Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajitetea faza 😄Huyo jamaa anapepea balaa hadi mwendo wangu unaonekana wa kifaza
Sasa kuna convoy jana uliikosa kidogo. Walinipita maeneo ya mkata, nikawakuta wamesimama Kabuku nikapita wakanikuta Korogwe na refill na wao pia.
Mzee kuna 3 RR sporty 2018-20, Kuna RR autobiography mbili 2018-20 kuna mzee wa kazi LC300 moja na LC200 vxr late model mbili. Vijana wadogo sana. Wanakimbia balaa na ving'ora vya mchongo
Hivi niulize, nini kinasababisha mileage kutofautiana in KMs kwa umbali sawia.
Mf. Gari ni premio na IST, wote wanatoka Moshi kuja Tanga.
Premio afike na mileage 200, na IST afike na mileage 130.
Unajitetea faza [emoji1]
Ni inspiration ya kutosha
Kuna moja mbovu.
Au ukute na yeye alikuwa bado Magomeni huko 😂Jana alikuwa kifaza sana.
Wakati anasema anapita kibo mimi nilikuwa Tabata sijaanza safari. Si unatujua Wabongo [emoji23]
Ulisimama mahali Kwa muda mrefu au aliuwasha Moto Sana.Na wakati niko korogwe wewe uko msata na ukanikuta kabla ya Same!
Aliuwasha sana,though Korogwe nilikaa kama 30-40minutes
Hongereni kwa road trip na kufika salama.
Labda mmoja hakuanza zero, au alipiga misele kadhaa town.