Wazee wa Kwamsisi Handeni walitaka sado tatu za mate ya binadamu!

Wazee wa Kwamsisi Handeni walitaka sado tatu za mate ya binadamu!

Mbali na Shs. milioni 21 walizozidai wazee wa kijiji cha Kwamsisi pia walitaka sado tatu za mate ya binadamu ili waruhusu ujenzi wa barabara ya Afrika ya mashariki.

Baada ya kubembelezwa kwa muda mrefu na Mkuu wa wilaya ya Handeni wazee hao wameamua kuondoa madai hayo na sasa watalipwa Shs milioni moja na nusu.

Maoni: Hivi kweli serikali bado inaamini ushirikina kiasi cha kutishiwa na wazee wa Kwamsisi? Je serikali imekuwa ikilipa fedha za namna hii katika miradi yake yote inayotekeleza?
Uchawi ni upo kwa sababu ni roho.Ila ni dhaifu sana mbele ya damu ya Yesu.bahati yao,waliwakuta viongozi wa serikali wasioamini .Ningekuwepo mimi ningegomea hilo tambiko na mambo yangeenda kama kawaida ikiwa ni pamoja na kuwaongoza sara ya toba hao wazee wote
 
Matambiko na Uchawi ni vitu 2 tofauti!
Nyerere mwenyewe alifanyiwa Matambiko kwenye harakati za kudai Uhuru!
Ni ngumu sana kumtenganisha mtambikaji, mganga wa jadi na mchawi! Mbinu wanazotumia kutekeleza mambo yao yanafanana mno!
 
Uchawi ni upo kwa sababu ni roho.Ila ni dhaifu sana mbele ya damu ya Yesu.bahati yao,waliwakuta viongozi wa serikali wasioamini .Ningekuwepo mimi ningegomea hilo tambiko na mambo yangeenda kama kawaida ikiwa ni pamoja na kuwaongoza sara ya toba hao wazee wote
Huko Handeni hakuna waumini wa Yesu?
 
Mbali na Shs. milioni 21 walizozidai wazee wa kijiji cha Kwamsisi pia walitaka sado tatu za mate ya binadamu ili waruhusu ujenzi wa barabara ya Afrika ya mashariki.

Baada ya kubembelezwa kwa muda mrefu na Mkuu wa wilaya ya Handeni wazee hao wameamua kuondoa madai hayo na sasa watalipwa Shs milioni moja na nusu.

Maoni: Hivi kweli serikali bado inaamini ushirikina kiasi cha kutishiwa na wazee wa Kwamsisi? Je serikali imekuwa ikilipa fedha za namna hii katika miradi yake yote inayotekeleza?
Serikali yenyewe inawatumia hao wakati wa kampeni.
Ndio useme hakuna uchawi
 
Serikali yenyewe inawatumia hao wakati wa kampeni.
Ndio useme hakuna uchawi
Hapana siyo serikali bali ni washirikina wanajipeleka huko wakiamini watalinda nafasi zao au kupata uteuzi au kushinda chaguzi!
 
Nimeshuhudia ujenzi wa china barabara moja hvi ya wilaya miaka ya nyuma kabla ya yote walitoa ng'ombe 5 kwa ajili ya wazee wakijiji..

Usiropoke ukiwa nyuma ya keyboard afu huna ushahidi
Sasa hii nguvu ya giza na elimu yake kwa nini inawekwa siri kubwa sana?
 
Mbali na Shs. milioni 21 walizozidai wazee wa kijiji cha Kwamsisi pia walitaka sado tatu za mate ya binadamu ili waruhusu ujenzi wa barabara ya Afrika ya mashariki.

Baada ya kubembelezwa kwa muda mrefu na Mkuu wa wilaya ya Handeni wazee hao wameamua kuondoa madai hayo na sasa watalipwa Shs milioni moja na nusu.

Maoni: Hivi kweli serikali bado inaamini ushirikina kiasi cha kutishiwa na wazee wa Kwamsisi? Je serikali imekuwa ikilipa fedha za namna hii katika miradi yake yote inayotekeleza?
Siyo Soda ni Ndoo 3 za MATE
 
Mbali na Shs. milioni 21 walizozidai wazee wa kijiji cha Kwamsisi pia walitaka sado tatu za mate ya binadamu ili waruhusu ujenzi wa barabara ya Afrika ya mashariki.

Baada ya kubembelezwa kwa muda mrefu na Mkuu wa wilaya ya Handeni wazee hao wameamua kuondoa madai hayo na sasa watalipwa Shs milioni moja na nusu.

