Wazee wa Kwamsisi Handeni walitaka sado tatu za mate ya binadamu!

Wazee wa Kwamsisi Handeni walitaka sado tatu za mate ya binadamu!

Mwinyi alienda kumuomba bibi fisi aruhusu barabara ipite kuelekea bugando katika eneo lake
tena kwa fidia kubwa bibi aligoma na haikupita na walipo jaribu kutumia nguvu walijuta kilicho wapata.
Aliweka vitu vyake pale,kama yule kiyeuyeu wa Iringa na ishu ya line za umeme kugoma kuwaka.
 
Huwa najiuliza hivi mwafrika alishindwa vipi kutumia uchawi asichukuliwe utumwani au kutawaliwa na mkoloni.Nini faida ya uchawi sasa.
 
Matambiko na Uchawi ni vitu 2 tofauti!
Nyerere mwenyewe alifanyiwa Matambiko kwenye harakati za kudai Uhuru!

Tambiko ni uchawi...period!!!

Kwa kuwa Nyerere alifanya haiondoi uhalisia kwamba tambiko ni aina ya uchawi...kuna aina nyingi za uchawi/ulozi
 
Serikali inayoamini kwamba mwenge unaweza kuleta amani. Na ikakimbiza mwenge nchi nzima mijini na vijijini kwa kutumia mabilioni ya fedha za wananchi fukara. Basi ikukae akilini kwamba hiyo nchi bado fikra za viongozi wake ziko zama za kale za mawe
Bila mwenge ccm itakufa,
Lile ni zindiko hatari sana toka kwa lucifa mwenyewe mapangoni bagamoyo.Jiwe alitaka kuuweka makumbusho eti unaingiza bure gharama,wazee wakamuonya cheza na vyote na sio hio kitu,akusikia 2020 akazuia usizunguke yakamkuta.
 
Wachina waga wana namna ya kudeal na hayo madude Nawaona mara nyingi anyway at wananchi wanagombea barabara aiseee so sad
Hao waChina unaowasema nadhani wangelipa cash kama ni kiasi hicho cha pesa.

Maana kwenye mitandao huwa ninaona picha moja ya ghorofa iliyopo kati kati ya bara bara.

Kwa maelezo ni kwamba mmiliki wa jengo hilo hakukubali kukubaliana, hivyo serikali ikalipa fidia wengine waliokubaliana, ujenzi ukaendelea na nyumba hiyo kubakia kati kati mwa barabara!

Hivi Tz ukileta za kuleta namna hiyo eti kulinda haki yako ya umiliki, serikali inaweza kukuheshimu na kukuvumilia kweli?
 
Mzee kama serikali itapuuza mambo hayo, watakao tesekema ni wote ambao watakua eneo la kazi na hiyo kazi inawezekana isifanyike kweli. Lakini yote ya yote, TZ hii kuna wa wachungaji na manabii ambao tunaamini kupitia vyombo vya habari wanaweza kuto majini na mapepo. Je wameshindwa kuisaidia serikali? Au kila mmoja ashinde mechi zake
 
Mbali na Shs. milioni 21 walizozidai wazee wa kijiji cha Kwamsisi pia walitaka sado tatu za mate ya binadamu ili waruhusu ujenzi wa barabara ya Afrika ya mashariki.

Baada ya kubembelezwa kwa muda mrefu na Mkuu wa wilaya ya Handeni wazee hao wameamua kuondoa madai hayo na sasa watalipwa Shs milioni moja na nusu.

Maoni: Hivi kweli serikali bado inaamini ushirikina kiasi cha kutishiwa na wazee wa Kwamsisi? Je serikali imekuwa ikilipa fedha za namna hii katika miradi yake yote inayotekeleza?
Ujinga ndio bado umewatawala. Ushirikina ni sehemu kubwa ya utamaduni wa watu wa handeni. Uchawi na ushirikina ni imani sawa na dini ila ni mbaya zaidi kwa sababu inakwamisha maendeleo kwa watu kuishi kwa hofu ya kuogopa kulogwa.
Kwa ufupi hakuna miujiza duniani ila hofu inatengenezwa na wale wenye kujidai wachawi na wao kuweza kujinufaisha kiuchumi toka kwenye jamii.
 
