Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Wallet yako Ina shingapi kwanza? hilo ndio muhimu kuliko vyote.Ijumaa ndio hii, inakaribia kuishia.
Maisha ni kufurahi na marafiki, sio kila siku kuwaza kununua matofari tu; kuwekeza mwilini kwa kuupa furaha ni muhimu zaidi.
Wako wapi wazee wa kale, waliishi miaka mia mbili, wengine miaka mia tisa, sasa wako wapi?
Kwa sababu tunaishi mara moja, muhimu kufurahi na marafiki.
Wapi chimbo zuri kwa ajili ya 'vibe'?
Weka chimbo, hayo mambo ya wallet tutapambana nayo mbele kwa mbeleWallet yako Ina shingapi kwanza? hilo ndio muhimu kuliko vyote.
Njoo hapa Wavuvi, Hennessey ndogo sh 250,000/= bia shilling 10,000/= warembo utapatana nao mwenyewe.Weka chimbo, hayo mambo ya wallet tutapambana nayo mbele kwa mbele
Muhimu sana kuzitafuta, mjini ata shikamoo wanataka ulipie...Kama mbaka leo, ujanja huo huyajui machimbo mazuri 😁😁
Kaka tafuta sana hela.
Nimemuuliza urefu wa pochi lake hasemi ili nijuwe ni wa kitambaa cheupe au Ambiance?...Kama mbaka leo, ujanja huo huyajui machimbo mazuri 😁😁
Kaka tafuta sana hela.
Kuna 'vibe' lakini, au ni magharama tu makubwa?Njoo hapa Wavuvi, Hennessey ndogo sh 250,000/= bia shilling 10,000/= warembo utapatana nao mwenyewe.
Penye 'vibe' ya ukweli, sio sehemu tulivu kama uko ibadaniNimemuuliza urefu wa pochi lake hasemi ili nijuwe ni wa kitambaa cheupe au Ambiance?
Nenda kitambaa cheupe, The great Tabata ndio size yako, huko bia buku mbili, demu mkali 40,000 mpaka 50,000/=Kuna 'vibe' lakini, au ni magharama tu makubwa?
Kidimmbwi kuingia tu ni kwa reservation, isipungue 200,000 according to INSIDER MANKuna 'vibe' lakini, au ni magharama tu makubwa?
Muhimu kuwe na watu wanaochangamsha wkendNenda kitambaa cheupe, The great Tabata ndio size yako, huko bia buku mbili, demu mkali 40,000 mpaka 50,000/=
Kwa mtu mmoja anaweza kutumia kiasi gani ndani ya masaa sabaKidimmbwi kuingia tu ni kwa reservation, isipungue 200,000 according to INSIDER MAN
AwoooooteeeeNjoo hapa Wavuvi, Hennessey ndogo sh 250,000/= bia shilling 10,000/= warembo utapatana nao mwenyewe.
***** hyo location ni hp hp Dsm au wap mkuu?Njoo hapa Wavuvi, Hennessey ndogo sh 250,000/= bia shilling 10,000/= warembo utapatana nao mwenyewe.
Nipo hapa mjini kwa dharuraUpo mkoa gani
OkNipo hapa mjini kwa dharura
Njoo kwa Lulenge unachezewa kanga moko na mademu wawili kwa 20k ukitaka kugusa mbunye buku 5 kulala nae maelewanoNipo hapa mjini kwa dharura
Hatari sanaNjoo kwa Lulenge unachezewa kanga moko na mademu wawili kwa 20k ukitaka kugusa mbunye buku 5 kulala nae maelewano