barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Pia kwa jaji mwenye "akili" anaweza kutumia fursa hii kutoa fundisho kwa jamii, kila mtu karibu anamjua lulu, hivyo akipewa adhabu kali hadi watoto watajua kuwa wakifanya hiki basi hiki chaweza tokea.Aliekufaa kafaa...japoo wakili kaonekana kabisa anambeba lulu but no way wamuachie tu mtoto wa watuu japo sio fair kwa Mama Kanumba ilaa maisha lazima yaendelee
Iko mikononi mwa jaji sasa hii.