Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

Wewe umeshawahi kuona mtu aliyeua bila kukusudia anafungwa kifungo cha nje?ajiandae na rufaa
Na petro...
Kifungu cha 198 cha Kanuni ya Adhabu (Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania): Mtu yeyote ambaye anatenda kosa la kuuwa bila kukusudia atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha maisha. Hatahivyo, kuna mambo mawili ya kuyazingatia wakati wa hukumu. Mosi, Jaji Rumanyika hatalazimika kukubaliana na kufuata maoni ya Wazee wa Baraza. Pili, kaka Jaji naye atamkuta Lulu na hatia adhabu yaweza kupunguzwa kadiri ya mazingira ya tukio na kadhalika.
 
Na petro...
Kifungu cha 198 cha Kanuni ya Adhabu (Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania): Mtu yeyote ambaye anatenda kosa la kuuwa bila kukusudia atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha maisha. Hatahivyo, kuna mambo mawili ya kuyazingatia wakati wa hukumu. Mosi, Jaji Rumanyika hatalazimika kukubaliana na kufuata maoni ya Wazee wa Baraza. Pili, kaka Jaji naye atamkuta Lulu na hatia adhabu yaweza kupunguzwa kadiri ya mazingira ya tukio na kadhalika.
Haujajibu swali toa mfano John au Juma alifungwa nje kwa manslaughter
 
Adhabu ya kuua bila kukusudia

Kifungu cha 198 cha Kanuni ya Adhabu (Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania): Mtu yeyote ambaye anatenda kosa la kuuwa bila kukusudia atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha maisha. Hatahivyo, kuna mambo mawili ya kuyazingatia wakati wa hukumu. Mosi, Jaji Rumanyika hatalazimika kukubaliana na kufuata maoni ya Wazee wa Baraza. Pili, kama Jaji naye atamkuta Lulu na hatia adhabu yaweza kupunguzwa kadiri ya mazingira ya tukio na kadhalika.
 
Kutoka Mahakama kuu.. Wazee wote wa Tatu wameona kuwa lulu aliua Bila kukusudia kutokana na ushahidi uliotolewa
Hata mimi nakubaliana kabisa, aachiwe ili tuendelee kufurahia uumbaji wa mungu
 
Pole Lulu; Hao wazee wamamkuta na hatia ya hili;

Manslaughter- 195. Any person who by an unlawful act or omission causes the death of another person is guilty of the felony termed "manslaughter" An unlawful omission is an omission amounting to culpable negligence to discharge a duty tending to the preservation of life or health, whether such omission is or is not accompanied by an intention to cause death or bodily harm.

Unatakiwa Kupambana ili uepuke hili;

Any person who commits the felony of manslaughter is liable to imprisonment for life.
 
Adhabu ya kuua bila kukusudia

Kifungu cha 198 cha Kanuni ya Adhabu (Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania): Mtu yeyote ambaye anatenda kosa la kuuwa bila kukusudia atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha maisha. Hatahivyo, kuna mambo mawili ya kuyazingatia wakati wa hukumu. Mosi, Jaji Rumanyika hatalazimika kukubaliana na kufuata maoni ya Wazee wa Baraza. Pili, kama Jaji naye atamkuta Lulu na hatia adhabu yaweza kupunguzwa kadiri ya mazingira ya tukio na kadhalika.
Daaah! Kumbe hata bila kukusudia bado hauponi kwenye mkono wa adhabu?
 
Watampiga miaka kadhaa!

Rufaa ndio itamchoropoa gerezani.

Mpaka wanamcholopoa atakuwa ameshajipatia milage za kutosha kunako....
rufaa hua aieleweki skuzote inaeza ikakupunguzia kifungo au ikakutoa
au ikakuongezea kifungo

unaeza ukaikatia rufaa miaka5 ukala 10
 
Hapo ndio ameshatiwa hatiani na hao wazee
Mkuu toka mwanzo ilikuwa inajulikana kuwa aliua bila kukusudia..hao wazee wametimiza wajibu wao tu!Jaji ndo atatoa maamuzi ya kumwachia,faini au apigwe mvua!kikubwa jaji ataangalia mambo mengi sana...umri,ugonjwa wa kanumba,pombe..nk...ila kwa mawazo yangu mm ..atatemwa au faini!
 
Pole Lulu; Hao wazee wamamkuta na hatia ya hili;

Manslaughter- 195. Any person who by an unlawful act or omission causes the death of another person is guilty of the felony termed "manslaughter" An unlawful omission is an omission amounting to culpable negligence to discharge a duty tending to the preservation of life or health, whether such omission is or is not accompanied by an intention to cause death or bodily harm.

Unatakiwa Kupambana ili uepuke hili;

Any person who commits the felony of manslaughter is liable to imprisonment for life.
Wanasheria kwnye ubora wenu
 
Back
Top Bottom