edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Magufuli alifuta ujinga huu sasa wamerudisha tena na sisi tumekubaliNenda kwa usalama. View attachment 2528550
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli alifuta ujinga huu sasa wamerudisha tena na sisi tumekubaliNenda kwa usalama. View attachment 2528550
Mwamba unakimbia balaa na hio DMZ
Jamaa mwenye hilux nilimpoteza ulipoamua kuniacha.
Jamaa anakimbia balaa....kanimalizia mafuta yangu. Fuga naifuata naona inapepea tu haigusi chini
Anatembelea double hazard in a way that does not make sense. Hana spidi ya kutisha wala hana breakdown kwamba anatembea taratibu. Ile hazard ilikuwa inanikera sana sijui wewe uliyefuatana naye muda mrefu uliwezaje
Mwendo wangu ndio huo 130-140 labda mtu atokee anipe mzuka ndio navuka 150 ila kusimamia kucha kama wewe 160+ siwezi.Au alikuwa vyombo?
Kulikuwa na Lexus LX560 na Rav 4 newer model mbele. Ulizifikia?
Lexus muoga nilimpita, nilipita magari mengi Lexus ndio notable
Sijaiona hio hata wewe sikukufikia tena, nilipokunja njia panda na mimi nilishuka mwendo wa mtaaniNiliikuta RAV4 kama za serikali hizi mpya nyuma ya hiyo Lexus. Nilipowapita RAV4 akaunga na mimi mpaka Njia panda nikaingia sheli.
Nadhani ulipita wakati niko sheli kwasababu after that sikuvuka tena 100kmph.
Mwendo wangu ndio huo 130-140 labda mtu atokee anipe mzuka ndio navuka 150 ila kusimamia kucha kama wewe 160+ siwezi.
Kuna muda nimepush hadi 160 sikupati. Mpaka kuwe na malori yakusimamishe ndio nasogea
Lexus muoga nilimpita, nilipita magari mengi Lexus ndio notable
Nimejibana sana nimeishia 8.8kpl
Sasa kuna convoy jana uliikosa kidogo. Walinipita maeneo ya mkata, nikawakuta wamesimama Kabuku nikapita wakanikuta Korogwe na refill na wao pia.Wenye hela hawanaga haraka [emoji23][emoji23]
Hii ni bus au truck? Hapo imewaka au just ON?Chombo nimeanza nayo 0 klm
02/02/2023 bd naendeleza kilometres zisome zaidi[emoji847]View attachment 2529348
Kwamba RRONDO alikuwa anaenda mwendo wa kifaza 😂Bila hivyo ningesinzia mkuu. Nilikuwa naziona dalili zote. Mwanzoni nilihisi ni wewe uliponipigia taa na kugoma kunipita ndio maana nikaslow niende na wewe.
Nikaanza kuona maruwe ruwe mwendo wenu wa kifaza sana ikabidi niwe active kuondoa usingizi.