Amesoma kweli kweli and can make sense out of rubbish.....wewe Je? Andika sentence hii Kwa Kiingereza: Kama ingelikuwa siyo ujio wa Nyerere tulikuwa tumeanza kukata tamaa ya kiwango Cha juu kupata uhuru wetuMwamabakusi auliwe ana nini Yule kanjanja? Kiki zingine Kwa kweli zinachekesha Sana!