Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Dar Moro wasipofanya kitu kuna siku foleni itakamata watu 48hrs. Kuna siku watu washakaa kuanzia saa4 usiku hadi 11 asubuhi na siku ingine tano usiku hadi 11 asubuhi.
Dawa ni expressway ya kulipia waliyoizungumzia ijengwe na zile njia sita kimara-kibaha zifike Morogoro.
Tatizo wenye maamuzi hawana exposure. Kama imewezekana kujenga sgr inashindikana kujenga proper highway?
 
Kuna kitu una mtafuta Extrovert ila nakushauri usiyajaribu maji.
 
Ile barabara kama unasafari yako ya kwenda mikoa ya mwanza au mbeya ukifika moro ndio ushukuru mungu kuna siku nimetoka dar nimeenda kulala vigwaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…