Nipo Tozonia mkuu.Wasalimie kwa Biden
Watu wamevurugwa.Hahaha dah Hiyo plate number sijui kwanini nimeisoma "b*tch please" [emoji87][emoji87]
Juzi kati napandisha kile kilima cha kuibukia Makongo juu nikapigwa mkono,gari ya kuazima halafu lina deni la 60,000......ila askari alikuwa muungwana baada ya kumueleza gari ni la adjust na sikujua kuhusu deni,pia sikuwa na hata cha kumpoza akaniruhusu niende tuuMi langu lishafika elf60 kwa sasa na sitembei na gari ng'o mchana, usiku only 🤣🤣🤣 maana mchana sitoboi.
Una bahatiJuzi
Juzi kati napandisha kile kilima cha kuibukia Makongo juu nikapigwa mkono,gari ya kuazima halafu lina deni la 60,000......ila askari alikuwa muungwana baada ya kumueleza gari ni la adjust na sikujua kuhusu deni,pia sikuwa na hata cha kumpoza akaniruhusu niende tuu
December 🤗😋Tufanye lini sasa boss wangu🤭
Juzi
Juzi kati napandisha kile kilima cha kuibukia Makongo juu nikapigwa mkono,gari ya kuazima halafu lina deni la 60,000......ila askari alikuwa muungwana baada ya kumueleza gari ni la adjust na sikujua kuhusu deni,pia sikuwa na hata cha kumpoza akaniruhusu niende tuu
Ni kweli ila muonekano wa umri nao ilisaidiaUna bahati
NA huyo huyo bonge ndo alienisimamisha akanikabidhi kwa yule dogo anipige za mbavu......ila baada ya sound za kihuruma huruma bonge akaamua kunitema japo yule mwingine alimind,pia nahisi walikuwa wameshakula nyingi wakahisi nitawaletea kiwingu hivyo wakaniachiaPale makongo juu , askari wa pale wanakaa kimchongo zaidi.. kukupata chochote kitu na waNategemea pale Ardhi au pale juu karibu na njia panda kama unataka tokea its.. na Kinara wao Bonge pipa
N
NA huyo huyo bonge ndo alienisimamisha akanikabidhi kwa yule dogo anipige za mbavu......ila baada ya sound za kihuruma huruma bonge akaamua kunitema japo yule mwingine alimind,pia nahisi walikuwa wameshakula nyingi wakahisi nitawaletea kiwingu hivyo wakaniachia
Ndio maana najiuliza kweli ni rahisi to drive from Dar hadi morogoro, bila kusimamishwa au kupigwa za tumbo?,honestly nilikua very upset nilivyojibiwa na mmoja wetu humu,na kila mtu humu anajibu kuwa kupigwa za mbavu ni kitu Kipp normal kwenye hizi barabara zetu
Kwani unafikiri ukiongea nao vizuri wana shida? Tatizo vijana wengi wamejaa ujuaji na kuvimba kusiko na msingi.Juzi
Juzi kati napandisha kile kilima cha kuibukia Makongo juu nikapigwa mkono,gari ya kuazima halafu lina deni la 60,000......ila askari alikuwa muungwana baada ya kumueleza gari ni la adjust na sikujua kuhusu deni,pia sikuwa na hata cha kumpoza akaniruhusu niende tuu
Zinguana na mtu yeyote barabarani, mnaweza kuyamaliza kiungwana. Lakini sio mtu anaeendesha IST. Hapo lazima pachimbike!Jmos mida ya saa moja usiku ubungo maji, kama kuna mtu aliathirika na foleni humu anisamehe maana niligoma kuachia barabara had nilipwe, foleni lake sasa [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Sasa mtu amekugonga na hataki kutoa hata mia utamuacha?Zinguana na mtu yeyote barabarani, mnaweza kuyamaliza kiungwana. Lakini sio mtu anaeendesha IST. Hapo lazima pachimbike!
Jmos mida ya saa moja usiku ubungo maji, kama kuna mtu aliathirika na foleni humu anisamehe maana niligoma kuachia barabara had nilipwe, foleni lake sasa 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Sawa boss nitatafuta pesaTafuta hela
Ndo ukipunyuliwa huko barabarani unakuwa sio mkali.
Kaka angu aliniambiaga, gari yake ya kwanza.. ukimpunyua utakoma aisee
Lkn alipozowea magari
Anaona ni kawaida, anakwambia ni mambo za barabarani.
Usisome kwa hisia 😒
Nyie Ndiyo mnafanya rasta na matuta yajae barabarani!Only speed, siwezi endesha under 50km/hrs kwenye freeways, it's craze mkuu speed limits za majirani zetu ni tofauti kabisa na sisi, Rwanda 80km,Namibia, sa, Botswana ,Zambia ni kuanzia 100km/h to 120km/h,sasa Tanzania max speed limit ni ngapi?,maana kuna vibao vya 50 tu T1 yote ila vinatofautiana mwenekano
Namshangaa jamaa ameitaja Rwanda kwenye mifano yake wakati Tanzania tuna uhuru wa mbio kuliko huko Rwanda anakopazungumzia..Sikuelewi hata shida yako ni nini. Fuata sheria ya nchi husika. Ukiwa Zambia endesha kwa sheria za huko usilazimishe uko Tz uendeshe kwa speed za Botswana.