Wazee wa Mkataba Mwitongo ndio walishauri Nchimbi arudishwe kwenye Uongozi

Wazee wa Mkataba Mwitongo ndio walishauri Nchimbi arudishwe kwenye Uongozi

Na walishajiwekea utaratibu wa nafasi za benki kuu, TRA,maafsa kwenye balozi nchi za nje hauwezi kuona huko mtu wa kawaida lazma awe mtoto wa flan bin flan, JPM alipoingia akarudisha wote nchini akapeleka wengine watoto wa maskini ambao hawakuwazia kama ipo siku watafanya kazi kwenye ubalozi nchi za nje.
Mkuu;

Kwanza tukubaliane kuwa watoto wa kiongozi, Tajiri na masikini wote ni raia wa Tanzania na wana haki ya kuajirika kwa kukidhi vigezo na masharti ya ajira.

Pili, sio kweli na sio vyema kugeneralize au kupotray kuwa nafasi zote kwenye taasisi ulizooredhesha zime hodhiwa kwa watoto wa kada ya viongozi, ushawishi na wenye ukwasi tu.

Tatu, ukichukulia kwa mfano TRA nchi nzima inaweza kuwa na wafanyakazi wasiopungua 3,000 ukiscrutinize watoto wa viongozi wanaweza was ifike hata 20, Avery minute percentage! Na wapo kwenye different level, and honestly waliobahatika wakafika top level wapo pale on merits!

Nne, tuache chuki na kujiona sisi ndio tuna haki zaidi kuliko wengine! Tuache kulia lia kila wakati na kuplay victims every time and then! Mlidanganyika kuwa nyie ni wanyonge! Hakuna mtanzania mnyonge wala masikini!

Tano, hata kwenye political class watoto wa viongozi ni wachache sana compared to the other classes, lakini utakuta mtu kapanua mdomo kupiga keleeeeele utafikiri mdomo wa kiboko!! Utafikiri watoto wa viongozi sio watanzania, au katiba imewakataza kushika nafasi yoyote nchini! wivu mtupu!

Sita, ili kila mtu afaidike, let's put the government of the day to task icreate more than enough jobs ili kila mtu aajirike, hizi kelele ndio zitaisha!

Lakini kama maandamano tu, jambo halali kikatiba inaonekana ni vurugu na nongwa! Kwanini mtoto wa kiongozi kuwa kwenye nafasi asitafsirike kuwa kapendelewa! Ujinga mtupu!

Mkuu, ajenda kuu ya uchaguzi iwe ni ajira! Tuache wivu na chuki!
 
Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata Uchumi.

Kamati ya huu Mkataba kwa sasa inaongozwa na Mzee Mizengo Pinda, na pia inawatu kama Yusugu Makamba, Msuya,Piusi Msekwa, Anna Makinda, na washauri kama Mstafu Kikwete, na Mstafu Mwinyi, na pia wastafu wa Zanzibar.

Hii kamati ndio huwa inapokea majina ya watoto wa viongozi wanao hitaji nafasi mbali mbali za juu, na wanacho fanya ni kupitia hayo majina na kumpatia Raisi ili sasa awaangalie kwenye teuzi.Pia endapo kuna mtoto anataka examption za Kodi, Upendeleo kwenye maswala tenda na maswala mengine.

Emanueli Nchimbi wakati mkataba unaasisiwa alikuwa UVCCM, na inaaminika alitoa mchango mkubwa sana wa mawazo na ya jinsi huu mkataba utatekelezwa na ndio maana wazee wakaona ni lazima Mama amrudishe Emanul kwenye nafasi za juu either ndani ya Chama au Serikalin yaani awe active katika siasa na sio kuwa Balozi.

Kumbuka pia huu mkataba ulifutwa na Magufuri wakati wa utawala wake na hakutaka kusikia huo ujinga kamwe.

Hii kamati pia ina kazi ya kupokea malalamilo kutoka kwa watoto wa wastafu wote, endapo wanakumbana na Changamoto zozote, kunyanyaswa labda na TRA, na mamlka zingine au kupewa nafasi ambazo hazina hadhi, Watoto wengi hawataki ukuu wa wilaya wala Mkoa,wanataka sana Ukurugenzi au nafasi zingine za hadhi yao.

