Wazee wa Kwamsisi Handeni walitaka sado tatu za mate ya binadamu!

Wazee wa Kwamsisi Handeni walitaka sado tatu za mate ya binadamu!

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
Mbali na Shs. milioni 21 walizozidai wazee wa kijiji cha Kwamsisi pia walitaka sado tatu za mate ya binadamu ili waruhusu ujenzi wa barabara ya Afrika ya mashariki.

Baada ya kubembelezwa kwa muda mrefu na Mkuu wa wilaya ya Handeni wazee hao wameamua kuondoa madai hayo na sasa watalipwa Shs milioni moja na nusu.

Maoni: Hivi kweli serikali bado inaamini ushirikina kiasi cha kutishiwa na wazee wa Kwamsisi? Je serikali imekuwa ikilipa fedha za namna hii katika miradi yake yote inayotekeleza?
 
Mbali na Shs. milioni 21 walizozidai wazee wa kijiji cha Kwamsisi pia walitaka sado tatu za mate ya binadamu ili waruhusu ujenzi wa barabara ya Afrika ya mashariki.

Baada ya kubembelezwa kwa muda mrefu na Mkuu wa wilaya ya Handeni wazee hao wameamua kuondoa madai hayo na sasa watalipwa Shs milioni moja na nusu.

Maoni: Hivi kweli serikali bado inaamini ushirikina kiasi cha kutishiwa na wazee wa Kwamsisi? Je serikali imekuwa ikilipa fedha za namna hii katika miradi yake yote inayotekeleza?
So sad,hao ndio wazee wanaoonekana wana busara,Alafu baadae wakikaa wanawasengenya wachaga wezi, kwanini uchagani kuna maendeleo kuliko kwao.
Stupidity!....
 
Unadhani hawarogwi?inategemea na Kinga yako.
Ila mzee Hilo jina lako limenikumbusha mbali sana.
Kuna dogo nilisoma nae alikuwa anaitwa Alexander rutagwerera.
Alifariki kwa malaria unamjua?
Huo jina la ukoo tu, simfahamu. Ukoo mkubwa sana kama majina mengine ya Tungaraza, Rweyunga, Rwekaza, na mengineyo.
 
Siyo mimi bali ni serikali mara zote inapopelekewa malalamiko ya uchawi huyatupilia mbali kuwa serikali haiamini katika uchawi!
Matambiko na Uchawi ni vitu 2 tofauti!
Nyerere mwenyewe alifanyiwa Matambiko kwenye harakati za kudai Uhuru!
 
Back
Top Bottom