Wazee wa Mkataba Mwitongo ndio walishauri Nchimbi arudishwe kwenye Uongozi

Wazee wa Mkataba Mwitongo ndio walishauri Nchimbi arudishwe kwenye Uongozi

Una maana viongozi huwa wanazaa viongozi ??!
Labda Afrika na UARABUNI kwenye Ufalme !
Siyo lazima viongozi wawe wanazaa viongozi.

Lakini, tukija kutafuta watu wenye usomi, hususannhuu wa kupima darasani, wenye kujuana na watu, wenye kuandaliwa vizuri kushika uongozi, hatutazunguka humo humo kwenye watoto wa viongozi na ndugu zao?
 
Siyo lazima viongozi wawe wanazaa viongozi.

Lakini, tukija kutafuta watu wenye usomi, hususannhuu wa kupima darasani, wenye kujuana na watu, wenye kuandaliwa vizuri kushika uongozi, hatutazunguka humo humo kwenye watoto wa viongozi na ndugu zao?
Hata kama watakuwepo wanaofaa kuongoza zaidi kuliko hao watoto wao lakini priority ya kwanza watapewa watoto pendwa !
 
Yani watu walikaa chini wakakubaliana hivyo kabisa? Wewe umejuaje hilo?

Sikatai kwamba inaonekana kuna uoendeleo, watoto wa watu fulani wanaonekana kupata nafasi za uongozi kirahisi, tunapata picha kwamba majina yanawasaidia. Hilo kulibishia ni vigumu.

Lakini, unatuambia kuna kikao kilikaa na kupanga hiki kabisa?

Umejuaje? Unaweza vipi kuthibitisha haya maneno ni ya kweli na si chumvi za conspiracy theories tu?

Mbona watoto wengine kama kina Kippi Warioba kila wakigombea wanakatwa tu, kaka Kippi kagombea u Meya Dar kashindwa, kagombea ubunge Kawe kashindwa.
Nilipokusoma hapo awali nikadhani ni andiko la Lucas Muoshambwa.

Maneno meeengiii hoja zero
 
Kwa maana nyingins inayo eleweka kirahisi ni kwamba Ccm ni chama cha kifamilia zaidi.

Kama mzazi wako haja wahi kuwa kiongozi kwenye hii nchi, basi sahau teuzi. Hiyo ndiyo CCM. Na bado kuna watu wana iligia makofi
Juu ya hii mi nimejiridhisha zaidi, mfano nenda BOT, TRA, Balozini, n.k. Kinachoumiza zaidi watoto hawa wa viongozi hawafanyi kazi ni mizigo kwa Taasisi husika hata viongozi wa Taasisi husika hawawezi kuwachukulia hatua zozote kutokana na nafasi za wazazi wao, anza kwa kufuatilia walipo pale BOT utaamini ninachokisema hapa!.
 
Hata kama watakuwepo wanaofaa kuongoza zaidi kuliko hao watoto wao lakini priority ya kwanza watapewa watoto pendwa !
Hii si kweli mara zote. Ingekuwa kweli hivyo, Magufuli asingepenya na kumshinda January Makamba.

Magufuli hakuwa na mzazi kiongozi maarufu. January baba yake kiongozi maarufu.
 
Kwa maana nyingins inayo eleweka kirahisi ni kwamba Ccm ni chama cha kifamilia zaidi.

Kama mzazi wako haja wahi kuwa kiongozi kwenye hii nchi, basi sahau teuzi. Hiyo ndiyo CCM. Na bado kuna watu wana iligia makofi
Juu ya hii mi nimejiridhisha zaidi, mfano nenda BOT, TRA, Balozini, n.k. Kinachoumiza zaidi watoto hawa wa viongozi hawafanyi kazi ni mizigo kwa Taasisi husika hata viongozi wa Taasisi husika hawawezi kuwachukulia hatua zozote kutokana na nafasi za wazazi wao, anza kwa kufuatilia walipo pale BOT utaamini ninachokisema hapa!.
 
Nilipokusoma hapo awali nikadhani ni andiko la Lucas Muoshambwa.

Maneno meeengiii hoja zero
Hiyo hoja zero hujaionesha iko wapi.

Hivyo, wewe umekuja na hoja chini ya zero.

Hoja negative. Kwa logical fallacy ya ad hominem attack.

Badala ya kukosoa hoja ya mtu, unamshambulia mtu.

Kwa sababu hujui hoja ni nini.
 
Kwa Magufuli ilikuwa kesi nyingine kabisa
Karata ya mwisho ilikuwa ni Magufuli au Chama kinakufa !!
Bado sijajibiwa kama huo mkataba wa Mwitongo ni mkataba halisi watu walikaa kikao kabisa kweli, na mtoa mada alijuaje hili?

Au kama ni hadithi za kuongezea chumvi tu kunogesha habari?

Haya ni mambo mawili tofauti.

Watu kupendelewa kwa spirit ya undugunaizesheni inayochipukia organically tu bila kikao maalum ni tofauti sana na watu kupendelewa kwa kufuatia maamuzi ya kikao maalum yaliyopanga hujuma hii.

Cc BLACK MOVEMENT
 
Bado sijajibiwa kama huo mkataba wa Mwitongo ni mkataba halisi watu walikaa kikao kabisa kweli, na mtoa mada alijuaje hili?

Au kama ni hadithi za kuongezea chumvi tu kunogesha habari?

Haya ni mambo mawili tofauti.

Watu kupendelewa kwa spirit ya undugunaizesheni inayochipukia organically tu bila kikao maalum ni tofauti sana na watu kupendelewa kwa kufuatia maamuzi ya kikao maalum yaliyopanga hujuma hii.

Cc BLACK MOVEMENT
Hata mimi siamini kama Mzee Mkapa angekubali kufanya hiyo kitu !
Labda mwingine sio Mkapa
 
Mimi sijausikia huo mkataba. Nipo hapa,nimepata hifafhi katika nyumba ya rafiki.
Siamini kwamba upo mkataba wowote wa aina hiyo.
Sema wewe kaka mkubwa uliyeshikilia katikati.

Mimi nilipoona jina la Mwitongo nikastuka kidogo.

Nikauliza, huu mkataba ni watu wamekutana kweli? Au mtoa mada anatumia poetic license tu kunogesha habari, akimaanisha kuwa kuna upendeleo katika kupata viongozi?

Maana haya ni mambo mawili tofauti.

Kuwepo kwa kikao kilichopanga upendeleo maalum kwa watoto wa viongozi ni tofauti sana na spirit ya kuwapendelea watoto wa viongozi inayoibuka organically tu.
 
Back
Top Bottom