee wametoa maamuzi gani?
Sheria ya ushahidi ndo inaamua ushahidi gani ukubalike,na kukubalika kupokewa kwa ushahidi siyo kwamba ndo utaamua hukumu,unakubalika halafu unapimwa ndo unaungsnishwa na ushahidi mwingine ili kutoa hukumu.Pamoja na hayo yote lakini lazima tukubali kuna doa kubwa limeingia kwa mahakama na kwa mawakili wa serikali....ambalo hadi leo nashindwa kuelewa kama yule wakili wa serikali aliye kuwepo jana kama anazo akili timamu kweli au alilewa rushwa aliyopewa...
Kitendo cha kukubali ushahidi wa kijinga wa mke wa Dr Slaa kwakweli ni aibu kubwa kwa mahakama....
Kwakweli sidhani kama hukumu itaaminika kabisa...
Lulu atapewa kifungo cha nje hakuna jipya..............
Mbona wazee wamesema hakukusudia, wamuachie tu jamaniAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyojieleeza hapo
Yule ngul wa sheria kibatala amepanga kukata rufaa haraka na mapema ili kumuokoa mteja wake asipigwe mvua zisizo na idad na jaji lumanyika
Kibatala kayaongea hayo nje ya mahakama alipokuwa akizungumza na waandish wa habar kuhusu kes ya mteja wake
Kibatara kadai hakuna ushahid wa moja kwa moja ambao umemukuta lulu na hatia ya kuuwa sema wazee wa mahakama wametoa mamuz kwa mihemuko
LONDON BABY
Duuh m nlijua ukiua bila kukusudia wanakausha kumbe maisha tena duuh.wakipunguza 30 anatoka na 50 mzeeAdhabu ya kuua bila kukusudia
Kifungu cha 198 cha Kanuni ya Adhabu (Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania): Mtu yeyote ambaye anatenda kosa la kuuwa bila kukusudia atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha maisha. Hatahivyo, kuna mambo mawili ya kuyazingatia wakati wa hukumu. Mosi, Jaji Rumanyika hatalazimika kukubaliana na kufuata maoni ya Wazee wa Baraza. Pili, kama Jaji naye atamkuta Lulu na hatia adhabu yaweza kupunguzwa kadiri ya mazingira ya tukio na kadhalika.
Ajejejejejeje ao wazee watu wabaya sana hawana hurumaWazee wamesema ni kweli hiki kitoto kiliua bila kukusudia, kwahiyo kitupwe lupango
Ushahidi wake ulikuwa mbovu sana.Kutoka Mahakama kuu.. Wazee wote wa Tatu wameona kuwa lulu aliua Bila kukusudia kutokana na ushahidi uliotolewa
Ushahidi uliokubaliwa jana kutoka kwa mke wa Dr slaa ndio ulipigilia msumari kuwa ataachwa huru kwa vimasharti vidogo kwa muda fulani......Jaji Rumanyika ameshatoa hukumu? Naamini bado. Wazee wa baraza wanashauri tu (kwa jinsi ninavyojua). Nipo tayari kusahihishwa/kuelimishwa.
Mkuu Jaji Lumanyika alishamswalika Yule Mtoto kuwa wakati anaondoka eneo la Tukio na Motokari Je alikuwa ana leseni ya Udereva? Na kama alikuwa nayo aliipataje wakati sheria za Nchi haziruhusu kwa umri ule kuwa na Leseni.? Pia haka katoto kaliweza kuwa na Mahusiano ya kingono katika Umri Mdogo ule? Yaani haka katoto kafungwe tu... Halafu nilikaona jana Mahakamani yaani kanahitaji maombezi na lipini lake kwenye ulimi.. Ushauri kalikopewa na Mange hakaukufanyia kazi Katoto haka kafungwe ili kawe mfano kwa vitoto vingine vya kike... Unajua Kamiviharibu watoto wangapi kujiingiza kwenye mahusiano ya ngono wakiwa na umri mdogo kama hako katoto.... Yaani kupitia hako Katoto kamehahalarisha Ngono ni mchezo wa kawaida.. Kafungwe tu vile Mahakama Itaona inafaa ila kasihurumiwe kafungwe tuAdhabu ya kuua bila kukusudia
Kifungu cha 198 cha Kanuni ya Adhabu (Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania): Mtu yeyote ambaye anatenda kosa la kuuwa bila kukusudia atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha maisha. Hatahivyo, kuna mambo mawili ya kuyazingatia wakati wa hukumu. Mosi, Jaji Rumanyika hatalazimika kukubaliana na kufuata maoni ya Wazee wa Baraza. Pili, kama Jaji naye atamkuta Lulu na hatia adhabu yaweza kupunguzwa kadiri ya mazingira ya tukio na kadhalika.
Ushahidi wa nani Lulu,au upande wa mashtaka ?Ushahidi wake ulikuwa mbovu sana.
Hatia anayo, AMEUA. Kwenye kuua hainaga bahati Maya. Atachoropoka labda kutokana na discretion ya jaji.Hana hatia ilikuwa bahati mbaya
Manslaughter hakuna kifungo cha nje.Unakuwa umeua,yaani kitendo ulifanya (actus reus) ila hukuwa na dhamira ya kuua(mens rea )haipo lkn umeua.Hukumu yake ni kifungo maisha sema utetezi unaweza kupunguza adhabu lakini haiwezi kuwa kifungo cha nje.Haujajibu swali toa mfano John au Juma alifungwa nje kwa manslaughter
Sidhani kama msamaha ni kwa kila mfungwa.Hukumu nov 13 sherehe za uhuru dec 9. Lulu akiwa na bahati atachomoka nov 13 au akikwama basi atapata msamaha wa upendeleo dec 9 akishindwa hapo ndo basi tena atatumikia kifungo tu au rufaa itamuokoa
#justthinkingloud#
Lulu aliiambia mahakama kuwa walikuwa wanakimbizana na Kanumba, tena kanumba alikuwa na taulo tu!Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyojieleeza hapo
Yule ngul wa sheria kibatala amepanga kukata rufaa haraka na mapema ili kumuokoa mteja wake asipigwe mvua zisizo na idad na jaji lumanyika
Kibatala kayaongea hayo nje ya mahakama alipokuwa akizungumza na waandish wa habar kuhusu kes ya mteja wake
Kibatara kadai hakuna ushahid wa moja kwa moja ambao umemukuta lulu na hatia ya kuuwa sema wazee wa mahakama wametoa mamuz kwa mihemuko
LONDON BABY
Lulu.Ushahidi wa nani Lulu,au upande wa mashtaka ?
Lulu.Ushahidi wa nani Lulu,au upande wa mashtaka ?