Wazee wa Kubet njoo tukumbushane mbinu tulizotumia lakini Mhindi Bado AKATUCHAPA!

Wazee wa Kubet njoo tukumbushane mbinu tulizotumia lakini Mhindi Bado AKATUCHAPA!

Betting inaendeshwa na AKILI MNEMBA(AI) sasa unadhani utaizidi akili AI.??
1734232947905.png

Ai huwa inaomba poo, ninapofanya kazo nayo. Ona jinsi inavyo lalama baada ya kuibana, kushindwa then nikaipa ufumbuzi, eti iko "frustrated" , ina "Mental Block" , nilicheka sana.
 
Nimeshajaribu mbinu nying sana,mpaka kunawakati nataman hata nistake laki nipate 5000 kila siku ila inagoma

Sahv nataka nipambane na rollover ya odds 1.5 kuanzia j4 mpaka j2
Ushachaniwa laki kwa profit ya 5000 😅
 
Back
Top Bottom