Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Sasa kuna convoy jana uliikosa kidogo. Walinipita maeneo ya mkata, nikawakuta wamesimama Kabuku nikapita wakanikuta Korogwe na refill na wao pia.
Mzee kuna 3 RR sporty 2018-20, Kuna RR autobiography mbili 2018-20 kuna mzee wa kazi LC300 moja na LC200 vxr late model mbili. Vijana wadogo sana. Wanakimbia balaa na ving'ora vya mchongo

Birds of a feather flock together.

Convoy ya maana sana hiyo, ningeiona inge make my day.

Hivi hizi ndude ndio zinaitwa Dungujeshi?
 
Hivi niulize, nini kinasababisha mileage kutofautiana in KMs kwa umbali sawia.
Mf. Gari ni premio na IST, wote wanatoka Moshi kuja Tanga.
Premio afike na mileage 200, na IST afike na mileage 130.

Mwenye mileage isiyo make sense amefunga tairi au rim zenye diameter isiyo sahihi kwa gari husika.

Gari inahesabu mileage na speed kwa rotation ya tairi kwa diameter aliyosema manufacturer. Kama tairi ikiwa kubww au ndogo ile hesabu inaharibika, gari inahesabu mizunguko mingi zaidi au michache zaidi.
 
Back
Top Bottom