MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,747
- 2,977
Wewe Subiri tukupe umakamu mwenyekiti wa kitongoji tu.Sisi vikongwe wa miaka ya 80 tunakomenti wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Subiri tukupe umakamu mwenyekiti wa kitongoji tu.Sisi vikongwe wa miaka ya 80 tunakomenti wapi?
Mkongwee,Mzee una madini adimu mnooo, Mola akupe maisha marefu, simulizi zako zinasisimua saaana yaani kama unaliona tukio Zima, kumbe unasimuliwa tuu
Hongera saaana
View: https://www.youtube.com/watch?v=_PCe60hMfms
Mimi unanikumbusha redio ya cassette ya panasonic mida ya menu mchana RTD nikiwa na mama na marehemu babangu.
Kweli muda unakimbia sana.
Mshana Jr
Klabu rahaleo shwooo. Mtangazaj kama sjakosea julius nyaisanga .bendi na wasanii wanaalikwaNa kuna kipindi kinaitwa kabla ya KABLA YA LEO SHOW
💪Huu wimbo ulikuwa ni sig tune ya kipindi cha Salaam Mkulima, kilikuwa ni kipindi cha salamu za wakulima, kinaanza saa 11:00 jioni mpaka 12:00 kwenye Idhaa ya Taifa, baada ya kipindi cha Karibu Vijana, Saa 10:15-11:00. Saa 10:00 kulikuwa na muhtaasari wa habari for 5min ikifuatiwa na matangazo ya Vifo hadi 10:15
Nikiwa Mtangazaji wa RTD, nimetangaza sana kipindi hiki!.
P
View: https://www.youtube.com/watch?v=_PCe60hMfms
Mimi unanikumbusha redio ya cassette ya panasonic mida ya menu mchana RTD nikiwa na mama na marehemu babangu.
Kweli muda unakimbia sana.
Mshana Jr