professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Duh[emoji848][emoji848][emoji848]1.A/C unaganda
2.haina kipengele labda uje nacho
3.body iligonga magodoro
4.ukija na fundi hatuuzi
5.gari ya mdada
Sossy baana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mikumi junctionView attachment 2494400
Haya wazee wa road trip naombeni location.
Aisee nilikuwa namsikia tuKumbe huyu ndo Sossy magariView attachment 2535922
Bei panga wewe[emoji23][emoji23]1.A/C unaganda
2.haina kipengele labda uje nacho
3.body iligonga magodoro
4.ukija na fundi hatuuzi
5.gari ya mdada
Sossy baana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na mimi ndo nmemuona leo..ila kwenye hiyo interview Dr.toyota ndo kachukua point nyingi kujibu maswali..Sossy anababaika tu [emoji28]Aisee nilikuwa namsikia tu
Haina cc [emoji1787][emoji1787]Bei panga wewe[emoji23][emoji23]
Anakwambia Gear box ilishafariki[emoji28]Haina cc [emoji1787][emoji1787]
au cc za kutosha.. 😅😅Haina cc [emoji1787][emoji1787]
Dogo yupo peace sana nilishawahi kufanya nae biashara kitambo sana maeneo ya sinzaKumbe huyu ndo Sossy magariView attachment 2535922
Duh sio sehemu ya gari ichoHili chuma ni part ya gari au sehemu ya kingo za barabara?View attachment 2520092
Namba 4 rekebisha huwa anasema "mkija wengi hatuuzi"1.A/C unaganda
2.haina kipengele labda uje nacho
3.body iligonga magodoro
4.ukija na fundi hatuuzi
5.gari ya mdada
Sossy baana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji116]Namba 4 rekebisha huwa anasema "mkija wengi hatuuzi"
Mkuu huyo ni wewe?
Napenda gari za kale sana
Mzee nipo site na kipisi 😅😅Mkuu huyo ni wewe?
MSumari wa moto huo
roho ya paka hii mzeeNapenda gari za kale sana
Chuma imepewa na mziki mzitoNapenda gari za kale sana
TDi [emoji1373][emoji1377]