Kilicho fanya Magufuri afute huu mkataba ni kitendo cha watoto wengi kuwa wanapitisha mizigo free Bandarini, hilo Magufuri alilipinga sana na Ridhiwani ndio mtoto wa kwanza kukumbana na kizingiti hichi wakati wa Magufuri mara baada kuwa alikuwa mtoto wa wa Mstafu anaye pitisha mizigo mingi sana Bandarini free.


Kama ni mfuatiliaji wa mikutano ya Halimashauri kuu za CCM wakati wa Magufuri,kuna siku Yusufu makamba aliwahi tamka ndani ya mkutano kwamba Raisi wetu sio mtu wa vimemo hivyo msimsumbue na vimemo vya teuzi, ndio kipindi hicho Magu alikuwa ametoka kupiga pini huo mkataba Mwitongo.

Kumbuka awamu ya mama huu mkataba Mwitongo uko implemented kwa 100%
Mbona Magu mwenyewe pia alijaza wanae, wakwe zake, mahawara zake na kabila lake kwenye teuzi mbalimbali? Huu wa kwake ulikuwa ni Mkataba wa Chato, Koromije, au wapi?
 
Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata Uchumi.

Kamati ya huu Mkataba kwa sasa inaongozwa na Mzee Mizengo Pinda, na pia inawatu kama Yusugu Makamba, Msuya,Piusi Msekwa, Anna Makinda, na washauri kama Mstafu Kikwete, na Mstafu Mwinyi, na pia wastafu wa Zanzibar.

Hii kamati ndio huwa inapokea majina ya watoto wa viongozi wanao hitaji nafasi mbali mbali za juu, na wanacho fanya ni kupitia hayo majina na kumpatia Raisi ili sasa awaangalie kwenye teuzi.Pia endapo kuna mtoto anataka examption za Kodi, Upendeleo kwenye maswala tenda na maswala mengine.

Emanueli Nchimbi wakati mkataba unaasisiwa alikuwa UVCCM, na inaaminika alitoa mchango mkubwa sana wa mawazo na ya jinsi huu mkataba utatekelezwa na ndio maana wazee wakaona ni lazima Mama amrudishe Emanul kwenye nafasi za juu either ndani ya Chama au Serikalin yaani awe active katika siasa na sio kuwa Balozi.

Kumbuka pia huu mkataba ulifutwa na Magufuri wakati wa utawala wake na hakutaka kusikia huo ujinga kamwe.

Hii kamati pia ina kazi ya kupokea malalamilo kutoka kwa watoto wa wastafu wote, endapo wanakumbana na Changamoto zozote, kunyanyaswa labda na TRA, na mamlka zingine au kupewa nafasi ambazo hazina hadhi, Watoto wengi hawataki ukuu wa wilaya wala Mkoa,wanataka sana Ukurugenzi au nafasi zingine za hadhi yao.

Kilicho fanya Magufuri afute huu mkataba ni kitendo cha watoto wengi kuwa wanapitisha mizigo free Bandarini, hilo Magufuri alilipinga sana na Ridhiwani ndio mtoto wa kwanza kukumbana na kizingiti hichi wakati wa Magufuri mara baada kuwa alikuwa mtoto wa wa Mstafu anaye pitisha mizigo mingi sana Bandarini free.


Kama ni mfuatiliaji wa mikutano ya Halimashauri kuu za CCM wakati wa Magufuri,kuna siku Yusufu makamba aliwahi tamka ndani ya mkutano kwamba Raisi wetu sio mtu wa vimemo hivyo msimsumbue na vimemo vya teuzi, ndio kipindi hicho Magu alikuwa ametoka kupiga pini huo mkataba Mwitongo.

Kumbuka awamu ya mama huu mkataba Mwitongo uko implemented kwa 100%
Kweli kabisa kuhusu Rifhiwani kuingiza mizigo bure kwani mpaka akajenga container depot sehemu za Tegeta kuelekea Bunju!
 
Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata Uchumi.

Kamati ya huu Mkataba kwa sasa inaongozwa na Mzee Mizengo Pinda, na pia inawatu kama Yusugu Makamba, Msuya,Piusi Msekwa, Anna Makinda, na washauri kama Mstafu Kikwete, na Mstafu Mwinyi, na pia wastafu wa Zanzibar.

