Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Sasa inabidi umrudie umwambie hata sahmahani, roho itatulia
 
Ila mimi seat belt hata niwe naenda safari ya dakika 3 lazima nivae yaani ni kitu ambacho kwangu ni voluntary,ilishaniokoa na ajali moja matata sana.

Na mtu akipanda gari yangu kitu cha kwanza ni funga mkanda sinaga aibu kwny hilo.
 
Ila mimi seat belt hata niwe naenda safari ya dakika 3 lazima nivae yaani ni kitu ambacho kwangu ni voluntary,ilishaniokoa na ajali moja matata sana.

Na mtu akipanda gari yangu kitu cha kwanza ni funga mkanda sinaga aibu kwny hilo.
Mimi nikipanda cha kwanza ni kukunjua seat, kama ni lift sijamzoea dereva uwa nakaa nyuma. mkanda sio kipaumbele mpaka nikumbushwe. Nina balaa basi tu
 
Ila mimi seat belt hata niwe naenda safari ya dakika 3 lazima nivae yaani ni kitu ambacho kwangu ni voluntary,ilishaniokoa na ajali moja matata sana.

Na mtu akipanda gari yangu kitu cha kwanza ni funga mkanda sinaga aibu kwny hilo.
mimi nikifunga mkanda ndo najiona nipo vizuri, nisipofunga najiona naelea kwenye kiti.
Belt ya abiria ina taa yake, inablink kwa sifa kwa hiyo nafanyaga kuwaonesha hiyo taa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…