Wazee wa Kinyakyusa kufanya kikao cha dharura

Wazee wa Kinyakyusa kufanya kikao cha dharura

Mwamabakusi auliwe ana nini Yule kanjanja? Kiki zingine Kwa kweli zinachekesha Sana!
Amesoma kweli kweli and can make sense out of rubbish.....wewe Je? Andika sentence hii Kwa Kiingereza: Kama ingelikuwa siyo ujio wa Nyerere tulikuwa tumeanza kukata tamaa ya kiwango Cha juu kupata uhuru wetu
 
Wameanza kumwaga damu.

Hela za pd weldi tamu.
 
Amesoma kweli kweli and can make sense out of rubbish.....wewe Je? Andika sentence hii Kwa Kiingereza: Kama ingelikuwa siyo ujio wa Nyerere tulikuwa tumeanza kukata tamaa ya kiwango Cha juu kupata uhuru wetu
Hivi Nyerere ndiyo aliwapa Uhuru!! Au naye alitembea na upepo Kama ilivyo kwa wasanii wa sasa blood
 
Si ndo ushangae sasa na wewe kajitu hata hakajulikani jina lake vizuri tayari keshajipa umaarufu eti kanataka kuuliwa? Yaani wakiitwa watu wanaoipa serikali headache, huyo bush lawyer naye atatoka kweli?
Sisi tunamzungumzia Mwambukusi ( Mayweather) huyo uliyemuandika wewe hatumjui
 
Back
Top Bottom