Hii kamati ndio huwa inapokea majina ya watoto wa viongozi wanao hitaji nafasi mbali mbali za juu, na wanacho fanya ni kupitia hayo majina na kumpatia Raisi ili sasa awaangalie kwenye teuzi.Pia endapo kuna mtoto anataka examption za Kodi, Upendeleo kwenye maswala tenda na maswala mengine.

Emanueli Nchimbi wakati mkataba unaasisiwa alikuwa UVCCM, na inaaminika alitoa mchango mkubwa sana wa mawazo na ya jinsi huu mkataba utatekelezwa na ndio maana wazee wakaona ni lazima Mama amrudishe Emanul kwenye nafasi za juu either ndani ya Chama au Serikalin yaani awe active katika siasa na sio kuwa Balozi.

Kumbuka pia huu mkataba ulifutwa na Magufuri wakati wa utawala wake na hakutaka kusikia huo ujinga kamwe.

Hii kamati pia ina kazi ya kupokea malalamilo kutoka kwa watoto wa wastafu wote, endapo wanakumbana na Changamoto zozote, kunyanyaswa labda na TRA, na mamlka zingine au kupewa nafasi ambazo hazina hadhi, Watoto wengi hawataki ukuu wa wilaya wala Mkoa,wanataka sana Ukurugenzi au nafasi zingine za hadhi yao.

Kilicho fanya Magufuri afute huu mkataba ni kitendo cha watoto wengi kuwa wanapitisha mizigo free Bandarini, hilo Magufuri alilipinga sana na Ridhiwani ndio mtoto wa kwanza kukumbana na kizingiti hichi wakati wa Magufuri mara baada kuwa alikuwa mtoto wa wa Mstafu anaye pitisha mizigo mingi sana Bandarini free.


Kama ni mfuatiliaji wa mikutano ya Halimashauri kuu za CCM wakati wa Magufuri,kuna siku Yusufu makamba aliwahi tamka ndani ya mkutano kwamba Raisi wetu sio mtu wa vimemo hivyo msimsumbue na vimemo vya teuzi, ndio kipindi hicho Magu alikuwa ametoka kupiga pini huo mkataba Mwitongo.

Kumbuka awamu ya mama huu mkataba Mwitongo uko implemented kwa 100%
Hamna kitu kama hiki CCM. Hizi ni pumba tu, pelekea nguruwe
 
Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata Uchumi.

Kamati ya huu Mkataba kwa sasa inaongozwa na Mzee Mizengo Pinda, na pia inawatu kama Yusugu Makamba, Msuya,Piusi Msekwa, Anna Makinda, na washauri kama Mstafu Kikwete, na Mstafu Mwinyi, na pia wastafu wa Zanzibar.

Hii kamati ndio huwa inapokea majina ya watoto wa viongozi wanao hitaji nafasi mbali mbali za juu, na wanacho fanya ni kupitia hayo majina na kumpatia Raisi ili sasa awaangalie kwenye teuzi.Pia endapo kuna mtoto anataka examption za Kodi, Upendeleo kwenye maswala tenda na maswala mengine.

Emanueli Nchimbi wakati mkataba unaasisiwa alikuwa UVCCM, na inaaminika alitoa mchango mkubwa sana wa mawazo na ya jinsi huu mkataba utatekelezwa na ndio maana wazee wakaona ni lazima Mama amrudishe Emanul kwenye nafasi za juu either ndani ya Chama au Serikalin yaani awe active katika siasa na sio kuwa Balozi.

Kumbuka pia huu mkataba ulifutwa na Magufuri wakati wa utawala wake na hakutaka kusikia huo ujinga kamwe.

Hii kamati pia ina kazi ya kupokea malalamilo kutoka kwa watoto wa wastafu wote, endapo wanakumbana na Changamoto zozote, kunyanyaswa labda na TRA, na mamlka zingine au kupewa nafasi ambazo hazina hadhi, Watoto wengi hawataki ukuu wa wilaya wala Mkoa,wanataka sana Ukurugenzi au nafasi zingine za hadhi yao.

