RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
- Thread starter
-
- #20,421
Dar Moro wasipofanya kitu kuna siku foleni itakamata watu 48hrs. Kuna siku watu washakaa kuanzia saa4 usiku hadi 11 asubuhi na siku ingine tano usiku hadi 11 asubuhi.Asalaam, mrejesho wangu sio wa kulalama ila ni kujaribu ku draw attention ya politicians to do something, T1 yetu inahitaji msukumo hasa wa political will,tuijenge upya sio kuiwekea viraka, yule mkandarasi aliyejenga kile kilima cha kushukukia mikumi mjini aturudishie chenji yetu ule ujenzi ni zero, Iyovi pass not bad ile zile tutas loo, why tutas in the middle of nowhere?,Kitonga pass ni cancer level 4(mgonjwa anakufa sio kutibika),Chimala hadi Tunduma OSBP ni mbovu mno ,T2 kuanzia Nakonde hadi Isoka ni mix bag (inajengwa na ikiisha itakuwa super road),Isoka to Chinsali ni safi, na kati ya Chinsali to Serenje nayo ni mix bag,Ile bwawa la samaki limepigwa kifusi cha ovyo, na kutoka Serenje to kapiri ni safi,checks points za T1 hasa Sanga Sanga, Ruaha darajani ni pasta kichwa ,T2 zile za Chinsali, Mpika na Mkushi nazo ni Pasua kichwa, Dar to Moro ni lazima tufanye maarifa ya kupunguza traffic jam, like malori yapewe muda maalum wa kusafiri kwenye kipande hiki, thanks
Dawa ni expressway ya kulipia waliyoizungumzia ijengwe na zile njia sita kimara-kibaha zifike Morogoro.
Tatizo wenye maamuzi hawana exposure. Kama imewezekana kujenga sgr inashindikana kujenga proper highway?