Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

Hivi nn maana ya kuwa na "wakili nguli" kama huyo wakati mteja wako anahaha kujitetea mwenyewe mahakamani? Mtoto wa watu maskini hajui hata aseme nini
Lulu aliwekeza kwenye papuchi, akadhani mahakamani wanafanya usanii as usual.
Ngoja akatumike na mibwanajela.
 
Pamoja na hayo yote lakini lazima tukubali kuna doa kubwa limeingia kwa mahakama na kwa mawakili wa serikali....ambalo hadi leo nashindwa kuelewa kama yule wakili wa serikali aliye kuwepo jana kama anazo akili timamu kweli au alilewa rushwa aliyopewa...
Kitendo cha kukubali ushahidi wa kijinga wa mke wa Dr Slaa kwakweli ni aibu kubwa kwa mahakama....
Kwakweli sidhani kama hukumu itaaminika kabisa...
Lulu atapewa kifungo cha nje hakuna jipya..............
murder case hazina kifungo cha nje wewe .
 
Ataachia huru huyu ,sheria dunia haki mbinguni ,angekua sio MTU maarufu angepigwa mvua za kutosha ila huyu ni superstar na si mnajua mahakama za bongo ni za wanyonge tu ndo zinawatupa jela tena miaka mingi kwa makosa ya kijinga kabisa
 
Kwani kashahukumiwa?ao wazee wametoa maamuzi gani?
Wazee wakisema kaua bila kukusudia ni kuwa amehusika ktk mauaji kama alikuwa anajitetea, lakini kama mtu alikuwa anakukimbiza akaanguka akafa hapo unahusika vp kama umeua bila kukusudia
 
Hukumu nov 13 sherehe za uhuru dec 9. Lulu akiwa na bahati atachomoka nov 13 au akikwama basi atapata msamaha wa upendeleo dec 9 akishindwa hapo ndo basi tena atatumikia kifungo tu au rufaa itamuokoa
#justthinkingloud#
Unajua kupiga ramli ee.uliwahibkusikia ni lazima kila siku ya uhuru wafungwa wapate msamaha? Wanaopataga msamaha hawawezi kuwa type ya Lulu wanaangalia muda aliokaa ndani,extent ya kosa lake,uzee,afya na zaidi upendeleo wa rais.Ingekuwa lazima babu Seya angeishatoka.
 
Kama li mtu lishajifia huko limezikwa zamani kesi ya nini? Wamuache dogo aendelee kutupa huduma mtaani
 
Jaji Rumanyika ameshatoa hukumu? Naamini bado. Wazee wa baraza wanashauri tu (kwa jinsi ninavyojua). Nipo tayari kusahihishwa/kuelimishwa.
Ushahidi uliokubaliwa jana kutoka kwa mke wa Dr slaa ndio ulipigilia msumari kuwa ataachwa huru kwa vimasharti vidogo kwa muda fulani......
Ushahidi wa jana uliniacha hoi sana kiasi kwamba kila mtu ameona mazingira ya kuachiwa yanalazimishwa........hao wazee wa baraza hawatozingatiwa na judge kabisa kama alikubali ushahidi wa mke wa DR SLAA
 
  • Thanks
Reactions: SMU
NI BORA TUUNGANE KUMUOMBEA LULU MUNGU AMUEPUSHIE ADHABU YA KIFUNGO, KULIKO KUMUOMBEA UCHWARA...!!!
 
Ushahidi uliokubaliwa jana kutoka kwa mke wa Dr slaa ndio ulipigilia msumari kuwa ataachwa huru kwa vimasharti vidogo kwa muda fulani......
Ushahidi wa jana uliniacha hoi sana kiasi kwamba kila mtu ameona mazingira ya kuachiwa yanalazimishwa........hao wazee wa baraza hawatozingatiwa na judge kabisa kama alikubali ushahidi wa mke wa DR SLAA
Kwani babu seya hakujitetea?
 
Hukumu nov 13 sherehe za uhuru dec 9. Lulu akiwa na bahati atachomoka nov 13 au akikwama basi atapata msamaha wa upendeleo dec 9 akishindwa hapo ndo basi tena atatumikia kifungo tu au rufaa itamuokoa
#justthinkingloud#
ur thinking is really poor this time,sorry thou
 
HAPO KUNA MAMBO MAWILI YANAWEZA KUTOKEA:
1. KAMA MH. JAJI ATAKUBALIANA NA BARAZA LA WAZEE, BASI LULU ATAPEWA HUKUMU KULINGANA NA SHERIA
2. KAMA JAJI ATAONA SYO KWELI ATAACHIWA HURU.

Note:
Jaji anao uhuru wa kukubaliana au kutokubaliana mtizamo wa wazee
Pili, maoni ya baraza yana ushawishi mkubwa japo hayamlazimishi jaji kuyafuata.

Mwisho, tusubiri hukumu.

Kwa maoni yangu kulingana na maelezo ya lulu, ameua bila kukusudia

Ila kwa kuwa hatukuwepo eneo la tukio basi huenda lulu hakuua au aliua kwa kukusudia/kwa kutokusudia.
 
Back
Top Bottom