Kilicho fanya Magufuri afute huu mkataba ni kitendo cha watoto wengi kuwa wanapitisha mizigo free Bandarini, hilo Magufuri alilipinga sana na Ridhiwani ndio mtoto wa kwanza kukumbana na kizingiti hichi wakati wa Magufuri mara baada kuwa alikuwa mtoto wa wa Mstafu anaye pitisha mizigo mingi sana Bandarini free.


Kama ni mfuatiliaji wa mikutano ya Halimashauri kuu za CCM wakati wa Magufuri,kuna siku Yusufu makamba aliwahi tamka ndani ya mkutano kwamba Raisi wetu sio mtu wa vimemo hivyo msimsumbue na vimemo vya teuzi, ndio kipindi hicho Magu alikuwa ametoka kupiga pini huo mkataba Mwitongo.

Kumbuka awamu ya mama huu mkataba Mwitongo uko implemented kwa 100%
Mkuu wewe ni mmojawapo wa Sukuma gang?
 
Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata Uchumi.

Kamati ya huu Mkataba kwa sasa inaongozwa na Mzee Mizengo Pinda, na pia inawatu kama Yusugu Makamba, Msuya,Piusi Msekwa, Anna Makinda, na washauri kama Mstafu Kikwete, na Mstafu Mwinyi, na pia wastafu wa Zanzibar.

Hii kamati ndio huwa inapokea majina ya watoto wa viongozi wanao hitaji nafasi mbali mbali za juu, na wanacho fanya ni kupitia hayo majina na kumpatia Raisi ili sasa awaangalie kwenye teuzi.Pia endapo kuna mtoto anataka examption za Kodi, Upendeleo kwenye maswala tenda na maswala mengine.

Emanueli Nchimbi wakati mkataba unaasisiwa alikuwa UVCCM, na inaaminika alitoa mchango mkubwa sana wa mawazo na ya jinsi huu mkataba utatekelezwa na ndio maana wazee wakaona ni lazima Mama amrudishe Emanul kwenye nafasi za juu either ndani ya Chama au Serikalin yaani awe active katika siasa na sio kuwa Balozi.

Kumbuka pia huu mkataba ulifutwa na Magufuri wakati wa utawala wake na hakutaka kusikia huo ujinga kamwe.

Hii kamati pia ina kazi ya kupokea malalamilo kutoka kwa watoto wa wastafu wote, endapo wanakumbana na Changamoto zozote, kunyanyaswa labda na TRA, na mamlka zingine au kupewa nafasi ambazo hazina hadhi, Watoto wengi hawataki ukuu wa wilaya wala Mkoa,wanataka sana Ukurugenzi au nafasi zingine za hadhi yao.

Kilicho fanya Magufuri afute huu mkataba ni kitendo cha watoto wengi kuwa wanapitisha mizigo free Bandarini, hilo Magufuri alilipinga sana na Ridhiwani ndio mtoto wa kwanza kukumbana na kizingiti hichi wakati wa Magufuri mara baada kuwa alikuwa mtoto wa wa Mstafu anaye pitisha mizigo mingi sana Bandarini free.


Kama ni mfuatiliaji wa mikutano ya Halimashauri kuu za CCM wakati wa Magufuri,kuna siku Yusufu makamba aliwahi tamka ndani ya mkutano kwamba Raisi wetu sio mtu wa vimemo hivyo msimsumbue na vimemo vya teuzi, ndio kipindi hicho Magu alikuwa ametoka kupiga pini huo mkataba Mwitongo.

Kumbuka awamu ya mama huu mkataba Mwitongo uko implemented kwa 100%
Tuikatae CCM watanzania la sivyo tutajuta!
 
Mkataba Mwitongo ni mkataba ulio asisiwa enzi za Mkapa na ukiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wa watawala wanapewa kipaumbele au upendeleo katika kila nyanja, ikiwemo Siasa,uongozi au hata Uchumi.

Kamati ya huu Mkataba kwa sasa inaongozwa na Mzee Mizengo Pinda, na pia inawatu kama Yusugu Makamba, Msuya,Piusi Msekwa, Anna Makinda, na washauri kama Mstafu Kikwete, na Mstafu Mwinyi, na pia wastafu wa Zanzibar.