Maoni: Hivi kweli serikali bado inaamini ushirikina kiasi cha kutishiwa na wazee wa Kwamsisi? Je serikali imekuwa ikilipa fedha za namna hii katika miradi yake yote inayotekeleza?
Huu ni ufisadi, hizo pesa ni wao ndio wanachukua
 
Serikali au mwekezaji anaweza kufanya some social responsibility kwa kufanya kitu cha kimaendeleo kwenye eneo husika, siyo kujihusisha kwenye debate za maswala ya kishirikina kama haya.........vinginevyo serikali itamke wazi kuanzia sasa itaanza kuamini ushirikina, uchawi, ulozi, mizimu na imani nyingine za nguvu za giza. Pia kama serikali inatoa sadaka kwa wachawi na wazee wanaojinasibu kutumia nguvu za giza kukwamisha miradi ya maendeleo, basi ianze pia kutoa sadaka kwa taasisi za kidini maana na wenyewe wanajihusisha na mambo ya imani ili wapate msaada kutoka upande huo kwa minajili hiyo hiyo ya kufanikisha miradi ya maendeleo, natumai wahusika wataipata hii.......​
 
Serikali au mwekezaji anaweza kufanya some social responsibility kwa kufanya kitu cha kimaendeleo kwenye eneo husika, siyo kujihusisha kwenye debate za maswala ya kishirikina kama haya.........vinginevyo serikali itamke wazi kuanzia sasa itaanza kuamini ushirikina, uchawi, ulozi, mizimu na imani nyingine za nguvu za giza. Pia kama serikali inatoa sadaka kwa wachawi na wazee wanaojinasibu kutumia nguvu za giza kukwamisha miradi ya maendeleo, basi ianze pia kutoa sadaka kwa taasisi za kidini maana na wenyewe wanajihusisha na mambo ya imani ili wapate msaada kutoka upande huo kwa minajili hiyo hiyo ya kufanikisha miradi ya maendeleo, natumai wahusika wataipata hii.......​
Viongozi wengi husema kile wasichoamini na kutenda kile wasichokisema!
 
Uchawi ni upo kwa sababu ni roho.Ila ni dhaifu sana mbele ya damu ya Yesu.bahati yao,waliwakuta viongozi wa serikali wasioamini .Ningekuwepo mimi ningegomea hilo tambiko na mambo yangeenda kama kawaida ikiwa ni pamoja na kuwaongoza sara ya toba hao wazee wote
Damu ya yesu inapatikana wapi kama siyo hayo mambo ya kuzimu?
 
Mate sado tatu labda kama fyuzi za taya zimekatika
 
Serikali au mwekezaji anaweza kufanya some social responsibility kwa kufanya kitu cha kimaendeleo kwenye eneo husika, siyo kujihusisha kwenye debate za maswala ya kishirikina kama haya.........vinginevyo serikali itamke wazi kuanzia sasa itaanza kuamini ushirikina, uchawi, ulozi, mizimu na imani nyingine za nguvu za giza. Pia kama serikali inatoa sadaka kwa wachawi na wazee wanaojinasibu kutumia nguvu za giza kukwamisha miradi ya maendeleo, basi ianze pia kutoa sadaka kwa taasisi za kidini maana na wenyewe wanajihusisha na mambo ya imani ili wapate msaada kutoka upande huo kwa minajili hiyo hiyo ya kufanikisha miradi ya maendeleo, natumai wahusika wataipata hii.......​
Mwinyi alienda kumuomba bibi fisi aruhusu barabara ipite kuelekea bugando katika eneo lake
tena kwa fidia kubwa bibi aligoma na haikupita na walipo jaribu kutumia nguvu walijuta kilicho wapata.
 
Mbali na Shs. milioni 21 walizozidai wazee wa kijiji cha Kwamsisi pia walitaka sado tatu za mate ya binadamu ili waruhusu ujenzi wa barabara ya Afrika ya mashariki.

Baada ya kubembelezwa kwa muda mrefu na Mkuu wa wilaya ya Handeni wazee hao wameamua kuondoa madai hayo na sasa watalipwa Shs milioni moja na nusu.

Maoni: Hivi kweli serikali bado inaamini ushirikina kiasi cha kutishiwa na wazee wa Kwamsisi? Je serikali imekuwa ikilipa fedha za namna hii katika miradi yake yote inayotekeleza?
Dogo wakifanya ngozi nyeupe siyo ushirikina ila ngozi nyeusi ni ushirikina,kwa taarifa yako matambiko yapo kila kona dunia hii
 
Back
Top Bottom