Wazee wa Mkataba Mwitongo ndio walishauri Nchimbi arudishwe kwenye Uongozi

Wazee wa Mkataba Mwitongo ndio walishauri Nchimbi arudishwe kwenye Uongozi

Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata Uchumi.

Sikatai kwamba inaonekana kuna upendeleo, watoto wa watu fulani wanaonekana kupata nafasi za uongozi kirahisi, tunapata picha kwamba majina yanawasaidia. Hilo kulibishia ni vigumu.
Inakuwaje waislamu walipoanza kulalamika tokea miaka ya 70 kuwa kuna upendeleo kwenye elimu wanaonekana wanalalama, oooh mara wanaendekeza madras, sijui hawana akili ni vilaza
Sasa pambaneni na hali zenu
 
Inakuwaje waislamu walipoanza kulalamika tokea miaka ya 70 kuwa kuna upendeleo kwenye elimu wanaonekana wanalalama, oooh mara wanaendekeza madras, sijui hawana akili ni vilaza
Sasa pambaneni na hali zenu
Nani analalama mkuu, nani anapambana?

I got cribs from Oysterbay New York to Oysterbay Dar es salaam.

What are you talking about?

Mimi nilikuwa naalikwa niende kukutana na rais anijue, nirudi nyumbani kuwekwa kwenye huu ujinga wa kuingizwa kwenye uongozi bongo, nikakataa hata kukutana na rais, kwa sababu ningeweza kumtukana nikawaharibia kazi hao walionikaribisha.

Why do you do this to me?

Wabongo wengi hamjui tofauti ya hoja za kifalsafa na kulalamika, kila kitu mnaki personalize, hamjui abstract thinking.

Huu ni umasikini wa akili. Umasikini mkubwa kabisa.
 
Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata Uchumi.

Kamati ya huu Mkataba kwa sasa inaongozwa na Mzee Mizengo Pinda, na pia inawatu kama Yusugu Makamba, Msuya,Piusi Msekwa, Anna Makinda, na washauri kama Mstafu Kikwete, na Mstafu Mwinyi, na pia wastafu wa Zanzibar.

Hii kamati ndio huwa inapokea majina ya watoto wa viongozi wanao hitaji nafasi mbali mbali za juu, na wanacho fanya ni kupitia hayo majina na kumpatia Raisi ili sasa awaangalie kwenye teuzi.Pia endapo kuna mtoto anataka examption za Kodi, Upendeleo kwenye maswala tenda na maswala mengine.

Emanueli Nchimbi wakati mkataba unaasisiwa alikuwa UVCCM, na inaaminika alitoa mchango mkubwa sana wa mawazo na ya jinsi huu mkataba utatekelezwa na ndio maana wazee wakaona ni lazima Mama amrudishe Emanul kwenye nafasi za juu either ndani ya Chama au Serikalin yaani awe active katika siasa na sio kuwa Balozi.

Kumbuka pia huu mkataba ulifutwa na Magufuri wakati wa utawala wake na hakutaka kusikia huo ujinga kamwe.

Hii kamati pia ina kazi ya kupokea malalamilo kutoka kwa watoto wa wastafu wote, endapo wanakumbana na Changamoto zozote, kunyanyaswa labda na TRA, na mamlka zingine au kupewa nafasi ambazo hazina hadhi, Watoto wengi hawataki ukuu wa wilaya wala Mkoa,wanataka sana Ukurugenzi au nafasi zingine za hadhi yao.

Kilicho fanya Magufuri afute huu mkataba ni kitendo cha watoto wengi kuwa wanapitisha mizigo free Bandarini, hilo Magufuri alilipinga sana na Ridhiwani ndio mtoto wa kwanza kukumbana na kizingiti hichi wakati wa Magufuri mara baada kuwa alikuwa mtoto wa wa Mstafu anaye pitisha mizigo mingi sana Bandarini free.