Ni ngumu sana kumtenganisha mtambikaji, mganga wa jadi na mchawi! Mbinu wanazotumia kutekeleza mambo yao yanafanana mno!
Sio kweli..... Matambiko ni tofauti Sana, Yana Viwango tofauti Sana.... Kipindi napata Mtoto wangu wa Kwanza, Siku ya 40 alikuja Aunty yangu, aliomba niaandae Maziwa, mchele na maji na Chumvi Kama sikosei.
Tambiko ni uchawi...period!!!

Kwa kuwa Nyerere alifanya haiondoi uhalisia kwamba tambiko ni aina ya uchawi...kuna aina nyingi za uchawi/ulozi
Tambiko ni kuomba heri kwa Mizimu...
Uchawi ni ama kudhuru, kuuliza ama kuua...

Ni vitu viwili tofauti, hutaki unaacha.
 
Sio kweli..... Matambiko ni tofauti Sana, Yana Viwango tofauti Sana.... Kipindi napata Mtoto wangu wa Kwanza, Siku ya 40 alikuja Aunty yangu, aliomba niaandae Maziwa, mchele na maji na Chumvi Kama sikosei.

Tambiko ni kuomba heri kwa Mizimu...
Uchawi ni ama kudhuru, kuuliza ama kuua...

Ni vitu viwili tofauti, hutaki unaacha.
Hilo lako siyo tambiko! Je mlienda makaburini?
 
Toka milioni 21 mpaka milioni 1 ushee

Hawa ni wazee wa mchongo
Cwanasema Lori moja halionekani je bei ya hilo Lori ni bei gani ?labda cna hakikakama wanahucka

20211106_212017.jpg
 
Sio kweli..... Matambiko ni tofauti Sana, Yana Viwango tofauti Sana.... Kipindi napata Mtoto wangu wa Kwanza, Siku ya 40 alikuja Aunty yangu, aliomba niaandae Maziwa, mchele na maji na Chumvi Kama sikosei.

Tambiko ni kuomba heri kwa Mizimu...
Uchawi ni ama kudhuru, kuuliza ama kuua...

Ni vitu viwili tofauti, hutaki unaacha.

Mizimu ni nini na inaishi wapi?

Tambiko ni aina ya uganga wa kienyeji/ulozi na uganga wa kienyeji ni aina ya uchawi...

Hayo makololo uliyotaja ni sadaka ya kukamilisha.moja ya ibada ya kichawi iitwayo tambiko...
 
Mizimu ni nini na inaishi wapi?

Tambiko ni aina ya uganga wa kienyeji/ulozi na uganga wa kienyeji ni aina ya uchawi...

Hayo makololo uliyotaja ni sadaka ya kukamilisha.moja ya ibada ya kichawi iitwayo tambiko...
Unajua uchawi na tambiko vile unavyofahamu mwenyewe.....
Hafu unaniuliza Mizimu ni nini... Kwamba hujui Mizimu?

Umetoka sayari ya wapi?

Tusichoshane....sipo kutafuta credit hapa.
 
Mbali na Sh. milioni 21 walizozidai wazee wa kijiji cha Kwamsisi pia walitaka sado tatu za binadamu ili waruhusu ujenzi wa barabara ya Afrika ya mashariki.

Baada ya kubembelezwa kwa muda mrefu na Mkuu wa wilaya ya Handeni wazee hao wameamua kuondoa madai hayo na sasa watalipwa Shs milioni moja na nusu.

Maoni: Hivi kweli serikali bado inaamini ushirikina kiasi cha kutishiwa na wazee wa Kwamsisi? Je serikali imekuwa ikilipa fedha za namna hii katika miradi yake yote inayotekeleza?
Usilolijua ni usiku wa giza
 
Unajua uchawi na tambiko vile unavyofahamu mwenyewe.....
Hafu unaniuliza Mizimu ni nini... Kwamba hujui Mizimu?

Umetoka sayari ya wapi?

Tusichoshane....sipo kutafuta credit hapa.


Aight! you can walk away...newbie...you can walk away!!

JF millennials...dunno shit bout putting up a debate on somethin..!!!
 
Aight! you can walk away...newbie...you can walk away!!

JF millennials...dunno shit bout putting up a debate on somethin..!!!
Sasa hapa unamueleza nini au unataka kuonyesha ulivyo bingwa wa slang!
 
Back
Top Bottom