National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Yap yapTDi [emoji1373][emoji1377]
Nilitaka nikuulize usharudi mjini? Wakati wa kurudi nilivurumisha ikabidi mitaa ya Mwavi nikaongeza wese la 50,000Natoka Arusha now kuelekea Dar. Nataka nifike bila kujaza mafuta tuone kama inawezekana [mention]Bavaria [/mention]
Inategemea na jinsi unavyoendesha.Natoka Arusha now kuelekea Dar. Nataka nifike bila kujaza mafuta tuone kama inawezekana [mention]Bavaria [/mention]
Hawa ndio wale walikuwa kwenye GX100 Cresta?TANZIA: Mkuu wa Jeshi la Polisi. IGP Camillus M. Wambura anasikitika kutangaza kifo cha Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Ndwanga Datistan Nsagaje na Konstebo Emmiliana Charles wa Wilaya ya Kipolisi Chalinze vilivyotokea kwa ajali ya gari eneo la Mavi ya Ng'ombe Kijiji cha Mboga, Kata…View attachment 2541211
Wapi hapa?Twendeni tukavueView attachment 2542279
Mkuu Rrondo unasukuma chuma gani (ndinga)Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi, marefu na ya Kati. Mwaka huu napiga mikoa ya kaskazini Tanga, Kili na Arusha. Je mwenzangu road trips zako wapi?
Raha ya road trip inabidi uwe na
1. Kampani nzuri (pisi Kali itapendeza)
2. Gari yenye uwezo.
3. Mfuko uwe na afya kidogo
All in all drive safe and take care
mng'ato
Boeing 747
View attachment 1652044
Nikodishe
Hii boda ya Congo na Zambia huu ndio umekatiza hukoWapi hapa?
Kanyaga twendeHii boda ya Congo na Zambia huu ndio umekatiza huko
Oya unazingua kila post unaweka tangazo lenye mb kubwaNikodishe
YeahHawa ndio wale walikuwa kwenye GX100 Cresta?
Tunarudiaga Mansa 2 kasama
Wametoka salama kweli
Hapo wametoka bila shaka.Wametoka salama kweli