Hii kamati ndio huwa inapokea majina ya watoto wa viongozi wanao hitaji nafasi mbali mbali za juu, na wanacho fanya ni kupitia hayo majina na kumpatia Raisi ili sasa awaangalie kwenye teuzi.Pia endapo kuna mtoto anataka examption za Kodi, Upendeleo kwenye maswala tenda na maswala mengine.

Emanueli Nchimbi wakati mkataba unaasisiwa alikuwa UVCCM, na inaaminika alitoa mchango mkubwa sana wa mawazo na ya jinsi huu mkataba utatekelezwa na ndio maana wazee wakaona ni lazima Mama amrudishe Emanul kwenye nafasi za juu either ndani ya Chama au Serikalin yaani awe active katika siasa na sio kuwa Balozi.

Kumbuka pia huu mkataba ulifutwa na Magufuri wakati wa utawala wake na hakutaka kusikia huo ujinga kamwe.

Hii kamati pia ina kazi ya kupokea malalamilo kutoka kwa watoto wa wastafu wote, endapo wanakumbana na Changamoto zozote, kunyanyaswa labda na TRA, na mamlka zingine au kupewa nafasi ambazo hazina hadhi, Watoto wengi hawataki ukuu wa wilaya wala Mkoa,wanataka sana Ukurugenzi au nafasi zingine za hadhi yao.

Kilicho fanya Magufuri afute huu mkataba ni kitendo cha watoto wengi kuwa wanapitisha mizigo free Bandarini, hilo Magufuri alilipinga sana na Ridhiwani ndio mtoto wa kwanza kukumbana na kizingiti hichi wakati wa Magufuri mara baada kuwa alikuwa mtoto wa wa Mstafu anaye pitisha mizigo mingi sana Bandarini free.


Kama ni mfuatiliaji wa mikutano ya Halimashauri kuu za CCM wakati wa Magufuri,kuna siku Yusufu makamba aliwahi tamka ndani ya mkutano kwamba Raisi wetu sio mtu wa vimemo hivyo msimsumbue na vimemo vya teuzi, ndio kipindi hicho Magu alikuwa ametoka kupiga pini huo mkataba Mwitongo.

Kumbuka awamu ya mama huu mkataba Mwitongo uko implemented kwa 100%
Kama huu mkataba upo kweli, basi hii nchi bora tuchinjane tu ili kuikomboa kutoka kwenye huu udhalimu
 
Sawa kwani lazima Kila mtu awe Kiongozi? Kwani Dewji ana Mpango wa kuwa Kiongozi?

Wengine wacheze kwenye Uongozi wengine watatunza kibubu.
Tanzania ina ufinyu/uhaba mkubwa wa fursa nzuri nje ya siasa na ajira za serikali ndio maana kila mtu anakimbilia uongozi na watu wengine wanaacha biashara zao au kuendeleza biashara za familia na badala yake kwenda kuomba na kufanya kazi TRA au kuwa DED, DC n.k.

Pia uchawa kwa kiasi kikubwa unasababishwa na uhaba huo wa fursa nzuri hali inayofanya nchi kuwa na wafanyabiashara wa uchumi wa wakati waliofanikiwa wachache sana, bado tuna safari ndefu sana.

Kinachotakiwa ni uchumi uwe na uwezo wa kuwatengeneza wakina Dewji na Bakheresa wengi sana kila mkoa katika nchi.
 
Nyerere aliondoa ukabila kwa nia njema lakini akaruhusu kuundwa kwa kabila dharimu la kisiasa ambalo lilipora na kujimilikisha kazi za utawala wa Dola.

Vyama vinapaswa kutoa viongozi tu, Kazi za kutawala na upangaji wa sera za taifa aidha utekelezaji wake unapaswa kuwa shughuli rasmi ya Serekali bila kuingiliwa na vyama kama ilivyo sasa. 🤔
 
Mkuu;

Kwanza tukubaliane kuwa watoto wa kiongozi, Tajiri na masikini wote ni raia wa Tanzania na wana haki ya kuajirika kwa kukidhi vigezo na masharti ya ajira.

Pili, sio kweli na sio vyema kugeneralize au kupotray kuwa nafasi zote kwenye taasisi ulizooredhesha zime hodhiwa kwa watoto wa kada ya viongozi, ushawishi na wenye ukwasi tu.

