Wazee wa Mkataba Mwitongo ndio walishauri Nchimbi arudishwe kwenye Uongozi

Wazee wa Mkataba Mwitongo ndio walishauri Nchimbi arudishwe kwenye Uongozi

Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata Uchumi.

Kamati ya huu Mkataba kwa sasa inaongozwa na Mzee Mizengo Pinda, na pia inawatu kama Yusugu Makamba, Msuya,Piusi Msekwa, Anna Makinda, na washauri kama Mstafu Kikwete, na Mstafu Mwinyi, na pia wastafu wa Zanzibar.

Hii kamati ndio huwa inapokea majina ya watoto wa viongozi wanao hitaji nafasi mbali mbali za juu, na wanacho fanya ni kupitia hayo majina na kumpatia Raisi ili sasa awaangalie kwenye teuzi.Pia endapo kuna mtoto anataka examption za Kodi, Upendeleo kwenye maswala tenda na maswala mengine.

Emanueli Nchimbi wakati mkataba unaasisiwa alikuwa UVCCM, na inaaminika alitoa mchango mkubwa sana wa mawazo na ya jinsi huu mkataba utatekelezwa na ndio maana wazee wakaona ni lazima Mama amrudishe Emanul kwenye nafasi za juu either ndani ya Chama au Serikalin yaani awe active katika siasa na sio kuwa Balozi.

Kumbuka pia huu mkataba ulifutwa na Magufuri wakati wa utawala wake na hakutaka kusikia huo ujinga kamwe.

Hii kamati pia ina kazi ya kupokea malalamilo kutoka kwa watoto wa wastafu wote, endapo wanakumbana na Changamoto zozote, kunyanyaswa labda na TRA, na mamlka zingine au kupewa nafasi ambazo hazina hadhi, Watoto wengi hawataki ukuu wa wilaya wala Mkoa,wanataka sana Ukurugenzi au nafasi zingine za hadhi yao.

Kilicho fanya Magufuri afute huu mkataba ni kitendo cha watoto wengi kuwa wanapitisha mizigo free Bandarini, hilo Magufuri alilipinga sana na Ridhiwani ndio mtoto wa kwanza kukumbana na kizingiti hichi wakati wa Magufuri mara baada kuwa alikuwa mtoto wa wa Mstafu anaye pitisha mizigo mingi sana Bandarini free.


Kama ni mfuatiliaji wa mikutano ya Halimashauri kuu za CCM wakati wa Magufuri,kuna siku Yusufu makamba aliwahi tamka ndani ya mkutano kwamba Raisi wetu sio mtu wa vimemo hivyo msimsumbue na vimemo vya teuzi, ndio kipindi hicho Magu alikuwa ametoka kupiga pini huo mkataba Mwitongo.

Kumbuka awamu ya mama huu mkataba Mwitongo uko implemented kwa 100%
"Kumbuka pia huu mkataba ulifutwa na Magufuri wakati wa utawala wake na hakutaka kusikia huo ujinga kamwe." Lala salama Magufuli
 
Yani watu walikaa chini wakakubaliana hivyo kabisa? Wewe umejuaje hilo?

Sikatai kwamba inaonekana kuna uoendeleo, watoto wa watu fulani wanaonekana kupata nafasi za uongozi kirahisi, tunapata picha kwamba majina yanawasaidia. Hilo kulibishia ni vigumu.

Lakini, unatuambia kuna kikao kilikaa na kupanga hiki kabisa?

Umejuaje? Unaweza vipi kuthibitisha haya maneno ni ya kweli na si chumvi za conspiracy theories tu?

Mbona watoto wengine kama kina Kippi Warioba kila wakigombea wanakatwa tu, kaka Kippi kagombea u Meya Dar kashindwa, kagombea ubunge Kawe kashindwa.
Ile Rasimu !!
 
Yani watu walikaa chini wakakubaliana hivyo kabisa? Wewe umejuaje hilo?

Sikatai kwamba inaonekana kuna uoendeleo, watoto wa watu fulani wanaonekana kupata nafasi za uongozi kirahisi, tunapata picha kwamba majina yanawasaidia. Hilo kulibishia ni vigumu.

Lakini, unatuambia kuna kikao kilikaa na kupanga hiki kabisa?

Umejuaje? Unaweza vipi kuthibitisha haya maneno ni ya kweli na si chumvi za conspiracy theories tu?

Mbona watoto wengine kama kina Kippi Warioba kila wakigombea wanakatwa tu, kaka Kippi kagombea u Meya Dar kashindwa, kagombea ubunge Kawe kashindwa.
Kippi hapati nafasi kutokana na ccm kumuona baba yake kama msaliti wao, ndio maana hata Makonda alitumwa kumpiga kibao na hakuna alicho fanywa.

Kuhusu kikao mfano kama kikao ya Berlin vile na Afrika yetu, au vikao vya siku ya uchaguzi jinsi ya kuiba kura ndio imefanya kuna wazee wa chama wanataka watoto wao wapate nafasi kwa kupitia majina ya kiukoo.
 
Kippi hapati nafasi kutokana na ccm kumuona baba yake kama msaliti wao, ndio maana hata Makonda alitumwa kumpiga kibao na hakuna alicho fanywa.

Kuhusu kikao mfano kama kikao ya Berlin vile na Afrika yetu, au vikao vya siku ya uchaguzi jinsi ya kuiba kura ndio imefanya kuna wazee wa chama wanataka watoto wao wapate nafasi kwa kupitia majina ya kiukoo.
Uko sahihi.
 
Kippi hapati nafasi kutokana na ccm kumuona baba yake kama msaliti wao, ndio maana hata Makonda alitumwa kumpiga kibao na hakuna alicho fanywa.

Kuhusu kikao mfano kama kikao ya Berlin vile na Afrika yetu, au vikao vya siku ya uchaguzi jinsi ya kuiba kura ndio imefanya kuna wazee wa chama wanataka watoto wao wapate nafasi kwa kupitia majina ya kiukoo.
Mkuu,

Kwanza kabisa mimi sitetei nepotism. Naipinga sana. Hivyo sitaki kuonekana naitetea. Napanua mazungumzo tu.

Unafikiri Nyerere asingekuwa mtoto wa Chifu angekuwa rais wa Tanzania?
 
Yani nilivyokuwa naandika tu nikajua hili litakuja.

Tumeambiwa teuzi za watoto hutumika kunyamazisha wazazi, sasa kwa nini hawakufanya hivyo hapo?
Huenda jamaa haambiliki !
Anasimama kwenye Ukweli !
Hukuona hata kwenye ile picha huwa inawekwa sana humu Jf ?
Makonda na wenzie wakimburuza Mzee kumtoa ndani ya Ukumbi !
Inaonyesha Mheshimiwa sio mwenzao sana kwa wanavyo mchukulia !
 
Mkuu,

Kwanza kabisa mimi sitetei nepotism. Naipinga sana. Hivyo sitaki kuonekana naitetea. Napanua mazungumzo tu.

Unafikiri Nyerere asingekuwa mtoto wa Chifu angekuwa rais wa Tanzania?
Una maana viongozi huwa wanazaa viongozi ??!
Labda Afrika na UARABUNI kwenye Ufalme !
 
Back
Top Bottom