Kwanza wanaelewaaa wabongooo?? Akili zao zinawaza ushoga na usagaji, ndo maana kila kitu kwao ni mapenzi ya jinsia 1 khaaaahNi Ujinga kuamini rangi zinasababisha ushoga. Ni upumbavu tu leo hii watu kuogopa rainbow. Hizi akili mnatoa wapi? Kataeni ushoga matendo upinde wa mvua hawakuleta mashoga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mume puliiiiizzzz, mbavu zangu zinaumaaaa.Na ukiuona upinde wa mvua huko juu mawinguni panda ukaufute, nyie watu wakati mwingine mnatakiwa mpakwe pilipili machoni na masikioni labda ujinga unaweza kuwaisha.
Ahsanteeeeeee sanaaaa wape somo hawa wenzioo.Ni chama kama vilivyo vyama vingine vya siasa, vyama vya kijamii na vilabu vya michezo wanavyotumia rangi zao kujitangaza., By the way jumuiya za mashoga hazilazimishi mtu kuwa shoga, wanapigania kutambuliwa kwa hali zao walivyo. Ni sawa na chama cha walemavu kwa jinsi wanavyopambana wanatambuliwa na kuthaminiwa utu wao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena wako proud, kusifia kuwafira wanawake.Watu wanafira wanawake afu kutwa kulalamikia Wamarekanj
Huyo Hapo. Na akifa atakamuliwa mavi aingie peponi msafi.πππππππWenye sket fupi uliwaona wapi na wakiwa na shungi
Na hizi rangi zipo miaka na miaka upinde wa mvua. Leo hii watu wanakuwa wapumbavu kila wakiona rangi basi eti ni ushoga. Ushoga hautendwi na rangi unatendwa na watu. Yaani leo mtu aogope rangi kweli? Miafrika mipumbavu sana....Kwamba huyo binti ni shoga msagaji au ...au kwamba wote wanajua maana ya hizo rangi?? Au kwamba wote wakivaa hizo rangi maana yake wanavaa kwa kuhamasisha Mambo hayo na wenyewe wanafinyiwa ndani!? Kuna wengine hizo rangi hatujui maana yake ..MTU kapenda Tu kavaa unawezaje kusema hivyo!?
Hiyo rangi ina madhara gani kwako? Inahamasisha vipi ushoga!? Mambo mengine huwa naona niujinga tu, tuache kutumia vitu tunavyoishi navyo kisa kuna wapuuzi wachache wamevichagua kuwa utambulisho wao!!!??? Binafsi siwaungi mkono LGBTI ila sioni shida kwa mtu kuvaa au kutumia nembo ya upinde maana ilikuwepo kabla ya mashoga na ushoga wao.Huyu ni binti aliyejisitiri kwa kuvaa kiheshima akimuogopa Mwenyezi Mungu. Kati ya begi za shule alizochagua au chaguliwa hili lenye rangi zao ndio kaona linafaa pasipo Yeye kujua kipi anapromote zaidi ya mbunifu wa begi hilo akiwa anajua hajaweka kwa makusudi rangi zao.
Pana siku nilimuona mama mtu mzima kajitanda mtandio wenye rangi zao akijongea taratibu mbele kutoa sadaka mbele ya waumini
Niliingia duka moja la dawa nikakuta box la dawa lina rangi zao.
Hawa jamaa wamepania aisee kuhakikisha watu wanapakuliwa speaker.
Mungu atunusuru kizazi chetu.
View attachment 2479643
KWA mfano Umevaa nguo Ina nembo ya kampuni ya simu,au ya pombe wewe unaelewa niniHiyo rangi ina madhara gani kwako? Inahamasisha vipi ushoga!? Mambo mengine huwa naona niujinga tu, tuache kutumia vitu tunavyoishi navyo kisa kuna wapuuzi wachache wamevichagua kuwa utambulisho wao!!!??? Binafsi siwaungi mkono LGBTI ila sioni shida kwa mtu kuvaa au kutumia nembo ya upinde maana ilikuwepo kabla ya mashoga na ushoga wao.
Mkeeeeeee kanikera sana huyo mwehu, π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mume puliiiiizzzz, mbavu zangu zinaumaaaa.
uko sahihi sanaMkristo mimi ila tuwe wakweli, katika hili la mavazi wenzetu waislam wameshinda. Uliona wapi binti kavaa ushungi halafu yupo nusu uchi?