Wazee wa Kwamsisi Handeni walitaka sado tatu za mate ya binadamu!

Wazee wa Kwamsisi Handeni walitaka sado tatu za mate ya binadamu!

Si huwa mnasema kwamba Pwani mmestaarabika ?
So sad,hao ndio wazee wanaoonekana wana busara,Alafu baadae wakikaa wanawasengenya wachaga wezi, kwanini uchagani kuna maendeleo kuliko kwao.
Stupidity!....
 
Mbali na Shs. milioni 21 walizozidai wazee wa kijiji cha Kwamsisi pia walitaka sado tatu za mate ya binadamu ili waruhusu ujenzi wa barabara ya Afrika ya mashariki.

Baada ya kubembelezwa kwa muda mrefu na Mkuu wa wilaya ya Handeni wazee hao wameamua kuondoa madai hayo na sasa watalipwa Shs milioni moja na nusu.

Maoni: Hivi kweli serikali bado inaamini ushirikina kiasi cha kutishiwa na wazee wa Kwamsisi? Je serikali imekuwa ikilipa fedha za namna hii katika miradi yake yote inayotekeleza?
Serikali inayoamini kwamba mwenge unaweza kuleta amani. Na ikakimbiza mwenge nchi nzima mijini na vijijini kwa kutumia mabilioni ya fedha za wananchi fukara. Basi ikukae akilini kwamba hiyo nchi bado fikra za viongozi wake ziko zama za kale za mawe
 
Huko wazee wanga sana aisee.Kuna jamaa alikuwa anamgodi kaingiza excavator mpya likifika tu kwenye shimo Ili achimbe hydrolik inakosa nguvu kaita mafundi wote tatizo halionekani.Akisogea mbali na shimo zima.
Mzee mmoja akamwambia Acha utoto kijana ukui,akamtafuta mtaalamu akafanya mambo likawa zima.
Hapo handeni kuna mtu gari iligoma kuwaka akaaimbiwa vua nguo endesha uchi litawaka akafanya hivyo
 
Handeni kuliko endelea ni handeni mjini.
Kuna Kijiji kipo pale amani na sua.
Soda hamna madukani.tena ukiuliza wanakushangaa.ni anasa
Ila tanga pagumu kiroho aisee,kutoboa kule ni mtihani.
Yaani ndumbaism ni SAwa na maji ya kunywa thus hata uwezo wao wa kufikiri upo chini sana kama Lindi sababu ya ushirikina.
Ushirikina unapunguza uwezo wa kufikiri.
 
Ila tanga pagumu kiroho aisee,kutoboa kule ni mtihani.
Yaani ndumbaism ni SAwa na maji ya kunywa thus hata uwezo wao wa kufikiri upo chini sana kama Lindi sababu ya ushirikina.
Ushirikina unapunguza uwezo wa kufikiri.
Wala sipingi.maana nimejionea mwenyewe
 
Mbali na Shs. milioni 21 walizozidai wazee wa kijiji cha Kwamsisi pia walitaka sado tatu za mate ya binadamu ili waruhusu ujenzi wa barabara ya Afrika ya mashariki.

Baada ya kubembelezwa kwa muda mrefu na Mkuu wa wilaya ya Handeni wazee hao wameamua kuondoa madai hayo na sasa watalipwa Shs milioni moja na nusu.

Maoni: Hivi kweli serikali bado inaamini ushirikina kiasi cha kutishiwa na wazee wa Kwamsisi? Je serikali imekuwa ikilipa fedha za namna hii katika miradi yake yote inayotekeleza?
Njia unayoitaka wewe haitakuwa na faida kwa serikali, serikali inauwezo wa kujenga bila kuwashirikisha wananchi ila tatizo ni ulinzi wa mradi, mradi huo si wa nyumba moja, ni barabara. Serikali inajaribu kuwa karibu na wananchi ili washiriki kuulinda mradi, ni hilo tu.
 
Mbali na Shs. milioni 21 walizozidai wazee wa kijiji cha Kwamsisi pia walitaka sado tatu za mate ya binadamu ili waruhusu ujenzi wa barabara ya Afrika ya mashariki.

Baada ya kubembelezwa kwa muda mrefu na Mkuu wa wilaya ya Handeni wazee hao wameamua kuondoa madai hayo na sasa watalipwa Shs milioni moja na nusu.

Maoni: Hivi kweli serikali bado inaamini ushirikina kiasi cha kutishiwa na wazee wa Kwamsisi? Je serikali imekuwa ikilipa fedha za namna hii katika miradi yake yote inayotekeleza?
Kama Ina amini mwenge kwann isiamini hayo.Serikali inawatambua wazee,ukisikia watu wanaoitwa wazee wa mji,mkoa,nk ogopa Sana kaaa mbali na hao watu,hao ni viongozi wa daraja la juu kabisa upande wa pili.
Huwezi itwa mzee au chief kama wewe mwepesi ni lzm uwe fiti kwenye fani ya ndumba.
 
Au risasi
Hakika kama walivyofanya ulaya bullets zilitumika Sana kuwaondoa wapumbavu thus wakapata Jamii mpya inayofikiri kwa kutumia akili na sio pumbazo hadaa.
Ndumba upunguza uwezo kufikiri kwa kuifanya akili kuwa tegemezi mfano badala ya kuangalia changamoto za maisha usishinde Ili ufaulu kwa maana huwezi fanikiwa bila kupata changamoto,sasa mtu akipata changamoto ukimbilia kupiga ramli ngumu Sana kuwa na maendeleo hapa maana akili aitumiki.
 
So sad,hao ndio wazee wanaoonekana wana busara,Alafu baadae wakikaa wanawasengenya wachaga wezi, kwanini uchagani kuna maendeleo kuliko kwao.
Stupidity!....
Tofauti ya mkoa na tangu unaiona mpakani Mwa Tanga na kilimanjaro,same,mwanga pakame lakini pana uhai nyumba za bati tele,Tanga kwenye rutuba nyumba aibu karne hii bado wanaishi kwenye tope na nyasi,yaani hata kuchoma tofali na kutengeneza vigae vya udongo hawawezi, wanahitaji fimbo.
 
Sehemu yeyeto ndumba ipo juu huwa maendeleo hakuna sababu ndumba upunguza uwezo wa kufikiri,yafaa kuwapelekea mfumo mpya wa kufikiri kwa lazima mfano kuwapelekea utamaduni mpya,elimu na dini Ili vikawakomboe.
 
Back
Top Bottom