That's a B road..RRONDO
Nilijifanya kutafuta short cut baada ya M1 kubuma na traffic
Nikajikuta kwenye machimbo ya makaa ya mawe yaliyofungwa in karne ya 18
Peak Distric
View attachment 2522297
View attachment 2522298
View attachment 2522300
Offroad nazikubali zaidi Landrover 110. Niliwahi kukuta mto umetema huko Manyara gari kibao zimepaki wanasubiri mto upungue.Heri busara ilikuongoza kunyuti, kuna wanaojiaminigi kupitiliza na vyombo (haiwezi kaa hii mkali wa offroad), majuto huwa ni mjukuu.
Kuna vi kamba wanaweka sehemu ya kuvutia gariUlimi mbili ndio nini?
Hazifunguki zinakua hivi[emoji116]Mtera [emoji1696]View attachment 2522541
Refresh.Hazifunguki zinakua hivi[emoji116]View attachment 2522549
[emoji123][emoji123] karibu tenaNilienda Vacation ndo nmerudi
Nilienda Vacation ndo nmerudi
Welcome back mkuu
Mkuu ni jukwaa la siasa ndio linanilostisha. Kuna watu wanaudhi kinyama kuleJamaa akirudi online nataka nimuulize huwa anafanya nini cha ajabu hadi anapigwa sana ban!
Welcome uwepo wapo muhimu mzee wa Toyota kuna udambwi udambwi fulani unakosekana ukiwa haupo arif.Nilienda Vacation ndo nmerudi
Na ulivyo kauzu unaamua kurara nao mbere!!Mkuu ni jukwaa la siasa ndio linanilostisha. Kuna watu wanaudhi kinyama kule
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
🤣 Tuko pamoja mkuu,hebu niambie nini kimejiri.Welcome uwepo wapo muhimu mzee wa Toyota kuna udambwi udambwi fulani unakosekana ukiwa haupo arif.
Mwana unaninii na mods🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Driver mwenzetu alipata ajali pande za simiyu akiwa na Mark x nadhani umeona picha hilo limetrend kwenye page yetu ya road trip.[emoji1787] Tuko pamoja mkuu,hebu niambie nini kimejiri.
Unajua humu ndani kuna baadhi ya members wanazingua kinyama. Mfano kuna uzi jamaa anauza Raum yeye anaita Raum new model ni ya mwaka 2004[emoji848]Mwana unaninii na mods
Hahaha, pole sana mkuu.Mkuu ni jukwaa la siasa ndio linanilostisha. Kuna watu wanaudhi kinyama kule
Niliwaona 😂😂Unajua humu ndani kuna baadhi ya members wanazingua kinyama. Mfano kuna uzi jamaa anauza Raum yeye anaita Raum new model ni ya mwaka 2004[emoji848]
Sasa yule bwana nilikuwa najibizana nae sana, majibizano yalianza baada ya yeye kuambiwa hiyo sio new model. Akaambiwa kama hiyo ya 2004 unaita new model vipi ya 2015/2017
Jamaa alijaa sumu hatari akaishia kuporomosha lugha ngumu, kuna dhana humu ndani ya kumwita mtu dada ilihali sio, sasa yeye akawa anatumia hiyo lugha kama ngao.
Mimi wala sikumjibu shi.t, sasa raia kama hawa ukienda naye jino kwa jino ukashindwa kudhibiti emotion aisee ban inaweza kukuhusu.