Kama ni mfuatiliaji wa mikutano ya Halimashauri kuu za CCM wakati wa Magufuri,kuna siku Yusufu makamba aliwahi tamka ndani ya mkutano kwamba Raisi wetu sio mtu wa vimemo hivyo msimsumbue na vimemo vya teuzi, ndio kipindi hicho Magu alikuwa ametoka kupiga pini huo mkataba Mwitongo.

Kumbuka awamu ya mama huu mkataba Mwitongo uko implemented kwa 100%
Tuwekee tuusome, isiwe umeongeza chumvi au hapo kabisa.
 
I got cribs from Oysterbay New York to Oysterbay Dar es salaam.
Was this necessary 🙃

Wabongo wengi hamjui tofauti ya hoja za kifalsafa na kulalamika, kila kitu mnaki personalize, hamjui abstract thinking.
"Sikatai kwamba inaonekana kuna upendeleo, watoto wa watu fulani wanaonekana kupata nafasi za uongozi kirahisi"

Hii nukuu, is more of hypothetical thinking than abstract
 
Was this necessary 🙃


"Sikatai kwamba inaonekana kuna upendeleo, watoto wa watu fulani wanaonekana kupata nafasi za uongozi kirahisi"

Hii nukuu, is more of hypothetical thinking than abstract

Who decides what is necessary? What if I want to go far and beyond the merely necessary, isn't that my right?

Nakwambia hivi, wewe usiyejua abstract thinking, ukisikia mtu anapinga ubaguzi wa rangi dhidi ya watu weusi, automatically unafikiria huyo ni mtu mweusi anapinga kwa sababu kaumizwa yeye. Analalamika.

Huwezi kufikiri kwamba inawezekana huyo si mtu mweusi, ni mtu tu ambaye hapendi ubaguzi wa rangi kwa sababu za kifalsafa.

Yani huwezi kufikiri kwamba kuna watu hawapendi unfairness even in the abstract.

Ukisikia mtu anapinga upendeleo, una assume tu kwamba huyu kaonewa.Analia baada ya kuonewa.

You can't think in the abstract.

Umasikini wa akili huo.
 
JobTrueTrue Ila tutafika tu japo wengi tutachelewa sana alaumiwe Nyerere kwa kukabidhi nchi katika chama kibovu na katiba mbovu.
 
Mkuu,

Kwanza kabisa mimi sitetei nepotism. Naipinga sana. Hivyo sitaki kuonekana naitetea. Napanua mazungumzo tu.

Unafikiri Nyerere asingekuwa mtoto wa Chifu angekuwa rais wa Tanzania?
Nyerere na Kikwete ni watoto wa machifu wasaliti waliokuwa wapo upande wa wakoloni sio kwa wananchi.
 
Hii si kweli mara zote. Ingekuwa kweli hivyo, Magufuli asingepenya na kumshinda January Makamba.

Magufuli hakuwa na mzazi kiongozi maarufu. January baba yake kiongozi maarufu.
Mkuu ile ilikuwa special case .lowasa alikuwa na nguvu za ushawishi kuliko kikwete.kikwete akatumia uenyekiti kumkata jina.kuonesha ana nguvu wajumbe kama sophia simba na nchimbi walitoka nje ya kikao .wqjumbe wakawa wanaimba wanaimani na lowasa.
Lowasa alipotoka walijua amezira hatarudi .kumbe mmafia alienda toa maagizo watu wake wampigie kura magu akijua kikwete alimuandaa amina na membe .
Magu na kikwete walikuwa haziivi toka serikalini ila alikuwa anamuacha kwa kukingiwa kifua na mkapa .
Na ndo maana lowasa mpaka leo aliondoka mtoto wa mjini kikao kile maana akarudi ccm na kuwa mshikaji na magu akawa anamsagia kunguni mbaya kikwete .hata mashart ya kurudi alimkaa ridhwan ndo arudi.kikwete alikoma hasa
 
Ni ufisadi mtupu awamu ya huyu bibi remote iko Chalinze kule ndio maana makapi ya awamu ile yanarejeshwa taratibu kufikia 2025 nchi itakua imetafunwa hadi kubaki mifupa
 
Back
Top Bottom