upo sahihi, Rwanda unaweza tembea umbali wa dar-chalinze kwa 50kph....Namshangaa jamaa ameitaja Rwanda kwenye mifano yake wakati Tanzania tuna uhuru wa mbio kuliko huko Rwanda anakopazungumzia..
Mkuu, madereva kutoka mataifa jirani hakuna sehemu wanaenjoy kama wakiwa Tz..upo sahihi, Rwanda unaweza tembea umbali wa dar-chalinze kwa 50kph....
Niimetoka Tanga Hadi horohoro sijasimamishwa hata mara moja,ila baada ya kuvuka border kuingia upande wa Kenya kuna barrier kibao ila wanauliza comesa insurance tu ukowaonesha wanakuacha uende, wengine wanakwambia waziwazi uwaachie hela ya sikukuu.Mkuu, madereva kutoka mataifa jirani hakuna sehemu wanaenjoy kama wakiwa Tz..
Hakuna anae wabana, hawasimamishwi hovyo hovyo, yaani wako free sana!
Sasa wewe nenda kwenye nchi zao uone moto! Unawindwa masaa yote ukosee kidogo tu wapite nawewe..
Nakubali mkuu!Niimetoka Tanga Hadi horohoro sijasimamishwa hata mara moja,ila baada ya kuvuka border kuingia upande wa Kenya kuna barrier kibao ila wanauliza comesa insurance tu ukowaonesha wanakuacha uende, wengine wanakwambia waziwazi uwaachie hela ya sikukuu.
Mkuu wapi hapa?
Happy valentine's mrembo!Happy Vals wana Road Trip[emoji257][emoji177]
Same to you [emoji7]Happy Vals wana Road Trip[emoji257][emoji177]
Zambia ndio hakuna mtu wa kukubana wala hamna touch za kuviziana kama huku kwetu tuseme tu ukweliMkuu, madereva kutoka mataifa jirani hakuna sehemu wanaenjoy kama wakiwa Tz..
Hakuna anae wabana, hawasimamishwi hovyo hovyo, yaani wako free sana!
Sasa wewe nenda kwenye nchi zao uone moto! Unawindwa masaa yote ukosee kidogo tu wapite nawewe..
Chuga moja hii.Town Trip [emoji13]
View attachment 2518376
Naomba liftTown Trip 😝
View attachment 2518376
Hapa nahisi ni Wami,daraja jipya,wenyewe wanasema proud of notherners.
Jamaa akirudi online nataka nimuulize huwa anafanya nini cha ajabu hadi anapigwa sana ban!Huyu anakulq sana ban
Nyie Ndiyo mnafanya rasta na matuta yajae barabarani!
Kwanini huwezi kuendesha chini ya 50kmph? Unafikiri walioweka speed limit wanavichaa?
Jitahidi kufuata sheria za mahali husika..
50km/hrs ndani ya freeways/highways ni ujima, magari yasingewekewa speed meter ya 180 kama speed limit ni 50km,huyu aliyewageuza watu mazuzu alaaniwe, jibia hili nini ni max speed ya magari k?wenye highways zetu
Kumbe binafsi toka niwe member 2011 sijawahi kula ban japo muda mwingine raia wanakupandisha mori balaa. Mungu ni mwema tuishi kwa upendo na kuvumilianaHuyu anakulq sana ban