Wazee wa Kubet njoo tukumbushane mbinu tulizotumia lakini Mhindi Bado AKATUCHAPA!

Wazee wa Kubet njoo tukumbushane mbinu tulizotumia lakini Mhindi Bado AKATUCHAPA!

puker

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2018
Posts
1,001
Reaction score
2,010
Betting ni kitu kitu addiction ya ajabu sana. Kila siku tunachezea kichapo lakini Bado hatukomi.

Sasa Kuna Ile time, umeshachambua Games lkn Hali Iko pale pale, unaanza kwenda prediction zako😁, ukiamini pengine mambo yanaweza kuwa tofauti🍾... twende kazi ngoja nitoe zangu😋

Mm nilishawah chagus timu za wiki nzima zile za Magiant ambazo ushindi ni wa zaid ya 90% Yani unakuta yenyewe Ina Odds 1.08 mpinzani wake ana Odds 24, nikatengeneza mkeka wa mechi 50, nikaweka 10k ikaja 140k...lkn muhindi bila huruma mechi za mwisho zikachana🤣🤣

Nikasema sirudii kosa, sitaki tamaa labda kwakuwa nilikuwa natamaa...kwa kuwa zile zilizochana zilitoa droo, nikasema nitumie mfumo ule ule lkn zote niweke Draw/Win🤗 mwindi akasema hunijui wewe akachana mkeka, litim libovu lililopewa odds 19 likashinda goli 2 Moja penart🤣🤣🤣

Nikasema football pengine, Sina bahati nayo...nikaanza kupiga mchanganyiko.... basketball/Vollyaball na Football kwa wale Ma giant tu....huko ndio nilichapika hakuna mfano🤣🤣🤣

Najua...wanzangu niwengi sana wanaojaribugi mbinu tofauti kwenye kubashiri, karibuni tutiane moyo🙏
 
Liver na Arsenal leo wamenikosesha hela, niliwaamini nkaenda jumla jumla
 
Basi hata stake yako ilikuwa ya maana
 
Betting ni kitu kitu addiction ya ajabu sana. Kila siku tunachezea kichapo lakini Bado hatukomi.

Sasa Kuna Ile time, umeshachambua Games lkn Hali Iko pale pale, unaanza kwenda prediction zako😁, ukiamini pengine mambo yanaweza kuwa tofauti🍾... twende kazi ngoja nitoe zangu😋

Mm nilishawah chagus timu za wiki nzima zile za Magiant ambazo ushindi ni wa zaid ya 90% Yani unakuta yenyewe Ina Odds 1.08 mpinzani wake ana Odds 24, nikatengeneza mkeka wa mechi 50, nikaweka 10k ikaja 140k...lkn muhindi bila huruma mechi za mwisho zikachana🤣🤣

Nikasema sirudii kosa, sitaki tamaa labda kwakuwa nilikuwa natamaa...kwa kuwa zile zilizochana zilitoa droo, nikasema nitumie mfumo ule ule lkn zote niweke Draw/Win🤗 mwindi akasema hunijui wewe akachana mkeka, litim libovu lililopewa odds 19 likashinda goli 2 Moja penart🤣🤣🤣

Nikasema football pengine, Sina bahati nayo...nikaanza kupiga mchanganyiko.... basketball/Vollyaball na Football kwa wale Ma giant tu....huko ndio nilichapika hakuna mfano🤣🤣🤣

Najua...wanzangu niwengi sana wanaojaribugi mbinu tofauti kwenye kubashiri, karibuni tutiane moyo🙏
Ili ushinde kwenye betting inabidi uibetie timu unayoijua.
 
Betting ni kitu kitu addiction ya ajabu sana. Kila siku tunachezea kichapo lakini Bado hatukomi.

Sasa Kuna Ile time, umeshachambua Games lkn Hali Iko pale pale, unaanza kwenda prediction zako😁, ukiamini pengine mambo yanaweza kuwa tofauti🍾... twende kazi ngoja nitoe zangu😋

Mm nilishawah chagus timu za wiki nzima zile za Magiant ambazo ushindi ni wa zaid ya 90% Yani unakuta yenyewe Ina Odds 1.08 mpinzani wake ana Odds 24, nikatengeneza mkeka wa mechi 50, nikaweka 10k ikaja 140k...lkn muhindi bila huruma mechi za mwisho zikachana🤣🤣

Nikasema sirudii kosa, sitaki tamaa labda kwakuwa nilikuwa natamaa...kwa kuwa zile zilizochana zilitoa droo, nikasema nitumie mfumo ule ule lkn zote niweke Draw/Win🤗 mwindi akasema hunijui wewe akachana mkeka, litim libovu lililopewa odds 19 likashinda goli 2 Moja penart🤣🤣🤣

Nikasema football pengine, Sina bahati nayo...nikaanza kupiga mchanganyiko.... basketball/Vollyaball na Football kwa wale Ma giant tu....huko ndio nilichapika hakuna mfano🤣🤣🤣

Najua...wanzangu niwengi sana wanaojaribugi mbinu tofauti kwenye kubashiri, karibuni tutiane moyo🙏
Betting ni kitu kitu addiction ya ajabu sana. Kila siku tunachezea kichapo lakini Bado hatukomi.

Sasa Kuna Ile time, umeshachambua Games lkn Hali Iko pale pale, unaanza kwenda prediction zako😁, ukiamini pengine mambo yanaweza kuwa tofauti🍾... twende kazi ngoja nitoe zangu😋

Mm nilishawah chagus timu za wiki nzima zile za Magiant ambazo ushindi ni wa zaid ya 90% Yani unakuta yenyewe Ina Odds 1.08 mpinzani wake ana Odds 24, nikatengeneza mkeka wa mechi 50, nikaweka 10k ikaja 140k...lkn muhindi bila huruma mechi za mwisho zikachana🤣🤣

Nikasema sirudii kosa, sitaki tamaa labda kwakuwa nilikuwa natamaa...kwa kuwa zile zilizochana zilitoa droo, nikasema nitumie mfumo ule ule lkn zote niweke Draw/Win🤗 mwindi akasema hunijui wewe akachana mkeka, litim libovu lililopewa odds 19 likashinda goli 2 Moja penart🤣🤣🤣

Nikasema football pengine, Sina bahati nayo...nikaanza kupiga mchanganyiko.... basketball/Vollyaball na Football kwa wale Ma giant tu....huko ndio nilichapika hakuna mfano🤣🤣🤣

Najua...wanzangu niwengi sana wanaojaribugi mbinu tofauti kwenye kubashiri, karibuni tutiane moyo🙏
Uwezi kushinda kwenye betting km unaibetia timu ambayo huijui
 
Usianze na beti nyingi ili upate odds nyingi. Chagua beti 3 zenye odds angalau 3.0 jumla then weka kias cha maana. Usichague timu kubwa kubwa.. zinatia hasara sana.
 
Mimi nilijaribu kuchambua timu mpaka majeruhi... jezi watakazo anzanazo..kipa na wachezaji watakaoanza...kichapo nilichokutana nacho sio cha kawaida...ukiwa na ugonjwa wa presha usicheze betting.
Kwamba mkuu kuna siku wakaingia na suti ama 😀😀
 
Nimeshajaribu mbinu nying sana,mpaka kunawakati nataman hata nistake laki nipate 5000 kila siku ila inagoma

Sahv nataka nipambane na rollover ya odds 1.5 kuanzia j4 mpaka j2
 
Back
Top Bottom