Wazee wa marangirangi wapo bize dunia itumbukie shimoni

Wazee wa marangirangi wapo bize dunia itumbukie shimoni

Showmax

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2022
Posts
6,592
Reaction score
12,707
Huyu ni binti aliyejisitiri kwa kuvaa kiheshima akimuogopa Mwenyezi Mungu. Kati ya begi za shule alizochagua au chaguliwa hili lenye rangi zao ndio kaona linafaa pasipo Yeye kujua kipi anapromote zaidi ya mbunifu wa begi hilo akiwa anajua hajaweka kwa makusudi rangi zao.

Pana siku nilimuona mama mtu mzima kajitanda mtandio wenye rangi zao akijongea taratibu mbele kutoa sadaka mbele ya waumini

Niliingia duka moja la dawa nikakuta box la dawa lina rangi zao.

Hawa jamaa wamepania aisee kuhakikisha watu wanapakuliwa speaker.

Mungu atunusuru kizazi chetu.

Screenshot_20230113_131415.jpg
 
Wengi wa mabinti wa shule wa kiislamu sijui ushungi ni fasheni haya tuseme umejisitiri kichwani huku nyuma mapaja yako wazi kutokana na sketi fupi hapo wanakuwa wamejisitiri nini?
 
Hata mitumba yake imetapakaa kila kona na inanunuliwa kama njugu.
 
Afrika nimebaini watu wengi hata wale ambao kwa elimu yao walitakiwa wajue maana ya hizo rangi, bado hawaelewi maana yake.

These are innocent beings, wazungu hawafanyi vitu bila kuwa na taarifa sahihi ila sisi waafrika wengi wetu siyo wadadisi wa mambo.

Wiki iliyopita niliona rafiki yangu ameweka profile picture yake Facebook ikiwa na rangi hizo, nikamuuliza kama anaelewa maana yake au ameweka tu, akanijibu hajui. Nilimpa elimu, hakurudi kuniambia kama ameelewa au la, ila aliifuta picha moja kwa moja.

Hii nimeiona kwa wengi.
 
Leo hii sentensi ya kupasuliwa speaker nimeiona sana kulikon,au ni msemo mpya mjini
 
Wengi wa mabinti wa shule wa kiislamu sijui ushungi ni fasheni haya tuseme umejisitiri kichwani huku nyuma mapaja yako wazi kutokana na sketi fupi hapo wanakuwa wamejisitiri nini?

Mkristo mimi ila tuwe wakweli, katika hili la mavazi wenzetu waislam wameshinda. Uliona wapi binti kavaa ushungi halafu yupo nusu uchi?
 
Back
Top Bottom