Tatu, ukichukulia kwa mfano TRA nchi nzima inaweza kuwa na wafanyakazi wasiopungua 3,000 ukiscrutinize watoto wa viongozi wanaweza was ifike hata 20, Avery minute percentage! Na wapo kwenye different level, and honestly waliobahatika wakafika top level wapo pale on merits!

Nne, tuache chuki na kujiona sisi ndio tuna haki zaidi kuliko wengine! Tuache kulia lia kila wakati na kuplay victims every time and then! Mlidanganyika kuwa nyie ni wanyonge! Hakuna mtanzania mnyonge wala masikini!

Tano, hata kwenye political class watoto wa viongozi ni wachache sana compared to the other classes, lakini utakuta mtu kapanua mdomo kupiga keleeeeele utafikiri mdomo wa kiboko!! Utafikiri watoto wa viongozi sio watanzania, au katiba imewakataza kushika nafasi yoyote nchini! wivu mtupu!

Sita, ili kila mtu afaidike, let's put the government of the day to task icreate more than enough jobs ili kila mtu aajirike, hizi kelele ndio zitaisha!

Lakini kama maandamano tu, jambo halali kikatiba inaonekana ni vurugu na nongwa! Kwanini mtoto wa kiongozi kuwa kwenye nafasi asitafsirike kuwa kapendelewa! Ujinga mtupu!

Mkuu, ajenda kuu ya uchaguzi iwe ni ajira! Tuache wivu na chuki!
Umesema sahihi kuhusu hitaji la fursa zaidi za ajira kuongezwa ili kuondoa dhana ya watoto wa viongozi kupendeleea kupewa nafasi za uongozi, jambo muhimu ni fursa za biashara na nzuri sio bodaboda, mama ntile na umachinga.

Lakini pia ni ukweli na sio dhana tu kuwa ajira nzuri za uongozi zimekaliwa na watoto wa viongozi au watoto wa marafiki. Kwa haraka haraka ngazi ya juu tu kitaifa kuna Ridhiwani, January, Nape, Mavunde, Mchengerwa, Mwinyi
 
Tanzania ina ufinyu/uhaba mkubwa wa fursa nzuri nje ya siasa na ajira za serikali ndio maana kila mtu anakimbilia uongozi na watu wengine wanaacha biashara zao au kuendeleza biashara za familia na badala yake kwenda kuomba na kufanya kazi TRA au kuwa DED, DC n.k.

Pia uchawa kwa kiasi kikubwa unasababishwa na uhaba huo wa fursa nzuri hali inayofanya nchi kuwa na wafanyabiashara wa uchumi wa wakati waliofanikiwa wachache sana, bado tuna safari ndefu sana.

Kinachotakiwa ni uchumi uwe na uwezo wa kuwatengeneza wakina Dewji na Bakheresa wengi sana kila mkoa katika nchi.
Endelea kujidanganya.Kwamba watu wenye hela ni Wanasiasa tuu au? By the way walianzia kwenye kusaka pesa ndio wakaja kwenye siasa.
 
Endelea kujidanganya.Kwamba watu wenye hela ni Wanasiasa tuu au? By the way walianzia kwenye kusaka pesa ndio wakaja kwenye siasa.
Wanasiasa, bandari, TRA n.k hawatengenezi na hawana hela ila wana mpenyo wa kuzipata pesa kiurahisi "deals" kama mtu akitaka na hiko ndicho kinawafanya wengi kupigana kufa na kupona kuzipata hizo nafasi, kuwapatia watoto na ndugu zao.
 
Wanasiasa, bandari, TRA n.k hawatengenezi na hawana hela ila wana mpenyo wa kuzipata pesa kiurahisi "deals" kama mtu akitaka na hiko ndicho kinawafanya wengi kupigana kufa na kupona kuzipata hizo nafasi, kuwapatia watoto na ndugu zao.
Ndio kuwa na wewe mwanasiasa izipate ,acha wengine tupambane tunavyoweza.
 
Ndio kuwa na wewe mwanasiasa izipate ,acha wengine tupambane tunavyoweza.
Kupambana unavyoweza ni jambo moja, mfumo kuwa na mazingira rafiki ya wewe kutoboa kutokana na mapambano yako na kukufanya uishi "decent life" ni jambo lingine.
 
Back
Top Bottom